Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Whats the better option?

Maana ukimwi unapatikana popote tu....huyo unaekutana nae mpya unadhani ni mpya unajidanganya tu,sio mpya....akapiga bao moja kavu ikawa ndio ukimwi tayari

Ukimwi ni probability,umalaya unafanya probability inakua kubwa zaidi lakini sio eti wewe hutapata

Kama malaya,tombana nae kwa kondomu ndio 100% guarantee....

Maana huko unakoenda nako wana dhania ya ukimwi kama huyu uliemuacha maana wote ni wanadamu wale wale

Labda muache halafu usikae utombane na mwanadamu wa aina yeyote ile kavu basi...

Bado hujanipa hoja ya maana ya kumuacha huyu unasema ni "malaya"ki
Sijashauri aondoke hapo nyumbani kwa ajili yeye kwenda kufamya umalaya hapana.
Nnachosisitiza ni kuwa akiwa mbali na huyo mwanamume itamuokoa yeye katika hatari ya magonjwa ya zinaa.

Kuendelea kukaa hapo nyumbani inamuweka kwenye hatari zaidi ya kuumwa.

Umalaya sikuzote una mwisho mmoja magonjwa?

Hata awe anampenda vipi lakini huyo mwanaume ana uwezo wa kujifikiria pale akiona huyo mke yuko mbali kidogo saiv anamchukulia simple kwa vile anajua hawezi ondoka.
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Mchepuko wako ndiyo yule Kingsmann
 
Sijashauri aondoke hapo nyumbani kwa ajili yeye kwenda kufamya umalaya hapana.
Nnachosisitiza ni kuwa akiwa mbali na huyo mwanamume itamuokoa yeye katika hatari ya magonjwa ya zinaa.

Kuendelea kukaa hapo nyumbani inamuweka kwenye hatari zaidi ya kuumwa.

Umalaya sikuzote una mwisho mmoja magonjwa?

Hata awe anampenda vipi lakini huyo mwanaume ana uwezo wa kujifikiria pale akiona huyo mke yuko mbali kidogo saiv anamchukulia simple kwa vile anajua hawezi ondoka.
Una maanisha akaishi pekee yake sio?

Huko anakoishi hatakaa atombane na mwanadamu yeyote?Ni lazima atatombana tu....guarantee huyo atakaemtomba hana gonjwa anapatia wapi?

Kama hoja ni kwamba unaogopa magonjwa na hutaki gonjwa,kwanini usiwe unavaa kondomu 100% wakati unatombana na huyo mume wako "malaya" unaetaka kumkimbia?

Kama hoja ni magonjwa kweli,suluhisho ni kondomu

Suluhisho sio eti wewe kubadili nyumba ukakakaa mtaa B kutoka mtaa A....maana huko mtaa B pia kuna wanaume utatombana nao upende usipende,nini cha maana umefanya sasa?

Kama kondomu hutaki basi pimana na huyo mtu kila siku ya tendo,otherwise shona kvma isiweze kupitisha mb.00 ya aina yeyote basi
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Huyu mwakilishi wetu ,akijua kama unachepuka umeisha ,waweza kuachwa hapo,Sasa vile ukiachwa chanzo chako Cha mapato na urembo kitapungua ,utakuwa mtu wa mizinga Kwa huyu bwana mdogo mpya anayepigapiga saizi ,naye atakukimbia ,halafu utarudi Kwa mumeo kuomba msamaha mlee watoto ,[emoji1787] anaweza kukukataa vilevile
 
Akichepuka unaumia
Ukichepuka unaumia

Hakuna kitu kibaya kama kufanya jambo kwa lengo la kumkomesha mtu halafu ukaja gundua unayemkomesha hajali kitu... Inakuwa ni kama unatwanga maji kwenye kinu, unapoteza nguvu na muda wako bure.

