Nifanye nini!? Namtamani kaka yangu

Na mimi namtamani shemeji yangu dada wa mke wanguπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
upo honestly genuine ila usivuke mipaka tu
 
Mpaka hapo wewe ndio unahatarisha maisha yao.
 
Pumbavu kabisa!
Mawifi mna kiherehere sana kumbe mnawataka kaka zenu kimapenzi ndio maana hampati wanaume zenu mnaanza leta usumbufu kwenye manyumba ya wenzenu.....we linda hapo mpaka uzeeni ila kaa ukijua mali ni za mke na watoto sheria imeshaliweka wazi hilo suala
 
Wee mpee mbussusu yako atamuacha tuu huyo mke wake.
Hio ndio njia pekee ya kubakiza mali kwenye familia. Changamka dada lah sivyo huyo mke wake ata mrestisha in peace kaka yenu.
 
Kha! Hatari
 
The niger worked tirelessly to build an empire, you're busy staring at his wealth
ndugu wengine bana.
 
Mmmh!! Tokana na maelezo yako,uenda kashaonja tunda,lkn samahani uenda nimeisi vibaya,,lkn nakushauri ondoka mapema hapo,uanze maisha yako,maana na wifi yako atakuisi vibaya,,na hivyo ndivyo ilivyo uwezi mwanamke tena ulokua kuendelea kukaa kwa kaka yako,.
 
Njoo ufanyiwe maombi,
Itakusaidia,
Njoo,
Njoo,
Njoo dada,
Njoo kaka,
Njoo,
Njoo mama,
Njoo baba,
Njoo,
 
Magonjwa ya akili ,
Utandawaz
Tamaa

Zote unazo
 
Ampe mbususu kaka yake ili alinde mali za familia. Huyo mkewe atakuwa kamloga kaka maana wake zetu wanaturoga sana
Yaani ndugu wa mume jau sana,hawapendi kuona amani kwa mwanandoa utasikia kamroga
 
Sisi tukusaidieje sasa?
 
Huu mtindo wa kuanzisha nyuzi zinazokera watu ni mpango wa siri wa kusababishia watu BAN? Hata kama ni chai inakuwa vigumu sana kutotukana.
 
Yaani ndugu wa mume jau sana,hawapendi kuona amani kwa mwanandoa utasikia kamroga
Wee watu wanarogwa kweli sio utani.
Wanawake kwenye mali nao wapo kama wanaume wanaua tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…