Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

Nifanyeje wanangu wawe na akili nyingi darasani

Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
mara nyingi wenye akili ni watu wenye tabia njema. rekebisha tabia zao.
 
Mfumo wa maisha yako hapo nyumbani ndio mashine ya kunoa akili ya wanao.. wewe mwenyewe unaishi nao vipi.
1. Unakuta mzazi saa nne usiku upo na mwanao sebuleni mnaangali tamthilia, hapo ukipanga darasani sahau, ingawa wachache wanafanikiwa.
2. Mzee unakuta everyday unarudi upo nyingi kichwani haufuatilii maendeleo ya shule hapo ukipanga sahau.
3. Mzazi atakuzuga mara Moja Moja na wewe upo kibarazani unasoma kakitabu hakuna.
4. We Kila siku ukirudi nyumbani kumzukia tu mama Yao Kwa kauli chafu na muda mwingine unampa kisago mbele yao, hapo ukipanga sahau.
5. Mzazi kutwa kuwaza birthday ya mwanao kuliko kumnunulia vitabu na kutafuta mwalimu wa ziada.
6.
 
Albert Einstein alipokuwa mvulana mdogo akiwa shuleni, uwezo wake ulikuwa mbovu kiasi kwamba mwalimu alifikia hatua ya kumuambia aache shule kwani hawezi kuja kufanikisha chochote. Lakini ndiye alikuja kuwa winner wa nobel prize 1921, tuzo za heshima kubwa sana duniani.

Thomas Edison mwanasayansi aliyegundua bulb, kipindi ni mvulana mdogo akiwa shuleni uwezo wake darasani ulikuwa mbovu kiasi kwamba mwalimu wake akamuambia ''wewe ni mjinga sana na huwezi ukaelewa chochote'', Siku moja dogo kipindi anatoka shuleni, akamuambia mama yake "mama mwalimu kanipatia karatasi hii, lakini kaniambia usome ni wewe pekee unapaswa kusoma, kwani barua hio inasemaje mama?"
Mama alibubujikwa na machozi na akasoma ile karatasi kwa sauti "mtoto wako ni genius sana, hii shule ni ndogo sana kwake na hakuna walimu wanaoweza kumfundisha, tafadhali mfundishe mwanao mwenyewe."

Miaka mingi baadae baada ya mama yake na Thomas Edison kufariki na Edison amekwisha kuwa mwanasayansi mkubwa wa karne aliweza kukuta ile barua kwenye kabati la nguo la mama yake, kumbe kile kikaratasi kiliandikwa "mtoto wako ana upungufu wa akili, hatuwezi kumuacha aendelee na shule yetu, tumemuachisha shule", kwa lugha ya kiingereza mentally deficiency tukitafsiri ni mtu mwenye upungufu wa akili, wengine huku wanasema dishi limecheza, sasa you can imagine Edison uwezo wake ulivyokuwa mdogo darasani.

Baadae Edison aliandika kwenye diary yake “Thomas A. Edison was a mentally deficient child whose mother turned him into the genius of the century.” --
Akiwa na maana kwamba "Thomas A. Edison alikuwa mtoto mwenye upungufu wa kiakili ambaye mama yake alimgeuza kuwa genius wa karne hii."

Hio tunaita ni nguvu ya maneno, maneno ya mama yalimfanya mtoto awe mgunduzi wa bulb ambayo tunaitumia leo, mkuu jaribu kukaa karibu na watoto wako, wapende, wajali, wape moyo, usiwachape hovyo na kuwaita wajinga ukifikiri unawajenga wakati unawaua ndani kwa ndani, ndio watoto wako Mungu kakupa hakuna wengine, mbeleni wanaweza kuja kufanya maajabu kama Edison 🙂
 
Albert Einstein alipokuwa mvulana mdogo akiwa shuleni, uwezo wake ulikuwa mbovu kiasi kwamba mwalimu alifikia hatua ya kumuabia aache shule kwani hawezi kuja kufanikisha chochote. Lakini ndiye alikuja kuwa winner wa nobel prize 1921, tuzo za heshima kubwa sana duniani.

