Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Inategemea na aina ya divorce na ilikuaje yeye ameumiza au ameumizwa, alitoa talaka kwa hiari au kwa lazima, aliacha akiwa anapenda au vipi

Kama aliachwa basi jiandae kudeal na kisirani chake, kama aliumizwa basi jitahidi usiwe sababu ya kumkumbushia machungu ya alikotoka na pia usimpe sababu ya kuona wanawake wote sawa,

Ikiwa ametoka kwenye ndoa ambayo mke ndo likua kivuruge basi kwa asilimia 💯 kuna vitu amevikosa na amevimiss, treat him well, mdekeze kama mtoto trust me utaenjoy sana 😋😋
Such analysis wwe ni fundi duuh alafu ndio uwe mkali wa mjegejwa maamake tobo toboa
 
Yaani ni pasua kichwa Hao.ujue nini ynakuwa na hamu ya ndoa mwenzako Ametoka hataki hata kuisikia tena Sema papuchi yako anaitaka.yaani utateseka hatare.bora alofiwa na mke.at least yeye ndoa alikuwa anaitaka Sema tu mapenzi ya Mungu' huyu unaweza muenjoy kidogo
Wanaume divorced halafu awe broke hata umpende vipi hailipi.used used tu yaani
Una uzoefu mbaya sana katika mahusiano
 
Mprouve wrong bkuwa wanawake hampo Kama mwanamke Alie achana nae, mpe muda wako pale anapo kuhitaji, atapenda muwe karibu lkn usimbane bane ashindwe kujiachia , fanya kinyume na yule Alie pita kwa mabaya yake na fanya zaidi ya mazuri yake.

Usiwe na pupa kuwa mpole tu maana wakati unamfanyia hayo nae ni binadamu anaakili hivyo ataanza kukuchunguza na kupata maoni kutoka kwa wadau wake mbali mbali juu yako akipewa go ahead unawekwa ndani na kubwa kuliko Kama anawatoto wapende Sana ikiwezekana hata kushinda yeye hapa my dear lazima usajiliwe faster kwa kupitia mlango wa nyuma.

Na pale atakapo kukera usinyamaze muite umwambie taratibu kuwa amekukwaza au amekuumiza hii itakufanya usionekane mnafki.


Aisee sijui kwa nn natoa mbinu za kumteka mwanaume mwenzangu...... Nimecomenti but I hate this [emoji21][emoji21][emoji21]
 
Daah kweli tunatofautiana mm nilivo na kisiran na picky hivi mwenza afe hlf niingie ndoani tena? mmmmh!
 
Nafikiri hizo tabia zake hazihusiani na yeye kuwa ni divorcee. Ni tabia zake tuu.
 
Umekaa ukaongea naye hizo hisia zako?

Wabongo wengi tunapenda sana kusikiliza ushauri toka kwa watu baki...
 
Mprouve wrong bkuwa wanawake hampo Kama mwanamke Alie achana nae, mpe muda wako pale anapo kuhitaji, atapenda muwe karibu lkn usimbane bane ashindwe kujiachia , fanya kinyume na yule Alie pita kwa mabaya yake na fanya zaidi ya mazuri yake.

Usiwe na pupa kuwa mpole tu maana wakati unamfanyia hayo nae ni binadamu anaakili hivyo ataanza kukuchunguza na kupata maoni kutoka kwa wadau wake mbali mbali juu yako akipewa go ahead unawekwa ndani na kubwa kuliko Kama anawatoto wapende Sana ikiwezekana hata kushinda yeye hapa my dear lazima usajiliwe faster kwa kupitia mlango wa nyuma.

Na pale atakapo kukera usinyamaze muite umwambie taratibu kuwa amekukwaza au amekuumiza hii itakufanya usionekane mnafki.


