Nifanye nini niongezeke uzito?

Nifanye nini niongezeke uzito?

Mimi nina kilo 50. 80 na wala sifikirii kuwa bonge, kwanini unataka kuwa bonge jamani?
Hataki kuwa bonge anataka kunenepa, Kuna tofauti kati ya kuwa bonge na kunenepa. Pia na wewe unahitaji kunenepa kilo 50 ndogo Sana kwa mtu mzima at least uwe hata na 54 kill hizo hata kutoa damu unaweza usiruhusiwe
 
Unatakiwa kwanza ujue uzito umri na urefu ili upate uwiano

Mfano

Umri ukiwa 36

Urefu cm 165

Uzito kg 58

Uwiano yaani BMI ni 21.3
Kwa hiyo uwiano upo sawa.

Uwiano mzuri unatakiwa uwe kati ya 18-24.

Siyo kila mtu anatakiwa kunenepa, na kila unavyozidi kuwa mrefu basi unatakiwa uwe na uzito zaidi, na unavyozidi kuwa mfupi napo unatakiwa uwe na kilo chache zaidi.
 
Unatakiwa kwanza ujue uzito umri na urefu ili upate uwiano

Mfano

Umri ukiwa 36

Urefu cm 165

Uzito kg 58

Uwiano yaani BMI ni 21.3
Kwa hiyo uwiano upo sawa.

Uwiano mzuri unatakiwa uwe kati ya 18-24.

Siyo kila mtu anatakiwa kunenepa, na kila unavyozidi kuwa mrefu basi unatakiwa uwe na uzito zaidi, na unavyozidi kuwa mfupi napo unatakiwa uwe na kilo chache zaidi.
Hii calculation ipoje? Umri, uzito na urefu ?
 
Hii calculation ipoje? Umri, uzito na urefu ?
Simple tu.

Download App ya BMI calculator

Au ingia Google andika "BMI Calculator" halafu ingiza hapo taarifa zako utaletewa BMI

NB: Hakikisha uzito unaweka kg, urefu cm

Kama hujui urefu wako, simama ukutani then weka alama panapoishia kichwa then chukua rula pima
 
Simple tu.

Download App ya BMI calculator

Au ingia Google andika "BMI Calculator" halafu ingiza hapo taarifa zako utaletewa BMI

NB: Hakikisha uzito unaweka kg, urefu cm

Kama hujui urefu wako, simama ukutani then weka alama panapoishia kichwa then chukua rula pima
Najua Hilo, ila naulizia zaidi swala la Umri kwenye hio calculation.
 
mi napendaga mibonge, minyama nyama!

Kofi moja tu lishakojoa

'elewa maana ya kukojoa'
Yaani kama yule mtangazaji wa clouds kipindi kile ambaye alikuwaga "anamkojoza" yule madame msanii wa bongo fleva[emoji38]
 
ASUBUHI
*Supu bakuli mbili, chapati 4 na pepsi moja baridii
MCHANA
*Chips zege mayai yawe matano, vidali vya kuku viwili na kipaja kimoja ongezea na filigisi 3 halafu mwambie muuza kiepe akumiminie mafuta kwenye kikombe unywe
JIONI
*Ugali wa dona robo, nyama ya ng'ombe/mbuzi kilo 1, soseji 5, mayai ya kuchemsha 5, karanga mbichi robo, korosho robo na African fruit box 1

Hata kama ujisikii kula we kandamiza tu baada ya wiki moja unaitwa bonge nyanya na hakikisha umeandaa pesa ya kwenda kununua nguo mpya kwa ajili ya ubonge
USISAHAU KULETA MREJESHO BAADA YA KUWA BONGE
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Kwenye kikombe cha chai weka nusu kijiko cha margarine (cha sukari)

Baada ya mwezi acha
 
Back
Top Bottom