Thomas Edison mwanasayansi aliyegundua bulb, kipindi ni mvulana mdogo akiwa shuleni uwezo wake darasani ulikuwa mbovu kiasi kwamba mwalimu wake akamuambia ''wewe ni mjinga sana na huwezi ukaelewa chochote'', Siku moja dogo kipindi anatoka shuleni, akamuambia mama yake "mama mwalimu kanipatia karatasi hii, lakini kaniambia usome ni wewe pekee unapaswa kusoma, kwani barua hio inasemaje mama?"
Mama alibubujikwa na machozi na akasoma ile karatasi kwa sauti "mtoto wako ni genius sana, hii shule ni ndogo sana kwake na hakuna walimu wanaoweza kumfundisha, tafadhali mfundishe mwanao mwenyewe."

Miaka mingi baadae baada ya mama yake na Thomas Edison kufariki na Edison amekwisha kuwa mwanasayansi mkubwa wa karne aliweza kukuta ile barua kwenye kabati la nguo la mama yake, kumbe kile kikaratasi kiliandikwa "mtoto wako ana upungufu wa akili, hatuwezi kumuacha aendelee na shule yetu, tumemuachisha shule", kwa lugha ya kiingereza mentally deficiency tukitafsiri ni mtu mwenye upungufu wa akili, wengine huku wanasema dishi limecheza, sasa you can imagine Edison uwezo wake ulivyokuwa mdogo darasani.

Baadae Edison aliandika kwenye diary yake “Thomas A. Edison was a mentally deficient child whose mother turned him into the genius of the century.” --
Akiwa na maana kwamba "Thomas A. Edison alikuwa mtoto mwenye upungufu wa kiakili ambaye mama yake alimgeuza kuwa genius wa karne hii."

Hio tunaita ni nguvu ya maneno, maneno ya mama yalimfanya mtoto awe mgunduzi wa bulb ambayo tunaitumia leo, mkuu jaribu kukaa karibu na watoto wako, wapende, wajali, wape moyo, usiwachape hovyo na kuwaita wajinga ukifikiri unawajenga wakati unawaua ndani kwa ndani, ndio watoto wako Mungu kakupa hakuna wengine, mbeleni wanaweza kuja kufanya maajabu kama Edison 🙂
Afate huu ushauri .
 
Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
Ili iweje......akili haipimiki Kwa ufaulu wa darasani...muulize Thomas Edison, mvumbuzi wa bulb, alikuwa kilaza haijawai tokea......be flexible akiwa wamwisho mpongeze.....
 
Mtoto mwenye akili anasoma shule yoyote hile na bado anakua kichwa tulisoma na watoto wametoka English medium lkn vilaza wanabuluzwa na wenzangu na mie kidumu na mfagioo
Haimaanishi ya kwamba ukimpelekea mtoto english medium lazima awe kipanga au ukimpeleka mtoto shule ya kata lazima awe kilaza, kinachoangaliwa ni posibility. Malezi ya kitaaluma anayopewa mtoto uko english medium kuna probability kubwa ya mtoto kufikia potential yake kiakili ukilinganisha na malezi anayopewa shule ya kata.

Mimi primary nimesoma shule ya kata na std 7 nikafaulu kwa daraja la juu form 1 nikapangiwa azania secondary. Kipindi hicho ukisikia mtu anasoma azania ujue hicho kichwa ni cha moto, lakini hata kama nilipiga fresh kwenye shule za kata kamwe siwezi nikampeleka mwanangu shule ya kata wakati uwezo wa kumpeleka FEZA ninao kwa sababu nayajua mazingira ya izo shule za kata.

Mtu mpaka unaingia kwenye mtihani wa midterm kuna masomo kibao hamna mwalimu wa kuwafundisha unasoma wewe mwenyewe tu halafu unatetea shule za kata. Pambana wanao wasome shule nzuri. Kutaabika sio mashindano.
 
Wanarithi kwa baba na mama
Kama nyie ni vilaza msahau watoto wenu kua na akili nyingi :AmberDollDance:
Siyo kweli japo Kuna % fln. Watoto wa dada yangu wanabukua sio mchezo ila babake na dada tunajua wenyewe tu mmewehata kusoma hajui na kamaliza la 7! Tena miaka ya 2003 ndo akamaliza stnd7 mamake yeye la Saba alirudia ndo akafanikiwa form two Chali akaachia na hapo
 
Haimaanishi ya kwamba ukimpelekea mtoto english medium lazima awe kipanga au ukimpeleka mtoto shule ya kata lazima awe kilaza, kinachoangaliwa ni posibility. Malezi ya kitaaluma anayopewa mtoto uko english medium kuna probability kubwa ya mtoto kufikia potential yake kiakili ukilinganisha na malezi anayopewa shule ya kata.

