Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Such analysis wwe ni fundi duuh alafu ndio uwe mkali wa mjegejwa maamake tobo toboa
 
Una uzoefu mbaya sana katika mahusiano
 
Mprouve wrong bkuwa wanawake hampo Kama mwanamke Alie achana nae, mpe muda wako pale anapo kuhitaji, atapenda muwe karibu lkn usimbane bane ashindwe kujiachia , fanya kinyume na yule Alie pita kwa mabaya yake na fanya zaidi ya mazuri yake.

Usiwe na pupa kuwa mpole tu maana wakati unamfanyia hayo nae ni binadamu anaakili hivyo ataanza kukuchunguza na kupata maoni kutoka kwa wadau wake mbali mbali juu yako akipewa go ahead unawekwa ndani na kubwa kuliko Kama anawatoto wapende Sana ikiwezekana hata kushinda yeye hapa my dear lazima usajiliwe faster kwa kupitia mlango wa nyuma.

Na pale atakapo kukera usinyamaze muite umwambie taratibu kuwa amekukwaza au amekuumiza hii itakufanya usionekane mnafki.


Aisee sijui kwa nn natoa mbinu za kumteka mwanaume mwenzangu...... Nimecomenti but I hate this [emoji21][emoji21][emoji21]
 
Daah kweli tunatofautiana mm nilivo na kisiran na picky hivi mwenza afe hlf niingie ndoani tena? mmmmh!
 
Nafikiri hizo tabia zake hazihusiani na yeye kuwa ni divorcee. Ni tabia zake tuu.
 
Umekaa ukaongea naye hizo hisia zako?

Wabongo wengi tunapenda sana kusikiliza ushauri toka kwa watu baki...
 
Nakazia ✍️✍️
 
Basi huyo mwepesi mtoe uwoga tu na make sure hufanyi makosa ya mkewe utaenjoy ila isije kuwa we ndo umempenda sana mwenzako hana time
 
Hajakupenda bidada. Mwanaume anayekupenda hana visingizio endelea kuwa naye kama kujitolea tu ila usiweke asilimia kuwa ni wako.

Halafu usitumie nguvu nyingi kumbadilisha anaweza kuwa sawa na chaguo lake likawa sio wewe. Ishi naye kawaida usi fake tabia kuwa wewe tu halafu acha mambo yajiset yenyewe.
 
Hii kitaalamu Kwenye Kilimo tunaita BUSH FALLOWING.... Unalima sehemu ya shamba Kwa miaka kadhaaa unaliacha unaenda kulima lingine huku kipande Cha zamani ulichoacha ukikipa nafasi kitengeneze rutuba ...wewe ni shamba jipya usiwe na wasiwasi huyo ni mkulima Bora anafata KANUNI za Kilimo na shamba lako likiishiwa rutuba anaenda shamba lingine na hiyo ndio BUSH FALLOWING.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sina nyongeza ntaharibu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 

Hapo kwa kujitolea sasa[emoji1787][emoji1787] anyway naona nikae tu standby kwa lolote pengine hayupo tayari kwa commitment, ntaplay tu part yangu

Ila for how long sasa kumsubiri akae sawa ndo mtihani,
 

Kusema kwamba nijitoe mapema au [emoji13][emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…