Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesema kwa kifupi sana tuelezee kwa undani kidogo tupate mwanga.Dah Wabongo KWA kukatisha watu tamaa hamjambo Mimi nilianza na nusu yake baada ya kudunduliza na nikawa naingiza mil 2.5 KWA mwezi kwenye biashala nafaka one kuwa yeye ambaye ana 12 Yani hapo akitulia anatoboa mapema sana
Kweli KabisaMpe mtu ushauri hapa kwa faida ya wengine pia...namba ya simu katika dunia iliyo chakaa siyo poa sana man
Wekeza kwa mkataba na kampuni ya vegrab.co.tz utafunga mashine za kukaushia pilipili na utalipwa na kampuni mpaka 2M Kwa mweziSalaam Alleykhum,
Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.
Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.
Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
mkuu na amini una kitu kizuri kutujulisha lkn maelezo yako kama hayajitoshelezi. Chambua kidogo watu wapate mwanga zaidiWekeza kwa mkataba na kampuni ya vegrab.co.tz utafunga mashine za kukaushia pilipili na utalipwa na kampuni mpaka 2M Kwa mwezi
Na mradi ni mpaka 20years
haiwezi tosha labda atumie majengo ya kukodi .Maana kujenga nursery mpaka ikamilike ni kipengereTafuta sehemu ambayo ni upcoming fungua day care & nursery ya kisasa haswa, itangaze vizuri then anza kupokea mil 2 kila mwezi kama faida 🏃🏿🏃🏿🏃🏿
Ipoje hii?Anza biashara ya kufyatua tofari block
Mkuu, nilizipata kupitia kazi niliyoajiriwaHizo 12m Ulizipataje na kwa muda gani huenda ulivyozipata jaribu kuboresha....
Nothing beats Experience kwenye life of Business...
Shukrani kwa ushauri. Hii pesa nimeipata kupitia kazi (Ajira) ninayoifanya kwa sasaKama ni mirathi basi nunua boda mbili harafu nyingine zipige fixed account
Achana na pisi utakua lia balaa ukiishiwa tu wanaachana nawewe.
Mungu akutangulie
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Tupe na gharama za usafirishaji toka shamba mpk Dar pamoja na ushuru na mengineyo ili tupge hesabu ya net profitBiashara mpya kwa mtaji huo mkubwa is too much risk kama hautasimamia mwenyewe mkuu
Ila kuna option ya kununua mazao ya chakula hasa Mpunga gunia zako za kutosha na kuziweka store na inapofika kipindi cha Masika unafanya kuzikoboa gunia zako na kupata mchele wako swafi tayari kwa kuingiza sokoni kwani kipindi hicho uhitaji wa mchele unakuwa mkubwa sana hapa Dar es Salaam na Zanzibar
Minimum profit calculation
Katika centre nyingi ninazo zifahamu kwa muda huu gunia moja la Mpunga lina range kwenye TSH. 50,000/=
Hivyo basi kwa Pesa uliyonayo yaani TSH. 12,000,000, utaweza kupata gunia zenye debe sita sita 240 za mpunga na kuzihifadhi.
Kipindi ambacho Masika imechanganya hasa mwezi wa kwanza au wa pili, wewe ndo unafanya kukoboa mpunga wako ili upate mchele na gunia 1 la mpunga la debe sita linatoa debe tatu za mchele na debe moja la chenga za mchele
Hivyo basi katika zile gunia 240 unazidisha mara 3 na utapata debe 720 za mchele clear na debe 240 za chenga za mchele
Ukija sokoni debe moja la mchele lina range kwenye 35,000/= kwahyo unazidisha mara debe zako 720 za mchele na utapata kiasi cha TSH. 25,200,000/=, pia debe moja la chenga za mchele ina range kwenye TSH 10,000/= ukizidisha na debe 240 utapata kiasi cha 2,400,000/=
Total itakuwa ni Tsh. 27,600,000/= na ukitoa mtaji wako wa 12,000,000/= utapata net profit ya TSH. 15,600,000/= katika kipindi cha miezi mitano cha kuhifadhi mpunga wako
Ila ukija kutoa gharama za kuhifadhi mpunga na kukoboa haizidi TSH. 5,000,000/=,hivyo bado net profit itabaki kama 10,000,000/= katika miezi mitano yako ya uvumilivu.
Centre zenye mpunga mzuri ni kama zifuatazo Kyela, Kamsamba na kilyatundu, Usangu, Kahama ila kwa Morogoro sizifahamu vizuri
Naomba kuwasilisha na ninakaribisha maswali
Duka la vipodozi mkuu halafu kila mwezi niingize mil.2 as net profit?/Fungua dukanla vipodozi
Mkuu, mrejesho wa faida hapa huonekana baada ya muda gani??Kuna mengi ya kuzingatia pamoja na imani yako na ujuzi ulio nao. Ingia ufugaji weka ngombe. Kama imani inaruhusu fuga nguruwe.