Nigeria: Aliyemtukana Mungu ameachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka minne gerezani

Nigeria: Aliyemtukana Mungu ameachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka minne gerezani

wewe uliyekuwa nje ya gereza miaka minne umeingiza mkwanja kiasi gani
 
Kilichomsibu huyo mwanaume ni DINI na wala sio eti alimtukana Mungu.
Mungu hajawahi kuhitaji watu wa kumtetea au kumsemea. Mbona hatujamsikia Mungu akilalamika katukanwa? Watu wanajipa Uwakili kwa Mungu i.e. Mungu ni mteja wao.
🤣🤣🤣 Imagine
 
Walimfunga Kwa Ajili ya nini?
Eti kamtukana Mungu 😆

Dunia Una mambo ya ajabu Sana yaani kutukanwa atukanwe Mungu , Mungu mwenyewe Wala hajaonyesha kukasirika wala kuhitaji msaada wa kusaidiwa kumuwajibisha Huyo mtu baada ya yeye kutukanwa lakini binaadamu wamechukua jukumu la Mungu aliye Tukanwa na kumu wajibisha Huyo mtu


Hizi dini ni uchizi 🚮🚮
 
Huyu jamaa alikuwa muislamu, akaacha imani akawa atheists

2014 wazazi wake walimpeleka hospitali ya akili, wakiamini alichanganyikiwa

Alifanikiwa kuwa raisi wa Humanist Association ya Nigeria

Shida ni kwamba alikuwa anakosoa dini kwenye account yake ya fb

Huko kwenye jimbo alilokuwa anaishi, kuna sharia law

Siku moja sijui alipost nini wakamkamata wakidai alimtusi prophet mohammed

Alitrend hadi BBC walitengeneza documentary
🤣🤣🤣 What a foolish !!
 
Maisha kuwa hatarini ageuze iwe fursa aombe hifadhi kama asylum seeker akaishi mbele kwa mbele mamtoni.
Wazingu wanawajua wa Nigeria utapeli wao kuwa alifanya hivyo kwa kus8di.apate hifadhi ndio.maana walikauka kimya hadi akafungwa jela
 
Inategemea huyo Mungu alipomtukana alimtukana akiwa ktk content zilizotokana na dini gani,kama alitumia content za ile dini ya wenyewe kumtukana ajue na atambue yeye ni maiti inayotembea muda wowote kichwa wanabeba

Ila kama ni wale wengine wa shavu hili geuza na hili hata akienda kumtukana tena leo hakuna wa kumgusa.
Nigeria kuna Wakristo imani imani kali pia wanaamini huo mstari wa kusema kuwa mtu akikupiga shavu hili.mgeuzie hili.kuwa unamaanisha akikupiga mfano ngumi.shavu la kushoto na wewe mgeuzie kwa kumtandika ngumi shavu lake la kulia
Hata kwa Wakristo ajiandae pia
 
Back
Top Bottom