Hu Jintao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,726
- 3,359
Ukweli ni upiUongo huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni upiUongo huo
Jamaa fix ingekuwa hvyo kule vijiji kusingekuwa na sekondaniUongoo huo kufanya vizuri sio elimu ya wazazi ni uelewa wa mtu binafsi kuna wale wazito kuelewa na wepesi kuelewajua hilo so usiseme huo ujinga elimu mtu aliyonayo sio vigezo vya watoto kupata ufaulu darasani.
Siku ukigundua kipaji cha watoto wako kilo kwenye Nyanja zingine za maisha utaacha kuumba gego na kuamini kwenye elimu Walee vizuri wawe wema kama unaamini ktk dini yoyote Ile wakazanie,wafundishe upendo,wawe watu wema Kwa wenzao na wengine pia,wafundishe kuwa na bidii ktk kazi zingine kuosha vyombo NK,usiwaaminishe Tu kwamba elimu ya darasani ndio pekee ktk maisha kuna mengine nje ya uwanja na pia punguza fimbo ndio maana hujagundua bado shida iko wapi unaweza ukawa unawapa zawadi Tu ili wasome vizuri Ila hawako huru kukwambia feelings zao zingineMiongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Mbona wazee wetu wa darasa la saba wana watoto vipanga darasan?Mwanangu anajua Sana mahesabu yupo kayumba standard 4 akili nyingi sanaa amekua wa 5 Kati ya 278
NB.
Usitegemee kuoa au kujaza mimba mwanamke asiye na akili IQ ukategemea utazaa watoto wenye akili..my friend never.
Nyumbani kwetu tumboni mwa mama angu watoto wake wote wa 5 wote wanaelimu ya chuo kikuu wakati mwingine hizi akili zinaendana na ukoo..
Kuna akili za Maisha na za darasani 👤Jamaa fix ingekuwa hvyo kule vijiji kusingekuwa na sekondani
wazee wa zaman walikuwa na elimu gani wengi wameishia darasa la 7 na wana watoto vipanga
SijakuelewaJamaa fix ingekuwa hvyo kule vijiji kusingekuwa na sekondani
wazee wa zaman walikuwa na elimu gani wengi wameishia darasa la 7 na wana watoto vipanga
Kuwa friendlyUkweli ni upi
Sasa tuambie kwanini unadhani watoto wengine wanakuwa wazito kuelewa na wengine wepesi kuelewa?Uongoo huo kufanya vizuri sio elimu ya wazazi ni uelewa wa mtu binafsi kuna wale wazito kuelewa na wepesi kuelewajua hilo so usiseme huo ujinga elimu mtu aliyonayo sio vigezo vya watoto kupata ufaulu darasani.
watanzania kuacha kula sio shida.Watanzania wakiweza kuacha kula ugali nchi itafika mbali
Hii story ya kwamba watoto hufuata akili za Mama huwa siiamini sana kwasababu nimelifuatilia kwa muda sana practically lakini sijaona kama vinaendanaKama wazazi ni wazito ndo imeisha ivoo, tena akiwa wife ndo bye bye [emoji16]
Mmh! Ni akili ya mtu tu kunamwingine ni mshap katika vitu sio darasani tu. Na mwingine ni mzito kuelewa.Sasa tuambie kwanini unadhani watoto wengine wanakuwa wazito kuelewa na wengine wepesi kuelewa?
Tuanzie hapo na ukijibu hilo swali vizuri ndio nitajua kiwango cha uelewa wako kuwa ni wale wenye elimu ya tia maji tia maji / elimu ya hapa na pale au upo smart vertically
Pole sana mkuu,Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Ndio nilichoandika ila katika upande ambao umeshindwa kuelewaKuwa friendly
Ukweli mchungu huu😅😅Wanarithi kwa baba na mama
Kama nyie ni vilaza msahau watoto wenu kua na akili nyingi![]()