Mimi primary nimesoma shule ya kata na std 7 nikafaulu kwa daraja la juu form 1 nikapangiwa azania secondary. Kipindi hicho ukisikia mtu anasoma azania ujue hicho kichwa ni cha moto, lakini hata kama nilipiga fresh kwenye shule za kata kamwe siwezi nikampeleka mwanangu shule ya kata wakati uwezo wa kumpeleka FEZA ninao kwa sababu nayajua mazingira ya izo shule za kata.

Mtu mpaka unaingia kwenye mtihani wa midterm kuna masomo kibao hamna mwalimu wa kuwafundisha unasoma wewe mwenyewe tu halafu unatetea shule za kata. Pambana wanao wasome shule nzuri. Kutaabika sio mashindano.
Kuna watu wanaamini ugumu wa elimu ndio ubora wa elimu.
 
Miongoni mwa mambo ya maana katika hii dunia mbaya ya siku za mwisho ni Elimu. Kila mzazi anatamani kama mimi ninavyotamani wanangu wawe vichwa darasani katika masomo yao, lakini wengi, kama mimi pia tunaishia kutamani tu hasa tunapoona watoto wa wengine wakifanya maajabu katika masomo yao.

Kwangu mimi wanangu hawaendi nitakavyo, mimi pamoja na wanangu kusoma shule za binafsi, English mid. Anayejua siri ya watoto kufanya vizuri anipe wandugu.

Nimejitahodi kuwakazania kusoma na kuwasaidia mimi mwenyewe. Tuition za kufa mtu, vitabu nanunua. Wakifeli na fimbo wanapata, wakifaulu zawadi wanapata. Lakini sioni kufanya vizuri kule mimi ninakotaka, inaniuma sana.

NIFANYEJE
Pole sana. Nadhani watakuwa wanafeli kwa sababu yako.
1. Inaonekana unawa-overwork. Walioweka muda wa masomo na wa kupumzika siyo wajinga. Mtoto mdogo ubongo wake unahitaji kupumzika na kucheza na siyo kusoma muda wote.
2. Fimbo hata siku moja siyo njia nzuri ya kumfunza mtoto masomo. Ni mbaya sana na inafanya mtoto ashindwe kujifunza na kuchukia shule.
 
Haimaanishi ya kwamba ukimpelekea mtoto english medium lazima awe kipanga au ukimpeleka mtoto shule ya kata lazima awe kilaza, kinachoangaliwa ni posibility. Malezi ya kitaaluma anayopewa mtoto uko english medium kuna probability kubwa ya mtoto kufikia potential yake kiakili ukilinganisha na malezi anayopewa shule ya kata.

Mimi primary nimesoma shule ya kata na std 7 nikafaulu kwa daraja la juu form 1 nikapangiwa azania secondary. Kipindi hicho ukisikia mtu anasoma azania ujue hicho kichwa ni cha moto, lakini hata kama nilipiga fresh kwenye shule za kata kamwe siwezi nikampeleka mwanangu shule ya kata wakati uwezo wa kumpeleka FEZA ninao kwa sababu nayajua mazingira ya izo shule za kata.

Mtu mpaka unaingia kwenye mtihani wa midterm kuna masomo kibao hamna mwalimu wa kuwafundisha unasoma wewe mwenyewe tu halafu unatetea shule za kata. Pambana wanao wasome shule nzuri. Kutaabika sio mashindano.
Umemuelimisha vizuri.
 
Ukitaka kuwa na watoto vipanga darasani hakikisha unaoa mke kipanga haswa.Yaani mkeo awe mwerevu Kweli Kweli.

Then hakikisha watoto wako hawali ugali kbsa coz Ni chakula kinachodumaza akili.
mama kuwa kipanga et watoto watakuwa kipanga hapana, ila ugali, jamani nasema ugali ni sumu kwa ustawi wa mtoto kiakili.
 
Back
Top Bottom