MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mpe nyama nyingi ya kitimoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUSIBISHANE. Endelea kula hilo dona kama lina manufaa kwako.unaleta hekaya sasa. mkate wa kukoboa hauna faida yoyote mwilini kama unakula white bread ni unafurahisha tumbo. kula brown bread. unapata fibre bwana mdogo.
Na nani kakuambia huko English medium ni vituo vya kuwafanya watoto wawe na akili ni nani?Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Ushauri kutoka kwa SHIRIMA.Mpe nyama nyingi ya kitimoto
ukoo wa mke au mkeo anaakili?Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Mkuu kwamba unataka kusema malezi ya kitaalamu ya mtoto anayopata english medium na sawa na anayopata wa shule za kata?Na nani kakuambia huko English medium ni vituo vya kuwafanya watoto wawe na akili ni nani?
• Vipi mama yao alikuwa anabugia Pombe or aliabuse dawa yoyote ile wakati wa ujauzito?Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE
Mtoto akipata A maana yake ana akili? huu ujinga tunautoa wapi?Kwanza wanajitambua yaani wana uelewa mzuri ukitoa mambo ya shule?
Ikiwa jibu ni ndio waelekeze katika vipawa vyao zaidi .
Mfano ikiwa hawapati A Ila pia hawapiati D basi hao wako vizuri.
Mimi Kama Mwalimu natoa ushauri kuwa tumia mbinu za kuwajengea mentality ya ushindi kuanzia ndani yao. Hii waweza tumia subconscious mind.
Usitumie nguvu kubwa mfano viboko nk hizo mbinu hazisaidii chochote.
Mtoto mjenge taratibu kwa kumtia moyo na hata akipata marks ndogo wewe mtie moyo
nani kakudanganya?Akili ina_tegemeana na mazingira wanayoishi.
Akili pia inarithiwa kutoka kwa wazazi.
Nini maana ya akili? tuna kwama sana, Akili kila mtu anazaliwa nazo, hakuna kituo wala shule ya ku inject akili kwa watoto, pale shuleni ni vituo vya kuwafanya zile mind zao sasa au akili walizo nazo ziweze kufikiria vitu, mfano, kwa nini atupe jiwe juu then irudi chini, kwa nini Maeneo yasio kuwa na miti. mingi au misitu hayapati mvua nyingi,Mkuu kwamba unataka kusema malezi ya kitaalamu ya mtoto anayopata english medium na sawa na anayopata wa shule za kata?
Shule zipi? nazani unataka kumanaisha kama wanapiga A darasani, make ndio swaga za English medium, sikiliza A haimanishi akili, tunakwama sanaSijaona hata aliyeuliza anasoma shule gani? Kuna shule ni changamoto walimu wanaangalia yao. Watoto 600 Dr's moja mwalimu mmoja. Kama anasoma dar muhamishie mkoani. Kama ana soma gvt na yupo dar Hamishia pvt.
Elimu ni uwekezaji ukiwekeza kwenye bure kuvuna ni majaaliwa ya Mungu. Hata kilimo siku hizi hakitegemei mvua ya mwenyeez Mungu.
Zingatia.
Huwezi kufundishwa kila kitu.
Wapo darasa la ngapi?Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.
Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.
Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.
NIFANYEJE