Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Hata ikiwa kila ki2 humo sawa na zitatosha kwa kianzio ila profit utayopata ni kubwa sana kaa uwekezaji wa hiyo mil8 kikubwa UZA jumla na rejareja utamaliza mzigo haraka na utawahi kuchukua mzigo mwingine na ukienda kwa mara ya pili dubai unaweza pata mzigo kwa discount kubwa mno yaniii kiufupiii spare parts used haimuangushiii mtuuu tuishiii humu
 
Kuna mengi ya kuzingatia pamoja na imani yako na ujuzi ulio nao. Ingia ufugaji weka ngombe. Kama imani inaruhusu fuga nguruwe.
 
Dah Wabongo KWA kukatisha watu tamaa hamjambo Mimi nilianza na nusu yake baada ya kudunduliza na nikawa naingiza mil 2.5 KWA mwezi kwenye biashala nafaka one kuwa yeye ambaye ana 12 Yani hapo akitulia anatoboa mapema sana
Mkuu umesema kwa kifupi sana tuelezee kwa undani kidogo tupate mwanga.
 
Wekeza kwa mkataba na kampuni ya vegrab.co.tz utafunga mashine za kukaushia pilipili na utalipwa na kampuni mpaka 2M Kwa mwezi

Na mradi ni mpaka 20years
 
Wekeza kwa mkataba na kampuni ya vegrab.co.tz utafunga mashine za kukaushia pilipili na utalipwa na kampuni mpaka 2M Kwa mwezi

Na mradi ni mpaka 20years
mkuu na amini una kitu kizuri kutujulisha lkn maelezo yako kama hayajitoshelezi. Chambua kidogo watu wapate mwanga zaidi
 
Tupe na gharama za usafirishaji toka shamba mpk Dar pamoja na ushuru na mengineyo ili tupge hesabu ya net profit
 
Kuna mengi ya kuzingatia pamoja na imani yako na ujuzi ulio nao. Ingia ufugaji weka ngombe. Kama imani inaruhusu fuga nguruwe.
Mkuu, mrejesho wa faida hapa huonekana baada ya muda gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…