Wakujibwea45
Member
- Oct 8, 2021
- 62
- 52
Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.
Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.
Nawasilisha kwenu, asanteni.
Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.
Nawasilisha kwenu, asanteni.