Je ikitokeaUnahitaji kuchepuka au mbona una wasiwasi
Acha kumuogopa mumeo maana nyie sasa ni mwili mmoja hakuna cha privacy tena hapo.Sijawahi kucheat wala kuwaza hilo. Sipendi anavoniona kila nachofanya. I just need my privacy
Ukiongea kama mume sasa ππKutaka kwako kuperekewa Moto na wahuni kutakupereka kubaya ...........tuliza mshono........kama ulizoea kukunwa kunwa hapa utaumia...............
Umeonaeee.....anataka uhuru usio na mipaka wakati ni mke wa mtu.Unakuta unaomba ushauri ili tu uwe huru , uanze KUCHEPUKA.
Wee Kiazi kweli!!
Kama ni mrefu na mweusi , vumilia tu mkuu kwani ndio chagua la moyo wakoSalaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamaniππ.
Mahaba niue..ππTulia Sasa yeye na wewe Ni mwili mmoja ,hata kichwa kilitakiwa kiwe kimoja na tumbo moja. Naye anakupenda ndio Mana ameamua kukatalia kabisa.
Nishawahi penda mpaka nikaenda kutaka kumuoa mtu bana.upendo achana naye. Huyo anakupenda mpaka ameamua kujiunganisha mind zenu ziwaze sawa jamani. Ni upendo wa Hali ya juu mno
kwahiyo ndo umekuja kunisema huku au sioSalaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamaniππ.
Usafiri wa fisi naukubali zaidi, hayo ma BMX ya wakoloni siyashobokei, so sihitaji gari.Mkuu weka contacts zako nabii mkuu geo devi akupe BMX X3.
siachi kwani si mke wangu nikimroga tatizo nini ππππUwache iyo tabia
we kakwambia nani au kakudanganya nani mahaba yetu yanapunguaMbona we hurogwi. Mnapunguza mahaba kwa wake zenu