Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Asante
Kwa mtu wa aina hyo huwez kuwa na privacy, hao unakuta yu automatically anajua knachoendlea kwako ,ww uktaka usimkwaze fanya usahihi ktk kila jambo...hao wanakuaga na mizimu yao
 
Hamna bhn hapa sdhan km atagundua ila mawazo yako kchwan ndo yatamfanya agundue

Mtaan kwetu kuna mama nae ana tabia hyo kwa mume wake nae ni mambo hayo hayo ya waganga, yy kila ktu anachofanya mume wake anajua ila yy sio mganga ila ndo mambo ya ukoo wao
 
Ishi nae vzur, wanakuaga na msaada watu km hapo pale jambo baya limepangwa juu yako au ktu kbaya kinataka kutokea kwako

Pia usiogope kuongea nae khs yy alivyo

Mtangulize Mungu kwanza
 
Ishi nae vzur, wanakuaga na msaada watu km hapo pale jambo baya limepangwa juu yako au ktu kbaya kinataka kutokea kwako

Pia usiogope kuongea nae khs yy alivyo

Mtangulize Mungu kwanza
Shukran sana
 
Ahsante kwa ushauri mzuri ila hapo kwenye kumaliza ujana ulikuwa unamaanisha kwa vijana wa kiume ama, maana wakike mpaka anaumaliza ujana atakuwa na rambo au pango, hata joto la mwili litakuwa limeisha sa na ni aoe mtu wa baridi kama sanamu. Huoni hicho ndo chanzo cha kuchitiwa na kutelekezwa kwa mabinti wa kileo.
Nb. Sioi labda awe na bikra
 
Kila la kheri kutafuta bikra
 
Uliolewa na waganga[emoji3]
 
Si useme kuwa ka hack simu yako? Maana hakuna jinsi anavyoweza kujua umeongea nini au umetuma sms gani kama hajadukua simu yako.
Hakuna dawa ya kiganga yenye uwezo huo unless kama unao ongea nao ndo wanampa umbea
Ipo kuna jamaa alikutana na wakenya fulani walokua wananunua rupee.
Sasa huyo jamaa Ni wa makete huko ndani ndani, anajua kwamba ukoo wao unamiliki rupee Ila mpaka uombe kwa mizimu ya mababu.

Jamaa akafunga safari toka iringa mpaka makete akaomba rupee akapewa. Ila kabla hajaondoka alipigiwa simu na Kaka yake akaambiwa rudisha hio kitu haraka[emoji1787][emoji1787] unadhani sisi Ni wajinga kutunza izo vitu?

Ninapoona hivi na refer Sasa[emoji3]
luckyline
 
Unataka usaidiwe nini ndugu?Huyo ni "malaika" milinzi wako.Anakusaidia usiwe mpotofu.
 
Pole sana
Anachofanya huyo si sawa mana anakufanya kama slave na sio mke!
Jaribu kumuwekea kamtego kakuprove kuwa kweli anatumia majini kukufatilia alafu akinasa mtegoni ndo umwambie ukweli na ujue dhamira yake nini!
Huenda ana lengo zuri ila kwa muhusika asie sahihi mana watu tunatofautiana imani si kila mtu ataamini kwenye mizimu au majini!
Na kama ukiprove anatumia njia hizo kukufatilia basi hapo hakuna ndoa as mwisho wako hautakua mzuri mana kwake utakua kama mkaidi ambae hutakia kufata masharti ya mizimu!
Ukifika hapo tafuta msaada wa kiroho haraka sana ujinasue,mana kama ulichoandika hapo ni kweli basi that issue is very serious usiichukulie poa!
 
Tumepanga
Kila siku oga maji ya chumvi..
Yaani iwe maji ya bahari au maji ya kawaida weka chumvi mawe...

Tafuta majani ya kisamvu/mhogo yale ya juu yasiyo komaa ponda kisha maji yake paka mwili wote kisha weka kwenye maji ya kuoga pamoja na chumvi mawe uwe unaoga..
Mwishowe unatafuta mualovera ukate kama unachanja ukianza toa maji yake yale kojolea....
Lengo ni kufuta kivuli chako huko alikokiweka....

Lakini kama ni mtundu zaidi basi huwa ukilala usiku anakuwekea ulimi wa chura kifuani au kuna maneno huwa yanaandikwa kwenye pembe ya mbuzi kisha ukilala usiku anakuwekea kifuani basi wewe unakuwa kama umepandisha bila kujijua utasema yote uliyoyafanya.NARUDIA utasema yote uliyoyafanya..
Kama anatumia mbinu hii ya kukusemesha usiku bila wewe kujua hii sasa ndo mtihani kujinasua ...
Mwisho Kubali kuishi na ndoa maana huku nje wenzako wanataabika mpaka wamekuwa kama wehu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…