Nifanye nini kuhusu changamoto hii ya usaili?

Nifanye nini kuhusu changamoto hii ya usaili?

Wakujibwea45

Member
Joined
Oct 8, 2021
Posts
62
Reaction score
52
Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.

Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.

Nawasilisha kwenu, asanteni.
 
Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.

Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.

Nawasilisha kwenu, asanteni.
Hapa mkuu hebu tueleze vizuri maana ajira portal ukishajaaza ukafikia 70% unaaply! Tatizo lako lilikuwa ni ndogo sana maana sehemu ambapo ulikuwa unajichanganya ni kwenye program na categories kitu ambacho ulipaswa kukileta hata hapa jf wataalam tukusaidie! Maswali yangu kwako haya

1: unasemaje kuwa ulitumia accout ya rafiki yako je ulitumia email ya nani??? Je ulitumia nida ipi??? Maana nida yako tiyari ilishatumika kwenye account yako!

2: vyeti vyako wakati unappload wewe hukureview cv yako uone kuwa cv inasoma ya rafiki yako??? Maana hata picha naamini ilikuwa ya rafiki yako???

3: huyo rafiki yako ninashaka na yeye amekusaliti maana haya yote yanapofanyika lazima unapokea email ya kukujulisha kuwa umetuma maombi je hiyo email ilitumwa kwa nan?????

4: uliwezaje kuapply kwa rafiki yako yeye vyeti vyake alivifuta au ilikuaje?? Maana kwa hali yakawaida hiki kitu naona kama hakiwezekani mkuu!!


Mwisho: kitu kama hukijui uliza kwa wanaojua mkuu! Ulichokifanya kitu ambacho kinatia shaka hata elimu yako wewe na huyo rafiki yako! Cha kukusaidia ni kuitengeneza account yako ili kwa mwingine uombe lakini kwa sasa hiyo haiwezekani mkuu! Ulifanya mistake kubwa sana !!maana majina yako na vyeti ni vyitu viwili tofauti!! Aliyekusaliti ni rafiki yako!
 
Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.

Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.

Nawasilisha kwenu, asanteni.
Kwenye hio account wew una vyeti tu.
NIDA,email na majina ni yake?
 
Mkuu mbona kuna ukakasi. Iweje akaunti inasoma majina mengine na document zililzoaplodiwa ziwe na majina mengine halafu mtu aitwe kwenye usahili hili linawezekanaje??
 
Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.

Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.

Nawasilisha kwenu, asanteni.
Inshort, hauna akili njema.
Presentation of any forgery certificate will be stated as breach of laws, consequence to disqualified.
Kuna kasehemu kwenye mfumo unatiki kabox kuonyesha unayopresent ni sahihi na kweli kabisa. Na utawajibika ikiwa tofauti. Akaunt jina lingine na vyeti ni vya mtu mwingine ukienda kwenye interview utatakiwa uwe na kitambulisho chako lakini utatakiwa kunote s/n kwenye list ili upewe namba mficho ya kufanyia mtihani. Utakamatika hapo. Na utumishi wapo serious sana na interview.

Kuna jamaa alikuja kwenye interview akiamini amebeba vyeti vyote kumbe kimojawapo amekisahau na amesafiri mbali. Hawakumruhusu kuingia ingawa alitoka dodoma mpaka morogoro.
 
Back
Top Bottom