Wakujibwea45
Member
- Oct 8, 2021
- 62
- 52
Hapa mkuu hebu tueleze vizuri maana ajira portal ukishajaaza ukafikia 70% unaaply! Tatizo lako lilikuwa ni ndogo sana maana sehemu ambapo ulikuwa unajichanganya ni kwenye program na categories kitu ambacho ulipaswa kukileta hata hapa jf wataalam tukusaidie! Maswali yangu kwako hayaNiko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.
Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.
Nawasilisha kwenu, asanteni.
Kwa staili hii nimepata maana halisi ya Kwa Nini kunausahili duh.Uliwezaje kufanya kitu kama hiki ndugu? Kuna Mambo mengine ni miracle etii..vijana mna hekaheka sana[emoji23][emoji119]
Kwenye hio account wew una vyeti tu.Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.
Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.
Nawasilisha kwenu, asanteni.
Jamaa kafanya vitu ambavyo system yenyewe inaweza kushangaaKwa staili hii nimepata maana halisi ya Kwa Nini kunausahili duh.
Bonge la usanii Yani ingekuwa majina mtu anaitwa kazini si tungeenda tibiwa na muhasibu huko
😁😁😁😁😁😁Jamaa kafanya vitu ambavyo system yenyewe inaweza kushangaa
Hata mimi nimeshangaa sana aise dakitari mzma anafanya hivyiKwa staili hii nimepata maana halisi ya Kwa Nini kunausahili duh.
Bonge la usanii Yani ingekuwa majina mtu anaitwa kazini si tungeenda tibiwa na muhasibu huko
Hili swali hawezi toa jibu lake4: uliwezaje kuapply kwa rafiki yako yeye vyeti vyake alivifuta au ilikuaje?? Maana kwa hali yakawaida hiki kitu naona kama hakiwezekani mkuu!!
System haiwezi kumgundua kwasababu details zake Kama vyeti itakuwa Kama pdf tu yenyewe inachozingatia ni sehemu zinazohitaji kujazwa zimejazwaWewe jamaa wakikushika wanaweza kukuzingua.
Halafu system nay imeshindwa kuligundua hilo
Ni hatareee hawa madakitari walijisahau sanaumuhimu wa usahili ni tatizo kama hili nyie ndio tunawatafuta
tatizo linanza kumushrooming kuanzia huku
Inshort, hauna akili njema.Niko shortlisted mkoa X ajira za afya changamoto ni kwamba akaunti yangu iligoma katika ku-apply ilikuwa inasema am not qualified, licha ya kuwapigia lkn hawakupokea kunitatulia iyo shida hivyo ikabidi nitumie akaunt ya mtu mwngne ku-apply japokuwa vyeti CV barua ni vyangu lkn jina linasoma lake maana ni akaunt yake kwaio ata jina lililowekwa ktk majina ya usaili ni lake ndo limetokea.
Naombeni msaada wa kiushauri zaidi; j,e niende kwenye usaili hivy hivy kama maelezo niwaelekeze mbele ya safari au nifanyeje wakuu.
Nawasilisha kwenu, asanteni.