SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Hu jintao hiNdio nilichoandika ila katika upande ambao umeshindwa kuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hu jintao hiNdio nilichoandika ila katika upande ambao umeshindwa kuelewa
OkHu jintao hi
Dunia ya sasa akili za darasani zinaweza zisiwasaidie kama unavyodhani. Huko dunia imehama, cha msingi zingatia interests na passion zao.Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Vipi ukoo wenu una akili lakini?Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Haisaidii hata!Tengenezeaa Juicee wanywe mkuu
Hao wanatumia uji kama mboga.watanzania kuacha kula sio shida.
shida kuna wasukuma hawa viumbe hakuna anayeweza kuwatenganisha na ugali
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wale nini ambacho hakidumazi akili??Ukitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.
Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
Na ikitokea mkewe kazaa kipanga awahi fasta kupima DNA kwa sababu usikute kabla ya mimba ya huyo mtoto Mwashambwa alikuwa akiishi jirani nao.
wazazi vilaza mnataka watoto wawe genious sasa watakuwa wamerithi kwa nani? au mchepuko?Mama ni wa la saba tu, baba ana diploma ya IT, na anadigrii ya uongozi na maendeleo ya jamii, pia anacheti ya veta ya udereva. Huyo bado sio, hata kwao baba ndugu zake ni wasomi waziristan tu hata mzazi wa baba naye msomi mzuri tu.
ujinga huuKama utaweza mkuu wajengee ratiba ya kulala mapema then uwe unawaamsha saatisa usiku unakaa nao mnafanya ibada na wanasoma kuanzia dk 40-60 wakishindwa kutoboa kwa viwango ujue hapo hakuna Mwalimu atawaweza.
Una kitu mkuu hembu fafanua...krk malezi kiaakiliKwanza wanajitambua yaani wana uelewa mzuri ukitoa mambo ya shule?
Ikiwa jibu ni ndio waelekeze katika vipawa vyao zaidi .
Mfano ikiwa hawapati A Ila pia hawapiati D basi hao wako vizuri.
Mimi Kama Mwalimu natoa ushauri kuwa tumia mbinu za kuwajengea mentality ya ushindi kuanzia ndani yao. Hii waweza tumia subconscious mind.
Usitumie nguvu kubwa mfano viboko nk hizo mbinu hazisaidii chochote.
Mtoto mjenge taratibu kwa kumtia moyo na hata akipata marks ndogo wewe mtie moyo
Unajidanganya kuna watoto wengine vichwa maji hata ufundishe vp haelewi huyu anakuwa anakipaji sehemu nyingine mpeleke hukoBinafsi huwa siamini sana katika akili ya kurithi kwa wazazi, hii naipa asilimia kidogo sana. Nijuavyo, hakuna mtu anazaliwa mtupu..kila mtoto ana kitu, na hicho kitu ni muhimu wazazi/walimu kukibaini na kukiendeleza. Baada ya darsani(masomo) wajenge watoto utaratibu wa kufanya vitu vingine nje ya ratiba za shule/tuition; mfano kuchora, kufinyanga, kucheza mpira, kusimulia hadithi, nk. Watie moyo na kuwajengea imani kuwa wanaweza, na wanaweza kuwa kama fulani aliyefanikiwa...
Walishe ndizi Kwa sana!Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Unataka waje kuwa wakina nani hao watoto wako.? Maisha yamebadilika sana ni zaidi ya kupata div one unapokuja kwenye mazingira halisi. Chunguza uwezo wa watoto wako upo kwenye nini, inawezekana wana vipaji labda vya michezo kama mpira wa miguu au wana ujuzi wa jambo fulani. "Ufaulu darasi siyo ufaulu maisha maishani".Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE