Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Yesu ni Mungu Kamili na ni Mwanadamu Kamili!
Yesu Aliongea kuhusu Kutumwa Alipokuwa katika Hali yake ya Ubinadamu Kamili!
[emoji116][emoji116]

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

Ratiba ya Huduma ya Yesu duniani Ilikuwa hivi kabla ya Ufufuko!
[emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535]
Isaya 49
6 naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuziinua kabila za Yakobo, na kuwarejeza watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.

Baada ya Ufufuko!
[emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535]
Mathayo 28
16 Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya mpaka mlima ule aliowaagiza Yesu.

17 Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka.

18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Screenshot_20220521-114037_Gallery.jpg
 
Yesu ni Mungu Kamili na ni Mwanadamu Kamili!
Yesu Aliongea kuhusu Kutumwa Alipokuwa katika Hali yake ya Ubinadamu Kamili!
[emoji116][emoji116]

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.

Ratiba ya Huduma ya Yesu duniani Ilikuwa hivi kabla ya Ufufuko!
[emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535]
Isaya 49
6 naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuziinua kabila za Yakobo, na kuwarejeza watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.

Baada ya Ufufuko!
[emoji116][emoji2535][emoji116][emoji2535]
Mathayo 28
16 Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya mpaka mlima ule aliowaagiza Yesu.

17 Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka.

18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.View attachment 2234652
Uiyo ni picha tu na maneno ya kutengenezwa tu, pamoja na uarabu wake au uzungu wake au ukabila wowote iwayo
Atakaesema maneno hayo ni kafiri kafiri kafiri haijalishi ni nani au ni kabila gani,
Yeyote anaweza kuweka picha ya yahudi moja na maandsh ya maneno kwamba anasema asiye muisraeli na akajidai ukristo
Huyo ni nguruwe tu,
Sema ni nini sie hatuna time ya kupoteza wala kushindana kindezi ndezi, one day ukweli utajulikana
Hakuna papara
 
Nikajua najadiliana na msomi mwenzangu,
Kumbe ni bishana mpaka ufe,
Huna ujualo labda matusi tu
Weka tusi nililo tukana[emoji849][emoji12]
Kabishane na Allah Aliyesema!
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wacha Mungu na wasomi, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
 
Uiyo ni picha tu na maneno ya kutengenezwa tu, pamoja na uarabu wake au uzungu wake au ukabila wowote iwayo
Atakaesema maneno hayo ni kafiri kafiri kafiri haijalishi ni nani au ni kabila gani,
Yeyote anaweza kuweka picha ya yahudi moja na maandsh ya maneno kwamba anasema asiye muisraeli na akajidai ukristo
Huyo ni nguruwe tu,
Sema ni nini sie hatuna time ya kupoteza wala kushindana kindezi ndezi, one day ukweli utajulikana
Hakuna papara
Kwa hiyo na haya nayo ni maneno ya kutengeneza?!
[emoji116][emoji116]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Ukiambiwa deen ina wenyewe hii!
Upo na mii nimo[emoji38][emoji38][emoji849][emoji12]
 
Sikutegemea kama kitu kinachoitwa dini kitakuwa kikiongelewa zama hizi! Mtoa mada umepatwa na nini?

Njoo hapa Kwetu pazuri tupate moja moto moja baridi! Achana na mambo ya dini!
 
Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)

waislamu hujazana kwa hizi mbinu

- Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini

- kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Sasa wingi wa waislam ndio nini sio hoja,Israel ni ka nchi kadogo sana ka wayahudi,lakini waislam/Arabs wote wa middle east,wanashikishwa adabu na wayahudi wasiozidi milioni nne,
UK Karne ya 19,ilikuwa nchi ndogo sana ya wakristo lakini ilitawala Dunia.
Saudia ina Islam/Arabs wengi,lakini rasilimali za mafuta Zinachimbwa na wakristo wa ulaya na us,maana ndio wenye tekinolojia.
Billgate,bezos,Zuckerberg wote hao ni christian wstupu,sasa nyie na makanzu yenu mnamiriki njia zipi za uchumi.
Na usifikili wazungu wajinga kwmaba hawaoni kama mnaongezeka,UK imeanza kushituka mijitu myeusi na waarab wanazidi ulaya,sasa hv wahamiaji wote haramu wanapelekwa Rwanda!!
Hata mkiwa wengi ulaya,lakini mtaishia kuwa mayaya,manesi,kazi zile tamu,mtawekewa vikwazo hampati.
Kama unataka kutawala Dunia tafuta pesa,uchumi
 
Kuna watu wametawaliw na udini sana, yaan udini udin hata Mungu wamemsahau n udin tu.
 
Nikikuulizaga swali kwa nini Muhammad hakukatwa govi hujajibu mpaka leo , kwa nini alikuwa govinda
Hivi mtume Muhammad hakupelekwa suna(kukatwa govi) acha masihara aisee,hapo ndugu utakuwa unaongopa kabisa ebu lete uthibitisho wa kwenye qurani

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Nikikuulizaga swali kwa nini Muhammad hakukatwa govi hujajibu mpaka leo , kwa nini alikuwa govinda
Si nilikuuliza Kama alikuphila Hadi ukajua ni Govinda,hukunijibu umekua vipi Kama ni Govinda..narudia Tena,alikuphila Hadi ukajua kuwa alikua govi!?
 
Si nilikuuliza Kama alikuphila Hadi ukajua ni Govinda,hukunijibu umekua vipi Kama ni Govinda..narudia Tena,alikuphila Hadi ukajua kuwa alikua govi!?
Relax na punguza jazba ,
Leta andiko la Quran Muhammad alikatwa govi , la sivyo itabakia alikuwa govinda
 
Relax na punguza jazba ,
Leta andiko la Quran Muhammad alikatwa govi , la sivyo itabakia alikuwa govinda
Ukileta andiko kwenye Qur'an Muhammad alikula tende,nitakuletea Hilo alilokatwa govi
 
Matayo15:24 'akajibu akasema sikutumwa Ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel'...anayetumwa ni mtumwa/mtume...na ukumbuke ni kwa ajili ya kondoo waliopotea wa Israel,hakuna muisrael anaitwa mgeni....NB:katumwa,aliyemtuma Nani!?
Huyu anaitwa dada mgen.
Ni dada mmoja mjinga sana tena wa muda mrefu ndani ya JF.
Huwa anabadili badili ID tu.
 
Back
Top Bottom