Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Ahahaaaa hatujafika huko jamanSasa unataka tukufundishe kumpenda tena?
Wewe sepa zako, maana kifuatacho aitiviii, unaweza ukaifyeka hiyo mashine na kisu..
Jipe muda nenda hata nyumbani kwenu kwa muda.Habari wakuu, leo nami ngoja nitoe ya moyoni nipate ushauri. Nimeolewa na ndoa yangu ina miaka sita sasa na tumejaaliwa watoto wawilj wakike na wa kiume.
Nlikutana na mume wangu akiwa na tatizo, hakuwa anasimisha uume yaan alikuwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, ktk uchumba wetu tulikuwa tukijaribu Mara kwa Mara lakini inashindika uume ilikuwa hauwezi kusimama na ukisimama akaingiza unasinyaa hapohapo, mm nlikuwa nkimwonea huruma sana nikafikia hatua nikasema labda nimuache maana kuishi na mwanaume mwenye tatizo hilo inahitaji uvumilivu lakin nikapata huruma nikajitoa kumsaidia ili awe sawa, nikawa najitahd kumuhimiza na kumwelekeza vyakula vya kumsaidia na nligundua hayuko sawa kimawazo n.k
Basi tukaenda hvyoo, akawa anapata nafuu nlijitahd sana kumpa amani, kumchangamsha kumfanya ajiskie comfortable asione kama ni issue kubwa akapata woga na akajihisi inferior, ni kweli ilisaidia sana, maana alianza kusimamisha tukiwa ktk romance lakin akiingiza basi inakuwa inalegea baada ya dakika kama tatu tofauti na mwanzo.
Aliendea kutumia juice na vyakula vya kumsaidia had akaweza kuwa inasimama lakin kwa muda kidogo na tukifanya basi ni dakika tano nyingi lakini nlimvumilia, na hapo hapo akawwza kupata kazi then tukakaa mwaka mmoja baada ya yeye kupata kazi akatangaza ndoa tukaoana. Kilichonifanya kuomba ushauri ni kwamba sina hisia tena na Mme wangu, najiskia kutompenda tena na nimejitahd sana kuweka mazingira ya kumpenda tena lakin wapi sababu anachepuka sana yaan ile hamu yakuwa nae na ninajua anachepuka halaf sasa mchepukaji mwenyewe ndo huyo inanikera, kibaya zaidi anachepuka saa nyingine na wanawake wa mtaani naona aibu sana.
Tumejaribu kusuruhishwa na wazazi lakin hata akikiri na kuomba msamaha haachi, naishi nae sababu ya watoto wetu lakin kwakweli sina hisia nae tena, nlijaribu kutafta uhamisho labda nikae nae mbali uhamisho nimekosa, ndani inaonekana ipo aman tunacheka, tunaongea, maendeleo ya familia tunafanya lakin kwakweli simpendi nawaza ntaenda na hii hali hadi lini? Ikiwa ndo Mme wangu kufa kuzikana? Nashindwa kupona sababu nimekuwa nkimfumania mara kwa mara lakini baada ya muda anachepuka tena imefika muda basi namwacha afanye atakavyo lakin roho linauma. Kuhusu kupona hajapona vizuri miaka yote hii 6 maana anaenda dakika hazizidi tano na hajawahi kurudia tendo mara mbili nisijue huko anakochepukia, labda anawapoza na vihela maana anabebaga wanawake wa hadhi za chini sana maana ye kipato chake ni cha chini au niseme ni cha kawaida tu.
Nifanyeje mimi binafsi niwe na amani ya moyo, nimpende tena? Maana yote nafanya, tendo la ndoa tunashiriki kwa uchache tunaweza kukaa hata miezi miwili hatujashiriki mpaka mimi nijisogeze bila hivyo hawezi hata kuomba au kunipapasa ili tufanye tendo, mimi ndo huwa naanza.
