Nifanye nini niongezeke uzito?

Nifanye nini niongezeke uzito?

Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Picha tukuone
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Kula beer za kutosha shushia na supu na chapati na michemsho ndani ya wili mbili njoo pm unishukuru! Ukinishukuru kwa mbususu itapendeza!
 
kula kitimoto kilo moja na bia 4 mchana, usiku kula ulimi wa n'gombe na bia 2 asubuhi supu ya samaki mkate weka blue band na maziwa ya nido kula mlo huu kila siku utanishukuru namalizia kwa kusema kuongezeka ni rahisi kuliko kupungua!
Situmii pombe wala nyama nyekundu😥😥
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa[emoji19]Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Hapo ulpo panatosh san, njoo dm nkupe maelekezo ya Ziad
 
Anza kutumia yogurt, kila week piga grass 3
Usiponenepa nifate unipige makofi
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Kapicha mkuu tukuone...😊😊☺️

Kuna brother angu mmoja kaka wa rafik angu...

Alinipa hii falsafa yake...
"AKILI IKITAKATA MWILI LAZIMA UTAKATE"
Nenda na hii falsafa mkuu..

NB:
Jitahid uwe stress free zone piga bia mbili Kila jion...asbh piga supu nzito...kunywa maji mengi na yakutosha kula mboga mboga hasa tembele kwenye mlo wako kula protein Kwa wingi... Hakikisha unashiba..

Kwa Sasa ni hayo ila ntaongezea kadri navyo pata wasaa...☺️😊☺️
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Wenzako wanatumia natural fluids ndio zinawanenepesha nazungumzia manii au Shahawa ukipata Mwanaume mzuri akawa anakumwagia ukiwa haupo kwenye siku za hatari ni protein nzuri sana ya kukunenepesha tena zinanenepesha mnapopenda kujitazama 🤪 Ila zisizidi sana utageuka kituko narudia tena Shahawa zinanenepesha we tafuta Mwanaume awe anakumwagia ndani Ila tu usiwe siku za hatari maana utashika mimba na utanenepa tumbo
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
Au ulijiunga kwenye gridi ya tanescô? Kula ARV
 
Mbona una shepu nzuri, flat tummy na vihips vya kichokozi, kwa umri wako hivyo ndivyo unatakiwa uwe,

Nakudediketi wimbo wa Beyonce -Pretty Hurt usikilize kwa makini kuna kitu huenda kikakujenga.
unajuaaa dr

Mama said you are pretty girl
Whats in ur head doesnt matter
Brush ur hair, fix ur teeth
What you wear its all that matters

Pretty hurts
We shine the light on whatever's worst..
 
Yani uko mrembo hivi unataka kujiharibu pumbavu kabisa !


Mianamke ya sada hivi kila mmoja ana furushi la tumbo na furushi la matako Yani jitu linakuwa kama nguruwe pori!


Viportable ndio wanawake fresh. Sijui kwanini Huwa hamjikubali.


Usijiharibu jua tupo tunaowapenda. Jitunze haswaaa nyie ni nyara ya taifa
 
Hamna[emoji23][emoji23]sema mi nataka kuongezeka kidogo aisee make kila mtu ananikna mwembamba mara mmekonda
Hao watu wasikuvuruge. Usifanye kitu kwa sababu watu wanakusema binadamu hatuna jema ujue hata ukinenepa bado watakuja kukusema. Fanya kitu kwa kupenda kwako usifatishe ya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom