Wakujibwea45
Member
- Oct 8, 2021
- 62
- 52
- Thread starter
- #41
Shukrani nimekuelewaUkienda tu interview unadakwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani nimekuelewaUkienda tu interview unadakwa wewe
Kwasababu nilikuwa sijui zilipo apo awali saivi najua nitaenda uko jumatatu.Umeshayakoroga alafu unaomba ushauri...hio ni cheating na unaweza kufungiwa kabisa...
Ulishindwa nin kwenda ofisini?
Yeah ni kweli ata mimi nimeliona hilo aiseeMh pagumu hapo
Haya asante, hongera wewe mwenye akili njemaInshort, hauna akili njema.
Presentation of any forgery certificate will be stated as breach of laws, consequence to disqualified.
Kuna kasehemu kwenye mfumo unatiki kabox kuonyesha unayopresent ni sahihi na kweli kabisa. Na utawajibika ikiwa tofauti. Akaunt jina lingine na vyeti ni vya mtu mwingine ukienda kwenye interview utatakiwa uwe na kitambulisho chako lakini utatakiwa kunote s/n kwenye list ili upewe namba mficho ya kufanyia mtihani. Utakamatika hapo. Na utumishi wapo serious sana na interview.
Kuna jamaa alikuja kwenye interview akiamini amebeba vyeti vyote kumbe kimojawapo amekisahau na amesafiri mbali. Hawakumruhusu kuingia ingawa alitoka dodoma mpaka morogoro.
AsanteKazii unayooo!! Poleeeee
Kwa kweli aisee, asanteUmeshajipunguza sasa pole
Nipo kisarawe apa mtaa wa mzee lenga ukija utanipata usipate shida kunitafutaumuhimu wa usahili ni tatizo kama hili nyie ndio tunawatafuta
tatizo linanza kumushrooming kuanzia huku
Hili swali hawezi toa jibu lake
Shukrani nimekuelewaUmeshafanya kosa Moja.Usije ukafanya kosa lingine ukaenda usahili yatakayokukuta utasimulia na wajukuu.
KutokujuaUliwezaje kufanya hivi ? Bora ungefunga safari ukaenda huko huko
Not fictional mzee ni trueNina wasi wasi hii story ni fictional yenye lengo la kujaribu kuverify kama hiki kitu kinawezekana. Nadhani hakiwezekani. Dont sweat.
KutokujuaWakati unaomba nafasi na ikakubali najua ulijiona mjanja sana na ukafurahi, ila umefanya upumbavu mkubwa sana na huwezi kutoboa mana jina lako halipo kwenye list yao bali wana jina la huyo jamaa mwenye akaunti.
Ni Kutokujua na pia Shukrani nimekuelewaNo short cut in life.
Ungeomba msaada wa kitaalam ili utumie akaunti yako.
No point of return, na hivyo vyeti vyako vinaweza kufungiwa.
Unafanya ujambazi afu unasema hukujua kama huo n ujambazi?Kutokujua
Kuitwa kwenye interview na kupata kaziUlivyoomba kwa account ya mtu mwingine ulitarajia nini?
KutokujuaUliwezaje kufanya kitu kama hiki ndugu? Kuna Mambo mengine ni miracle etii..vijana mna hekaheka sana[emoji23][emoji119]
1. Email yake na NIDA yake, jina lake limetokea kwa sababu NIDA yake ilitumikaHapa mkuu hebu tueleze vizuri maana ajira portal ukishajaaza ukafikia 70% unaaply! Tatizo lako lilikuwa ni ndogo sana maana sehemu ambapo ulikuwa unajichanganya ni kwenye program na categories kitu ambacho ulipaswa kukileta hata hapa jf wataalam tukusaidie! Maswali yangu kwako haya
1: unasemaje kuwa ulitumia accout ya rafiki yako je ulitumia email ya nani??? Je ulitumia nida ipi??? Maana nida yako tiyari ilishatumika kwenye account yako!
2: vyeti vyako wakati unappload wewe hukureview cv yako uone kuwa cv inasoma ya rafiki yako??? Maana hata picha naamini ilikuwa ya rafiki yako???
3: huyo rafiki yako ninashaka na yeye amekusaliti maana haya yote yanapofanyika lazima unapokea email ya kukujulisha kuwa umetuma maombi je hiyo email ilitumwa kwa nan?????
4: uliwezaje kuapply kwa rafiki yako yeye vyeti vyake alivifuta au ilikuaje?? Maana kwa hali yakawaida hiki kitu naona kama hakiwezekani mkuu!!
Mwisho: kitu kama hukijui uliza kwa wanaojua mkuu! Ulichokifanya kitu ambacho kinatia shaka hata elimu yako wewe na huyo rafiki yako! Cha kukusaidia ni kuitengeneza account yako ili kwa mwingine uombe lakini kwa sasa hiyo haiwezekani mkuu! Ulifanya mistake kubwa sana !!maana majina yako na vyeti ni vyitu viwili tofauti!! Aliyekusaliti ni rafiki yako!
Shukrani sana ubarikiweDuuuuh pole kwa changamoto
1. Usiende kwenye huo usaili, wala huyo rafiki yako asiende.
2. Hakikisha vile vyeti unavifanyia mabadiliko, virudi vya muhusika, huyo rafiki yako.
3. Ukikwama, hakikisha unawapata ajira Portal wenyewe wakusaidie. Ukishindwa kabisa fika ofisini kwao au nenda Ofisi ya Mkuu wa mkoa ulipo, Ofisi za Utumishi wanaweza kukusaidia kuwapata wahusika.
4. Usirudie kufanya ulichofanya, maana ni kosa kisheria. Ukikutwa na hatia unaweza kufungwa.
Kila la kheri Mkuu.
okUnafanya ujambazi afu unasema hukujua kama huo n ujambazi?