Ndyo hii inawezekanaHUYO AMEATHIRIWA SANA NA PUNYETO UJANANI, ALIPIGA SANA PUNYETO KWAHIYO MISULI IMELEGEA MTAFUTIE DAWA INAITWA MSAMITU NI YA UNGA INAPATIKANA KWENYE MADUKA YA DAWA ZA ASILI AWE ANACHANGANYA NA MAFUTA LAINI MFANO MAFUTA YA NAZI ANAPAKA USIKU WAKATI WA KULALA, ATUMIA KWA MUDA WA WIKI MOJA TU ITASIMAMA KULIKO MLINGOTI.
PIA UNAWEZA KUNICHEKI PM KAMA UTAHITAJI SHOO YA KIBABE.
Ni kweli halaf inawezekana hata halali nao wote basi wamuone kuwa anachepukaWanaume vibamia,single goal,dhaifu na goigoiii wanaongoza kuchepuka maana wanahisi wakifanya hivo wanaficha madhaifu yao!!!!
Sahii kabisa,Swali la msingi sana. Huu upuuzi wanao sana hawa slay queens wa bongo
Yaan hili nliliona tokea siku ya kwanza tuko wapenzi tulivyo jaribu kuziniHili pia nmejiuliza Sana,
Kinachoonekana mumewe kawekeza Sana Kupiga nje, ndani kapasahau.
Huenda mtoa mada hajabarikiwa kunako 6x6, wanawake Hii sekta wametofautiana Sana uwezo[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine ndo tupo honeymoon jamaa anachati na michepukoHapo usikute tatizo la kuchepuka limeanzia kwa rafiki zake na mumeo,
Walimshaur akajaribu kutest mitambo nje aone Hali uko nako itakuaje,
Sasa muneo katest kakutana na wanawake mafundi type za kina mamaJ,
Yaan mumewe kanogewa hata kile kidg alichokua anafaidi ndani kanyang'anywa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora angekuwa nae mmoja, halaf sasa hayupo selective, anajibebea tuHakuna huyo mume unayemtafuta asiyechepuka, ila tatizo ni kwamba mumeo baada ya kupona kaamua kutembeza fimbo kilimbukeni zaidi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kuchepuka kwamba umekutana na mtu unayempenda kiukweli so inabidi tu uchepuke naye maana huwezi kumwoa tena bcoz una familia tayari, na mara nyingi unakuwa na mahusiano na huyo mmoja tu zaidi ya mkeo.
- Mara nyingi huu uhusiano huwa mgumu kufa labda mchepuko uamue wenyewe kujichenga na mwanaume hutulia na mchepuko wake mmoja tu unaomliwaza.
Kuna kuchepuka kwamba wewe ni mbovu wa wanawake wa aina fulani mfano wenye "mizigo" [emoji23][emoji23] kwamba wewe shida yako ni uwavue tu ch**i zao uone walichopewa na mama zao.
- Huyu mtu huwa anatulia tu anapopigika kiuchumi ila akizipata yeye kama kawa hata akiwa mzee [emoji23][emoji23]
Halafu kuna kuchepuka huko kwa mumeo kwamba ni tabia yake kwamba chochote kipitacho mbele ye twende yaani huyu ni "fisi" yaani anaweza kubadili uelekeo wa safari yake kisa kufuatilia mzoga aliopishana nao [emoji23][emoji23].
- Huyu huwa hanaga michepuko permanent, yaani unaweza kuta anajisahau mpaka kutongoza upya mzoga wake badala ya kuomba kupasha kiporo tu [emoji2303]
Halafu kuna kule kuchepuka kwa "emergency" yaani upo safarini mara unakutana tu mtu kwenye basi au treni mkifika safari yenu mnadangiana halafu kila mtu na 50 zake, au mpo pamoja kazini au kwenye kisherehe fulani mara masihara yanazidi kimatanimatani tu mara "pwaah!" [emoji23][emoji23] yaani hizi zinaitwa "loose balls" au "mipira iliyokufa"[emoji23][emoji23].. Ila hizi hazitokeagi mara kwa mara na hazinaga formula...
