Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Amani itatawala, biashara zitaendeshwa kihalali, maendeleo yataonekana, dhulma, unyanyasaji, mauwaji, ufisadi, wizi, ujambazi n.k yote hayatakuwepo.
Ukweli. So huko uislamu unakotawala hizi Mambo hayapo mkuu. Kama ni ivyo mbona tumechelewa sana. Namie naweza nikapigania iyo hii Hali ije Ila sidhani Kama dunia itakua ivyo na je mbinguni kitakuwa na nini. Hebu tucheki huko Lebanon ama Pakistan mujahirina hawataki mademu wasome ama watakuwa na kiburi
 
Na mzungu akiwa muislam itakua Bora kuliko mwarabu...mwarabu mjingamjinga Sana,hata mtume aliwakuta wakiua watoto wa kike ati aibu,sijui wangettomba wapi miaka kadhaa baadae
Wanavyopenda kut00mbana Mana wanaambiwa kuwa watende mema huko mbinguni Kuna demu wa tako lake litakuwa ni futi arobaini ,ama nakosea jamani,yaani kutenda mema sie tunalipwa ngono jamani ,yaani basi tu hata Kama mie Sina dini. Mana dini zetu za kiafrika mnaziiita za kipagani na huku kila watu Wana dini yao
 
Kwahiyo?
 
Wazunu wengi wana mtoto 1 tu, waislamu ni watoto 4 hadi 6, na hapo bado wengine wanaendelea kwenda ulaya, mfano hapo majuzi wale wa Afghanistan maaelfu wapo uingereza na ujerumani kwa sasa, ni mwendo wa kuzaliana tu na kuwachorea ramani ndugu zao
Kwani wanaochafua hizo nchi za kiislamu na kusababisha vurugu ni akina nani, si ni hao wazungu wakristo?

Mfano: Libya, hata huko Afghanistan..... basi waache wawapokee kwenye nchi zao, wewe unaumia nini?
 
Kuna starehe kwa binaadamu zaidi ya ngono,pombe na kula!?
 
Kwahiyo point yako nikwamba, waarabu wa sasa wote ni wajinga, na sio wale walioukataa uisilamu enzi za mitume!!
Jamii haiwezi kuwa wote wajinga,Ila hata aliyewashinda Askari wa Vita vya msalaba akina zenqi,Salahuddin na mamluki,hawakuwa waarabu..waarabu walikua bize kugombea uluwa(ukubwa)
 
Hata wakiwa wengi dunia nzima then what?
 
Sasa hebu tufungulie ndani ya box unataka kusemaje?
Naona unazunguka sana. Kwani ulaya ikiwa ya waislam ndio inakuwaje?

Funguka ....
 
Ni swala la muda tu kabla waisilamu wote hawajabadilishwa na kuwa watu wa anasa na na kuachana na ibada.
Ukiwa ulaya ndio unaelewa Nini maana ya kuwa huru..
 
uko sahihi, Mchungaji Gwajima ana mafundisho yako youtube akielezea hali hii. Kwa ufupi chinja chinja kwa jina la Allah iko njian. naam ndio ujio wa Mpinga Kristo.
 
Ulaya bado sana. Muwe mnapima ndoto zenu kwa takwimu.
 
Sishangai....
Majini yameachiwa yatawale Dunia

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
uko sahihi, Mchungaji Gwajima ana mafundisho yako youtube akielezea hali hii. Kwa ufupi chinja chinja kwa jina la Allah iko njian. naam ndio ujio wa Mpinga Kristo.
Acheni ndoto za mchana. Hakuna namna ulaya itakuwa nchi ya kiislamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…