Nifanye nini kuhusu changamoto hii ya usaili?

Umeshayakoroga alafu unaomba ushauri...hio ni cheating na unaweza kufungiwa kabisa...
Ulishindwa nin kwenda ofisini?
Kwasababu nilikuwa sijui zilipo apo awali saivi najua nitaenda uko jumatatu.
 
Haya asante, hongera wewe mwenye akili njema
 
Wakati unaomba nafasi na ikakubali najua ulijiona mjanja sana na ukafurahi, ila umefanya upumbavu mkubwa sana na huwezi kutoboa mana jina lako halipo kwenye list yao bali wana jina la huyo jamaa mwenye akaunti.
Kutokujua
 
1. Email yake na NIDA yake, jina lake limetokea kwa sababu NIDA yake ilitumika

2. Hakuwahi kufungua account na hajihusishi na masomo haya ya afya wala fans nyngne yoyote ni mwanakijiji tu wa mtaani mwenye nida namba na email ndo mana niliweza kufnya vyote ivyo na picha ni una upload ww mwenyewe so niliweza kuweka picha yangu

3. Kabla ya kufanya yote hayo nilimuomba na akanikubalia

4. No 2

Mwisho: Nimekuelewa sana mkuu, Asante ubarikiwe
 
Duuuuh pole kwa changamoto

1. Usiende kwenye huo usaili, wala huyo rafiki yako asiende.

2. Hakikisha vile vyeti unavifanyia mabadiliko, virudi vya muhusika, huyo rafiki yako.

3. Ukikwama, hakikisha unawapata ajira Portal wenyewe wakusaidie. Ukishindwa kabisa fika ofisini kwao au nenda Ofisi ya Mkuu wa mkoa ulipo, Ofisi za Utumishi wanaweza kukusaidia kuwapata wahusika.

4. Usirudie kufanya ulichofanya, maana ni kosa kisheria. Ukikutwa na hatia unaweza kufungwa.

Kila la kheri Mkuu.
 
Shukrani sana ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…