- Hapa hakunaga uhusiano wala mawasiliano ya kudumu unless shoo iwe imeeleweka, na ikija kuzaa ndoa ndo hizi ambazo hata mwezi hazijafika watu wanapeana talaka [emoji23][emoji23]
Sasa huyo mumeo ni "fisi" ambao kuacha au kupunguza tu hiyo kitu ni ngumu kweli kweli, yaani hapo we uamue moja tu kati ya kuendelea kumvumilia mlee watoto huku ukiendelea kumwombea hilo pepo limtoke.... au uanze maisha mapya ambayo unayaogopa maana kuanza upya kazi ukihesabu miaka na hisia ambayo umeshawekeza kwenye huo uhusiano wenu [emoji23][emoji23]
KabisaaaHuyo ni limbukeni wa Papuchi hilo tatizo inaelekea lilimtesa sana kwenye balehe yake ni sawa na kipofu aliyepona cha msingi ni kuachana nae hakuna usalama tena hapo maradhi ni mengi
Nyege hasinisumbui, issue ni sina hisia nae yaan, ile kumpenda kama mwanzo haipoPole sana ... Sada na wewe sii utafute wakukupoza minyege jamani.
@mzabzab yeye hajali kabisa. Yaani we' mtangaze utakavyotaka aibu utaona wewe siyo yeye[emoji38]Sahii kabisa,
Otherwise uwe disminder Kama tunavomuona mzabzab hanaga habar na mtu humu hata umzingue vipi[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] huyo mchepuko mmoja ungeweza kukubali akalale kwake na ku share naye?Bora angekuwa nae mmoja, halaf sasa hayupo selective, anajibebea tu
nakaziaDada kwa maelezo yako ni kuwa bado unampenda sana mumeo.
Yaan issue ni kwamba hakukosa nguvu za kiume sahv au tukiwa tushaingia kwenye ndoa, issue ni kwamba sikumkuta nazo yaan hata hiki kidogo sahv hakuwa nacho alikuwa kalegea kabisa kama ni umeme ulikuwa umekatika kabisa nikajifanya kiherehere kumbebea madhaifu yake atengamae lakin naona ndo ananilipaNnachokiona kwa mumeo,
Sio kwamba ana tatizo la nguvu za kiume
Mumeo Yuko fit, coz anaweza kukitembeza nje
Sema mazingira yako wewe mkewe huenda hayako vizur sn kumhamasisha kulipenda na kufurahia lile tendo.
Tukubaliane tukatae,
Wanawake mmetofautiana Sana uwezo kitandani, na huu ndo ukweli KE wengi hawataki kuambiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ogopa Sana wanaojitangaza kukuuzia madawa ya kumpa mumeo,Ndyo hii inawezekana
Sio kweli kabisa Hannah, hakuna kitu kama hicho, wazazi ni wazazi hata kama mmoja hafai, Bado ni mzazi. Tusishabikie kuvunjika Kwa ndoa unless we are the product ya malezi ya mzazi mmoja.Hivi watu mnakuwaje?
Kuna wakati wazazi kuachana ni ukombozi kwa watoto.
Ni bora watoto kulelewa na mzazi mmoja kuliko kushuhudia wazazi wakigombana kila siku wakitukanana. Hiyo inawaathiri watoto kuliko kulelewa na mzazi mmoja.
Oooh, kumbe, aisee pole snYaan hili nliliona tokea siku ya kwanza tuko wapenzi tulivyo jaribu kuzini
Sasa watoto mlipataje? Kwamba zile sekunde kumi chali ndixo zilizokubebesha mimba au?Yaan issue ni kwamba hakukosa nguvu za kiume sahv au tukiwa tushaingia kwenye ndoa, issue ni kwamba sikumkuta nazo yaan hata hiki kidogo sahv hakuwa nacho alikuwa kalegea kabisa kama ni umeme ulikuwa umekatika kabisa nikajifanya kiherehere kumbebea madhaifu yake atengamae lakin naona ndo ananilipa