Biashara gani mkuu .Mimi nafikiria Biashara ya kuingiza milion 3 kwa mwezi kwa mtaji wa million 2 risk yake ni kubwa sana pia faida ni ndefu kweli.....May Allah help me to make the dream come true
Sent using Jamii Forums mobile app
Tushirikiane mkuu, hata kama risk ni kubwa kiasi gani.Mimi nafikiria Biashara ya kuingiza milion 3 kwa mwezi kwa mtaji wa million 2 risk yake ni kubwa sana pia faida ni ndefu kweli.....May Allah help me to make the dream come true
Sent using Jamii Forums mobile app
Haramu ukitusua mara moja achana nayo usije somewa ramani.Mkuu nimekusoma uzuri na umejieleza uzuri sana. Mimi ni mfanyabiashara na napenda kuinvest vijipesa vidogo vidogo sehemu nyingi na kupata small return. Target yako ya kuinvest 1M na upate return ya 80% per month, though from up to a six month period, its 99.99% impossible. Unless iwe ni biashara haramu!
Inaezakana mkuu sema tamaa siyo nzuri sanaa, biashara ni kupiga goti ili upate.Mimi nafikiria Biashara ya kuingiza milion 3 kwa mwezi kwa mtaji wa million 2 risk yake ni kubwa sana pia faida ni ndefu kweli.....May Allah help me to make the dream come true
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu ticha alituingiza chakaHivi ile yarehe 01-3 bado haijafika tuuu
Hahahhahah haki yanani ticha mwalimu na "SITELESS" (Stress) za wanafunzi katuingiza Chaka bayaa!Mwalimu ticha alituingiza chaka
Unalimia dodoma wapi kiongozi...Nipo Dodoma, ni mfanyakaz pia. Nimekodi greenhouse, nimelima nyanya ya aina ndefu inaitwa Uwezo F1, kila alhamis ya kila wèek navuna kila zisizopungua 250, kila kwa sasa ni 1000 kwa wasambazaji wa hotels km Dodoma Carnival, Dodoma hotel na Fantasy village.
Karibu kwenye fursa ya kilimo mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Boda boda lazima uache kaziNunua Pikipiki mkuu Ifanye kuwa Boda boda kwa siku kipande Elfu 10 kwa wiki Elfu 70 mkuu Ukiwa nazo hata 2 sio mbaya Boda boda inalipa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Apps gani? Viewer wa Youtube au ndio zile ngonjera za Ad-senseMkuu kwenye Apps (Application) watu wanapiga elaa sana sikuizi, ningekushauri uangalie upande huo, watu wanapiga zaidi ya dollar 1000 kwa mwezi. Kama ukihitaji kujua zaidi kuhusu application nitafute hapa kiongozi 0692941440
Nenda sehemu ilochangamka, kodi frem, tengeneza mazingira ya frem yako ipendeze (rangi, wallpapers nk) then ufanye biashara ya kuuza supu ya pweza pure.. Usisahau na udambwiudambwi wa kachori, ukwaju etc.. Ukinunua pweza wa elfu 60,hyo faida ya laki mbili ni lazima utapata..
Najua utapuuzia...
Hakikisha ktk hyo frem unavutia wateja kwa mandhari ya usafi na muhudumu awe wa kike... Na usiuze bei ghali.. Uza bei sawa na wale wa mtaani... Then utaleta mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaeleza gharama na changamoto ulizopitia mkuu....maelezo yako yamekaa kichai chaiNipo Dodoma, ni mfanyakaz pia. Nimekodi greenhouse, nimelima nyanya ya aina ndefu inaitwa Uwezo F1, kila alhamis ya kila wèek navuna kila zisizopungua 250, kila kwa sasa ni 1000 kwa wasambazaji wa hotels km Dodoma Carnival, Dodoma hotel na Fantasy village.
Karibu kwenye fursa ya kilimo mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
nENDAWakuu!
Wasalaam!
najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,
Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,
Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha
Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.
Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja
so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.
Asante
Nenda Q-netWakuu!
Wasalaam!
najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,
Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,
Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha
Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.
Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja
so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.
Asante