Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Robo tatu ya akili watoto wanariti ujombani, robo ndiyo ya kwako. Pia lishe kuanzia mama akiwa mjamzito hadi ukuaji wa mtoto inaboresha akili ya mtoto. Hapo walipofikia waache wasome hivyo hivyo, usiwalazimishe kwani itakuwa ni kama mashine ya horse power 5, unataka iperform kama mashine ya horse power 10.Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitoto akili itoleee wapi,wakati kutwa kukariri miziki misingeli na amapiano hku wanakata mauno
Ova
Kusoma kwa wazazi hakuna uhusiano wowote na IQ ya mtotoMama kasoma hadi ngazi gani na baba kasoma hadi ngazi gani?
Sentensi ya kwanza umesema ukweli kabisa, ila hiyo ya pili umetudanganya, Cha msingi ni lishe bora tangu mama akiwa mjamzito hadi makuzi ya mtoto, ugali hauna shida yoyote kama utapata mboga sahihiUkitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.
Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
Ndo najiuliza hapa kama mzazi anakuja kudesa JF kwa jambo kama hili, anatarajia mtoto wake awe ana akili kweli?Wanarithi kwa baba na mama
Kama nyie ni vilaza msahau watoto wenu kua na akili nyingi![]()
Sawa mkuuFatilia watoto wanaotoka familia bora
Salamaa kama salama yenyewr😄Mama Pretty salama?
Kivipi ni dawa nahitaji kufahamu kuhusu hiyo kitu aseHii ndo dawa ya matatizo yote duniani Pesa , elimu na Afya
Naomba kujua watoto ni wa umri gani ?Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Akili katika lipi? Maana si kwamba kila binadamu kaumbwa na uwezo wa kukariri kwa haraka tunatofautiana pakubwa sana na ni lazima tutofautiana , ukiwachunguza wanao kuna vitu wanauwezo navyo kuliko hiyo ya kukariri unavyo taka waweMiongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Mumy🤣🤣Wanarithi kwa baba na mama
Kama nyie ni vilaza msahau watoto wenu kua na akili nyingi![]()
Acha tuambiane ukweli😂Mumy🤣🤣
Ingawa unauma lknAcha tuambiane ukweli😂
Ni sahihi lkn je watoto wanaweza fanya meditation? Binafsi huwa nafanya lkn kama mtu mzima nakutana na changamoto smtm vp khs watoto?Waanze kufanya mazoezi yanayo jenga uwezo wa kumbu kumbu na utambuzi wa mambo kuliko kawaida.
MEDITATION.
Ni njia bora zaidi kuliko dawa zozote zil, kuna baadhi ya dawa za mimea naweza kukusaidia nazikawa ninafuu katika kukuza ufahamu lakini yote na yote hiyo hapo juu nilioisema ndio mama yao kwani haihitaji hata gharama labda useme umtafute mwalimu, vinginevyo hakuna gharama ni mazoezi binafsi yaku control pumzi na fikra zinazo ingia s. Nihitimishe kusema meditation sio jambo la kawaida ikiwa unataka watoto wawe Genius masomoni wafanye mazoezi hayo kwa ustadi unaotakiwa.
Hao ni wafanyabiashara matajiri,wasomi wengi maskini!Sawa mama yao hajasoma sana, baba yao amesomasoma na kifanya vizuri shuleni.
Dah watu mnauchukia ugali?Ugali ni ugali tu.. hakuna cha sembe wala dona. Ni chakula kisicho na faida yoyote. Ni kama kuweka jiwe tumboni. Hata kwenye biblia walikuwa wanakula mikate na sio ugali.