Wakujibwea45
Member
- Oct 8, 2021
- 62
- 52
- Thread starter
- #61
Hili swali hawezi toa jibu
Yeah ni kweliBila shaka muhusika ka graduate mwaka Jana bado mgeni mtaani ana mengi ya kujifunza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali hawezi toa jibu
Yeah ni kweliBila shaka muhusika ka graduate mwaka Jana bado mgeni mtaani ana mengi ya kujifunza.
Naweza kutoa jibu lakeHili swali hawezi toa jibu lake
Sasa hapo atleast jina la akaunti lingekuwa kwa Jina lako ht kama umetumia nida na Email ya mtu mwngn kwa sababu ukifika wataangalia nida yako ww Kama inaendana na jina la akaunti, hapo atleast ingekuwa afadhali na nngekushauri uende usaili.1. Email yake na NIDA yake, jina lake limetokea kwa sababu NIDA yake ilitumika
2. Hakuwahi kufungua account na hajihusishi na masomo haya ya afya wala fans nyngne yoyote ni mwanakijiji tu wa mtaani mwenye nida namba na email ndo mana niliweza kufnya vyote ivyo na picha ni una upload ww mwenyewe so niliweza kuweka picha yangu
3. Kabla ya kufanya yote hayo nilimuomba na akanikubalia
4. No 2
Mwisho: Nimekuelewa sana mkuu, Asante ubarikiwe
Yeah ni kweli ingekuwa afadhali kama ingekuwa ivyo, shukraniSasa hapo atleast jina la akaunti lingekuwa kwa Jina lako ht kama umetumia nida na Email ya mtu mwngn kwa sababu ukifika wataangalia nida yako ww Kama inaendana na jina la akaunti, hapo atleast ingekuwa afadhali na nngekushauri uende usaili.
Shukrani sana ndugu nimekuelewa siwezi kwendaPole kwa changamoto iliyokukuta lakini ulivyofanya ni kosa kisheria ndugu yangu kwaiyo usisumbuke kwenda kwasababu itasomeka kama forgery na inaweza kukuletea shida wewe pamoja na huyo ulieomba kupitia account yake. Solve changamoto hiyo mapema ili kuepuka usumbufu wa badae. Pole ndugu yangu.