suzie _barbie
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 1,523
- 3,073
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anakosaje tako,
Sasa atakuwa anakalia kichwa au. [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anakosaje tako,
Sasa atakuwa anakalia kichwa au. [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sema huna stamina tu ya kuendesha mizigo mkuu...
othetwise nakwambia nyama nono na tumafuta mafuta ndio kimbilio letu
Unakalia nin[emoji2]Hamna
Ani apo anataka mtako wa kubembea ani....😅😅😅Ani hapo ni kujitahidi tu ani. Hakikisha unakula machips chips zaidi na wali na usisahau masukari sukari eiza aisikrimu l, chai au makeki
Usizingatie ujazo wa chakula bali qualities (kilochomo), unatakiwa ule chakula chenye calories nyingi naamini hata kam huna appetite ya kula Chipsi yai unaweza maliza, Supu na na sambusa mbili unaweza maliza, soseji na mishikaki unaweza hizo ndio package jua jinsi ya kuzioangiliaMazingira yanaruhusu sema ndo hvyo nikila kidogo tu nakua nshashiba ani,nkitaka nile vizuri mchana basi asubuhi nabid nisinywe chai...nkinywa chai mchana nkija kula nakula kidogo
Ili abaki na 39 😂Funga siku 3
Au anywe supu ya mkia wa kondoo kwa wiki moja. Anywe na supu ya mkia wa kondoo na vitumbua.Ili abaki na 39 😂
Jitahidi kuongeza kidogo kidogo kiwango cha chakula unachokula.Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.
Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ani hapo ni kujitahidi tu ani. Hakikisha unakula machips chips zaidi na wali na usisahau masukari sukari eiza aisikrimu l, chai au makeki