Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazima ashtakiwe kwa kufoji nyarakaUkienda tu interview unadakwa wewe
System hawezi kujua hilo mana yenyewe imewekwa kugundua academic qualifications na sio majina na ndio mana siku ya usaili ndo wasimamizi wanafatilia khs mambo ya majinaWewe jamaa wakikushika wanaweza kukuzingua.
Halafu system nay imeshindwa kuligundua hilo
Hii maana yake ni kwamba hawapitii documents.Mkuu mbona kuna ukakasi. Iweje akaunti inasoma majina mengine na document zililzoaplodiwa ziwe na majina mengine halafu mtu aitwe kwenye usahili hili linawezekanaje??
Ndugu inawezekana waombaji wengi wanachoangalia cheti kinamuhuli wa mwanasheria imeisha hiyooo awaangalii majina na cheti yanafanana huo muda akuna .Mkuu mbona kuna ukakasi. Iweje akaunti inasoma majina mengine na document zililzoaplodiwa ziwe na majina mengine halafu mtu aitwe kwenye usahili hili linawezekanaje??
Na atafungiwa kufanya usahili wa utumishi Kwa muda wa sawa na alioahidi yesu kurudiUkienda tu interview unadakwa wewe
Hii balaaNdugu inawezekana waombaji wengi wanachoangalia cheti kinamuhuli wa mwanasheria imeisha hiyooo awaangalii majina na cheti yanafanana huo muda akuna .
Hapo ni lipu lipu tuonane kwenye vituo vya usahili
Bila shaka muhusika ka graduate mwaka Jana bado mgeni mtaani ana mengi ya kujifunza.Uliwezaje kufanya kitu kama hiki ndugu? Kuna Mambo mengine ni miracle etii..vijana mna hekaheka sana[emoji23][emoji119]
Mwache ajichanganye aoneNa atafungiwa kufanya usahili wa utumishi Kwa muda wa sawa na alioahidi yesu kurudi
We nenda tu. Kuna maajabu huko. Kuna wanaojaribu kuingia ktk akaunti zao waombe kazi inagoma kuwa vyeti vilishatumika. Ndio nakuambia hawa mafisadi wanatumia vyeti vya watu kuomba nafasi. Sasa wewe nenda ila fanya njia yoyote uende utumishi kabla ya interview. Watakuelewa. Na utagundua tatizo la kutoweza kufungua akaunti yako.Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.
Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.
Nawasilisha kwenu, asanteni.
Sasa huyo jamaa mwenye akaunti vyeti vinasoma jina lake ambalo limeitwa ktk usaili. Ina maana huko utumishi wanakubali majina tofauti ya mwombaji na vyeti? Kama ni hivyo ndio sababu waombaji wanakuta akaunti zao tayari zimetumika na vyeti vyao. Nenda utumishi utagundua mengi. Wanasema kama ulishawahi kuomba kazi mahali ukaacha nakala ya vyeti ndio watu wanatumia. Sasa hiyo namba yako ya form four ndio inayotumika.Wakati unaomba nafasi na ikakubali najua ulijiona mjanja sana na ukafurahi, ila umefanya upumbavu mkubwa sana na huwezi kutoboa mana jina lako halipo kwenye list yao bali wana jina la huyo jamaa mwenye akaunti.
Shukrani nimekuelewaHawawezi kukutambua usijisumbue kwenda, kuhusu changamoto yako kwa wKati mwengine kama hawapokei nenda ktk ofisi zao dodoma watakutatulia shida yako.