Cha kufanya ni kuwa mvumilivu na kuongea na mume kuhusu kuumizwa na anayofanya, haijalishi ni mara ngapi unamwambia na anarudia... Mkumbushe

Kama utaona unashindwa kuvumilia unaweza kuamua kuvunja ndoa

Pole
Congrats.Very well
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Kumbe vifo huwa mnavitafuta, eh!! Hata wale wanaopigwa risasi au mapanga kwa wivu wa kimapenzi walianza ivi hivi.
 
Raha ya kuchepuka..Chepuka coz unapenda na si kwa sababu unataka kukuumiza mtu
 
Kwan
Mlee watoto pamoja?

Ndoa ikivunjika hakuna kitu kinaitwa "kulea watoto pamoja"....

Watoto wakifika 7 years wanachukuliwa na hutakaa uwaone tena,labda waje kutembea.

Usipokua careful mwanamke anaweza aishi kwa upweke wa ajabu sana....

This thing is not easy kama inavyoonesha!
Kwani kulea watoto pamoja ni mpaka muishi wote. Mbona ndoa nyingi zinavunjika na wanashirikiana kulea kiroho safi tu.
 
Kwan

Kwani kulea watoto pamoja ni mpaka muishi wote. Mbona ndoa nyingi zinavunjika na wanashirikiana kulea kiroho safi tu.
Mmh

Labda definition ya kulea "watoto pamoja" yako inatofautiana na yangu

Definition yangu ni kwamba "kulea watoto pamoja" ni kulea watoto baba na mama wakiwa wanaishi pamoja

Unachokisema wewe ni "parental visits"

Au usikute una confuse na "kutuma pesa za matumizi"....hiyo sio kulea...hiyo ni kutuma ujira kwa shughuli zinazofanyika kwa hao watoto na sio kulea

Nadhani Tanzania neno "kulea" tunalitafsiri kimasikini sana....kulea "sio hela za matumizi" ndugu...ni 100% presence of parents 24-hours a day!
 
Mmh

Labda definition ya kulea "watoto pamoja" yako inatofautiana na yangu

Definition yangu ni kwamba "kulea watoto pamoja" ni kulea watoto baba na mama wakiwa wanaishi pamoja

Unachokisema wewe ni "parental visits"

Au usikute una confuse na "kutuma pesa za matumizi"....hiyo sio kulea...hiyo ni kutuma ujira kwa shughuli zinazofanyika kwa hao watoto na sio kulea

Nadhani Tanzania neno "kulea" tunalitafsiri kimasikini sana....kulea "sio hela za matumizi" ndugu...ni 100% presence of parents 24-hours a day!
Co parenting ndio nazungumzia. Watoto wanakuwa na acesss na wazazi wao. Ni kukubaliana tu muda gani watakaa kwa nani.
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Piga picha ukiliwa kwa mpalange halafu mtumie hizo picha,utakuja kunishukuru.
 
Yaani huyo anaeweza kuchepuka akose mtu wa kumuoa kweli?

Mume anayetembea hadi na ndugu zako,ushajaribu kutafuta suluhu wee huyo ni wa kuboresha mtazamo kweli?
Inategemea na familia yako mmefika wapi
Kuna baadhi ya familia ts not worth it kuachana
Heri kuchepuka tu upoze roho
 
Njoo nikupakue vizuri Sana haafu usiweke password kwenye simu ili aone unavo Kula koni ki 5G
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Best unataka kuchomwa na moto?
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Unapatikana wapi?

Nitafute
 
Co parenting ndio nazungumzia. Watoto wanakuwa na acesss na wazazi wao. Ni kukubaliana tu muda gani watakaa kwa nani.
Hahahahaaaa

Hiyo si "tunalea pamoja"

Hiyo ni kulea kwa awamu

Na Afrika hilo halipo,mwenye nguvu ambae ni baba awataifisha watoto wote na sheria inatambua hilo

Wewe utapewa "visits" na watoto tena ubahatike awe na roho ya kiungwana kuwaruhusu

Otherwise anawapiga pini hakuna kwenda popote na hutakaa uwaone,labda uwavizie barabarani au shule
 
Back
Top Bottom