Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Si wakristo hatuwezi funga mtu eti katukana mungu sijawahi sikia hao ni wa upande wa pili kitabu chao kime amuru hata kuua.Hata nami nakubaliana na ww. Naam; wamlete mungu athibitishe matusi alotukanwa.
Ndiyo. Na ayaseme kwa kutamka matusi au matukano alotukanwa.Mungu yupi? Mungu aletwe mahakamani aje ajitetee kuwa ametukanwa
Huyo mungu waliomtetea ameona aibu kuwa hiyo ni kesi Fake akaamua kutohudhuria Mahakama.Si wakristo hatuwezi funga mtu eti katukana mungu sijawahi sikia hao ni wa upande wa pili kitabu chao kime amuru hata kuua.
Galileo Galilei aliuwawa na kina nani?Si wakristo hatuwezi funga mtu eti katukana mungu sijawahi sikia hao ni wa upande wa pili kitabu chao kime amuru hata kuua.
Simjui ni wawapi ama kaandikwa wapi?Galileo Galilei aliuwawa na kina nani?
Hakika watampaAtafute ukimbizi tu Ulaya, Canada au Marekani.
Alikufa kifo cha kawaida 08/01/1642 akiwa na umri wa miaka 77.Galileo Galilei aliuwawa na kina nani?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ ImagineKilichomsibu huyo mwanaume ni DINI na wala sio eti alimtukana Mungu.
Mungu hajawahi kuhitaji watu wa kumtetea au kumsemea. Mbona hatujamsikia Mungu akilalamika katukanwa? Watu wanajipa Uwakili kwa Mungu i.e. Mungu ni mteja wao.
๐คฃ๐คฃ๐คฃYaani unamtukana mungu ila unahukumiwa na waswahili na kufungwa jela za waswahili.. Mambo mengine ni magum kuelewa
Eti kamtukana Mungu ๐Walimfunga Kwa Ajili ya nini?
๐๐Mlalamikaji alikuwa nani..?๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ What a foolish !!Huyu jamaa alikuwa muislamu, akaacha imani akawa atheists
2014 wazazi wake walimpeleka hospitali ya akili, wakiamini alichanganyikiwa
Alifanikiwa kuwa raisi wa Humanist Association ya Nigeria
Shida ni kwamba alikuwa anakosoa dini kwenye account yake ya fb
Huko kwenye jimbo alilokuwa anaishi, kuna sharia law
Siku moja sijui alipost nini wakamkamata wakidai alimtusi prophet mohammed
Alitrend hadi BBC walitengeneza documentary
Kumekucha ๐คฃGalileo Galilei aliuwawa na kina nani?
Basi you have a lot to learnSimjui ni wawapi ama kaandikwa wapi?
Wazingu wanawajua wa Nigeria utapeli wao kuwa alifanya hivyo kwa kus8di.apate hifadhi ndio.maana walikauka kimya hadi akafungwa jelaMaisha kuwa hatarini ageuze iwe fursa aombe hifadhi kama asylum seeker akaishi mbele kwa mbele mamtoni.
Nigeria kuna Wakristo imani imani kali pia wanaamini huo mstari wa kusema kuwa mtu akikupiga shavu hili.mgeuzie hili.kuwa unamaanisha akikupiga mfano ngumi.shavu la kushoto na wewe mgeuzie kwa kumtandika ngumi shavu lake la kuliaInategemea huyo Mungu alipomtukana alimtukana akiwa ktk content zilizotokana na dini gani,kama alitumia content za ile dini ya wenyewe kumtukana ajue na atambue yeye ni maiti inayotembea muda wowote kichwa wanabeba
Ila kama ni wale wengine wa shavu hili geuza na hili hata akienda kumtukana tena leo hakuna wa kumgusa.