Nifanye nini!? Namtamani kaka yangu

Kipato kizuri ni kipi?
 
Hii chai hii.

Unamtamani vipi ndugu yako kimapenzi?

Haiwezekani.
 
Hapo nimeelewa moja tu, unamtamani kimapenzi kaka yako, haya mengine ni kutaka kutetea tamaa zako mbaya
 
Kule twitani kuna "we listen, we don't judge" ila hii...we'll definitely judge!
 
Japo hii ni chai, lakini hakuna tabu...

Ikiwa kaka Yako angekuwa anamsikiliza mkewe Kwa Kila jambo, wewe usingeendelea kuishi hapo, ungeshaondoka hapo siku nyingi...

Pia unapata wapi ujasiri wa kuwaza kumpenda kaka Yako, unamsaidizi?
 
Pepo toka kwenye nyumba ya watu unamlinda umekua Mungu ww.
Familia za kiafrica kaka akishakua na mali ni shida.
 
Kumbe Ndugu mnaumia na mapenzi yao, ndio maana ukatamani kuchukua nafasi ya wifi.
 
Na mimi namtamani shemeji yangu dada wa mke wangu😋😋😋😋
Watu mmechizika aseh!!,,jiepushe kukaa nae karibu,ukimuona mfano anakuja sebuleni we ondoka,nenda chumbani kalale au toka nje katembee,tembee uko,ili kuepuka vishawishi.
 
ptuuuh[emoji25] mbakasya!!
 
Njoo tuanzishe familia, achana na familia za watu mali zinatafutwa.
Njoo PM unaweza ukawa mwanzo wa kujuana
 
Heeeee, kapange bwege mkubwa wewe, unamtamani kaka yako, huna akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…