Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

mwenzenu anataka msaada hawa n watoto wetu woteee dharauu hazinaa maana ati la sita?
M huko lakn nahitaji mtoto huyu apate soln shuleni
 
Watumie vitamins na omega oils, asubuhi kabla ya kuenda shule wale ndizi na mayai ya kuchemsha, zinasaidia kumbukumbu na kuwa active.
 
Wakat mwingine huwa ni mambo ya urithi muhimu wape chakula bora, kujumuika na watoto wa rika lao, wapate muda maalum wa kupumzika( kulala) ikiwemo mchana mengine nature will take it's course .
 
Fanya unaloona linafaa, wengine tukiwa watoto tulikua vilaza wa kutupwa ila kadri siku zinavyosonga ndo mtu anazidi kujitambua.

Kuna bwa.mdogo alikua kinara kuanzia darasa la 5-7, form 1 vipaji maalum na huko akawaongozea kiwilaya mitihani yote hadi anamaliza form 4.

Ila kabla ya hapo darasa la 1 hadi la 4 nafasi zake zilikua 20+, lakini kadri siku zinaenda kijana aliimprove sana, so wape muda.
 
Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
Walishe vyura na konokono.
 
Mkuu ulipaswa kujiuliza au kuuliza hilo swali angalau miezi mitatu kabla ya ujauzito, kwasasa umechelewa kidogo japo sijui umri wao.
Maandalizi ya akili ya mtoto kwa kiwango kikuwa huanzia miezi mitatu kabla na baada ya ujauzito, miezi au umri unaofuata ni kuimarisha na kuboresha tu.
 
Watoto wetu wana uwezo tofauti-tofauti kwenye mambo mbalimbali.
Tujifunze kuwaelewa watoto wetu na kuwekeza kwenye strengths zao badala ya kuwang'ang'aniza kufit kwenye mfumo.
 
Fanya unaloona linafaa, wengine tukiwa watoto tulikua vilaza wa kutupwa ila kadri siku zinavyosonga ndo mtu anazidi kujitambua.

Kuna bwa.mdogo alikua kinara kuanzia darasa la 5-7, form 1 vipaji maalum na huko akawaongozea kiwilaya mitihani yote hadi anamaliza form 4.

Ila kabla ya hapo darasa la 1 hadi la 4 nafasi zake zilikua 20+, lakini kadri siku zinaenda kijana aliimprove sana, so wape muda.
Hakuna ukweli mwingine zaidi ya huu..

Kuna jamaa tulisoma nae darasa la 1 hadi la 7 alikuwa kipanga form 1 hadi 4 alipoteana

Mtoto akiwa mdogo mzingatie sana kwenye vyakula vinavyo jenga akili
 
Kinachofanya mtoto awe na uwezo mzuri darasani ni two factors:
1. Hereditary factor - biological factor
Kwenye hiyo factor baba ukiwa na elimu ya kuunga unga na mam elimu ya kuokoteza okoteza basi hata ikitokea baba ukabahatisha kupata fedha za kutosha na uwezo mkubwa wa kiuchumi usije tegemea mtoto wako atakuwa na akili darasani.

Na ndio maana mnapotaka kuoa mnashauriwa usichague mwanamke kwa kuangalia shepu lake mkadhani mwanamke akiwa na mshepu ndio akili, matako makubwa sio indicator ya kusema huyu mwanamke atanizalia watoto ambao watakuwa bright, au mwanamke mweupe ukadhani uzuri - weupe wake mwanamke ndio utafanya watoto wawe na akili. HILO SAHAU KABISA.
Wanaume wengi walio oa wanafeli kwenye hili.

2. Factor ya pili ni environment unayowalelea watoto wako. Ukiwalea watoto kwenye mazingira duni don't expect kuwa watakuwa na akili darasani. Lakini hii factor ni supplement tu kwenye factor namba moja hapo.

Kwa maana nyingine hata uishi masaki, osysterbay, mikocheni etc with very good life lakini una mwanamke akili kisoda au wewe mwenyewe akili yako ya kitapeli tapeli tu halafu ndio ukaangukiwa na bahati ya mtende kuwa na FEDHA, ndugu yangu hata ufanye vipi toto lako litaendelea kuwa la hovyo hivyo hivyo.

Imagine mke darasa la saba, baba diploma au degree ya kuunga unga halafu mtoto awe na akili darasani kweli kwa ku-compete na watoto wenye mama zao ambao ni Bachelor degree holders? Hiyo sahau mkuu, kwa maana ya never ever!

Ulishapotea kwenye kufanya choice ya mke wa kuoa.

NB: MIMI NDIO MAANA KWENYE TANGAZO LANGU LA KUTAFUTA MKE NIMEKUWA VERY CLEAR - mwanamke awe Bachelor degree holder or above it na wala sitaki mwanamke mwenye elimu ya kuunga unga eti mara nilisoma certificate mara diploma, no please 🥺

Kaka ulishayakanyaga, endelea kukomaaa tu na hali yako
Uongoo huo kufanya vizuri sio elimu ya wazazi ni uelewa wa mtu binafsi kuna wale wazito kuelewa na wepesi kuelewajua hilo so usiseme huo ujinga elimu mtu aliyonayo sio vigezo vya watoto kupata ufaulu darasani.
 
Mfumo wa maisha yako hapo nyumbani ndio mashine ya kunoa akili ya wanao.. wewe mwenyewe unaishi nao vipi.
1. Unakuta mzazi saa nne usiku upo na mwanao sebuleni mnaangali tamthilia, hapo ukipanga darasani sahau, ingawa wachache wanafanikiwa.
2. Mzee unakuta everyday unarudi upo nyingi kichwani haufuatilii maendeleo ya shule hapo ukipanga sahau.
3. Mzazi atakuzuga mara Moja Moja na wewe upo kibarazani unasoma kakitabu hakuna.
4. We Kila siku ukirudi nyumbani kumzukia tu mama Yao Kwa kauli chafu na muda mwingine unampa kisago mbele yao, hapo ukipanga sahau.
5. Mzazi kutwa kuwaza birthday ya mwanao kuliko kumnunulia vitabu na kutafuta mwalimu wa ziada.
6.
Uongo huo
 
Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
Mwanangu anajua Sana mahesabu yupo kayumba standard 4 akili nyingi sanaa amekua wa 5 Kati ya 278

NB.
Usitegemee kuoa au kujaza mimba mwanamke asiye na akili IQ ukategemea utazaa watoto wenye akili..my friend never.

Nyumbani kwetu tumboni mwa mama angu watoto wake wote wa 5 wote wanaelimu ya chuo kikuu wakati mwingine hizi akili zinaendana na ukoo..
 
Back
Top Bottom