Nifanye nini kuhusu changamoto hii ya usaili?

Nifanye nini kuhusu changamoto hii ya usaili?

1. Email yake na NIDA yake, jina lake limetokea kwa sababu NIDA yake ilitumika

2. Hakuwahi kufungua account na hajihusishi na masomo haya ya afya wala fans nyngne yoyote ni mwanakijiji tu wa mtaani mwenye nida namba na email ndo mana niliweza kufnya vyote ivyo na picha ni una upload ww mwenyewe so niliweza kuweka picha yangu

3. Kabla ya kufanya yote hayo nilimuomba na akanikubalia

4. No 2

Mwisho: Nimekuelewa sana mkuu, Asante ubarikiwe
Sasa hapo atleast jina la akaunti lingekuwa kwa Jina lako ht kama umetumia nida na Email ya mtu mwngn kwa sababu ukifika wataangalia nida yako ww Kama inaendana na jina la akaunti, hapo atleast ingekuwa afadhali na nngekushauri uende usaili.
 
Sasa hapo atleast jina la akaunti lingekuwa kwa Jina lako ht kama umetumia nida na Email ya mtu mwngn kwa sababu ukifika wataangalia nida yako ww Kama inaendana na jina la akaunti, hapo atleast ingekuwa afadhali na nngekushauri uende usaili.
Yeah ni kweli ingekuwa afadhali kama ingekuwa ivyo, shukrani
 
Pole kwa changamoto iliyokukuta lakini ulivyofanya ni kosa kisheria ndugu yangu kwaiyo usisumbuke kwenda kwasababu itasomeka kama forgery na inaweza kukuletea shida wewe pamoja na huyo ulieomba kupitia account yake. Solve changamoto hiyo mapema ili kuepuka usumbufu wa badae. Pole ndugu yangu.
 
Pole kwa changamoto iliyokukuta lakini ulivyofanya ni kosa kisheria ndugu yangu kwaiyo usisumbuke kwenda kwasababu itasomeka kama forgery na inaweza kukuletea shida wewe pamoja na huyo ulieomba kupitia account yake. Solve changamoto hiyo mapema ili kuepuka usumbufu wa badae. Pole ndugu yangu.
Shukrani sana ndugu nimekuelewa siwezi kwenda
 
Back
Top Bottom