Aisee sijui kwa nn natoa mbinu za kumteka mwanaume mwenzangu...... Nimecomenti but I hate this [emoji21][emoji21][emoji21]
Nakazia ✍️✍️
 
Asante, ni kweli mahusano yake yaliyopita alikuwa na mke mtata, ia waliachana kwa makubaliano so haikuwa ngumu kukamilisha taratibu zote za kanisa na kisheria, ila nachoona ni kama bado ana uwoga wa kuzama mazima kwa mahusiano mapya ilihali ni zaidi ya miaka mi4 tanu waachane,

Dawa ni kumtreat well eee nadhani na kuwa patient labda, ntajitahidi maana nshampenda [emoji16]
Basi huyo mwepesi mtoe uwoga tu na make sure hufanyi makosa ya mkewe utaenjoy ila isije kuwa we ndo umempenda sana mwenzako hana time
 
Hajakupenda bidada. Mwanaume anayekupenda hana visingizio endelea kuwa naye kama kujitolea tu ila usiweke asilimia kuwa ni wako.

Halafu usitumie nguvu nyingi kumbadilisha anaweza kuwa sawa na chaguo lake likawa sio wewe. Ishi naye kawaida usi fake tabia kuwa wewe tu halafu acha mambo yajiset yenyewe.
 
Hello wana jf, nimetokea kumpenda na kuwa na mahusiano na mwanaume aliyekwisha oa huko nyuma ila walishaachana na mke wake, ningependa kujua unaweza deal naye vp maana naona kama wanakuwa na moods sana za on and off na pia kama hayupo tayari kuingia mazima kwenye commitment, kwa mliopo humu mlioolewa au ambao mko na mahusiano na divorced man naombeni mawazo yenu,

Au pia kama kuna wanaume mliodivorce humu mnaweza share experince ya nini mnategemea kutoka kwa new spouses, mnataka ,muwe treated vp?
Hii kitaalamu Kwenye Kilimo tunaita BUSH FALLOWING.... Unalima sehemu ya shamba Kwa miaka kadhaaa unaliacha unaenda kulima lingine huku kipande Cha zamani ulichoacha ukikipa nafasi kitengeneze rutuba ...wewe ni shamba jipya usiwe na wasiwasi huyo ni mkulima Bora anafata KANUNI za Kilimo na shamba lako likiishiwa rutuba anaenda shamba lingine na hiyo ndio BUSH FALLOWING.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Inategemea na aina ya divorce na ilikuaje yeye ameumiza au ameumizwa, alitoa talaka kwa hiari au kwa lazima, aliacha akiwa anapenda au vipi

Kama aliachwa basi jiandae kudeal na kisirani chake, kama aliumizwa basi jitahidi usiwe sababu ya kumkumbushia machungu ya alikotoka na pia usimpe sababu ya kuona wanawake wote sawa,

Ikiwa ametoka kwenye ndoa ambayo mke ndo likua kivuruge basi kwa asilimia [emoji817] kuna vitu amevikosa na amevimiss, treat him well, mdekeze kama mtoto trust me utaenjoy sana [emoji39][emoji39]
Sina nyongeza ntaharibu

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hajakupenda bidada. Mwanaume anayekupenda hana visingizio endelea kuwa naye kama kujitolea tu ila usiweke asilimia kuwa ni wako. Halafu usitumie nguvu nyingi kumbadilisha anaweza kuwa sawa na chaguo lake likawa sio wewe. Ishi naye kawaida usi fake tabia kuwa wewe tu halafu acha mambo yajiset yenyewe.

Hapo kwa kujitolea sasa[emoji1787][emoji1787] anyway naona nikae tu standby kwa lolote pengine hayupo tayari kwa commitment, ntaplay tu part yangu

Ila for how long sasa kumsubiri akae sawa ndo mtihani,
 
Hii kitaalamu Kwenye Kilimo tunaita BUSH FALLOWING.... Unalima sehemu ya shamba Kwa miaka kadhaaa unaliacha unaenda kulima lingine huku kipande Cha zamani ulichoacha ukikipa nafasi kitengeneze rutuba ...wewe ni shamba jipya usiwe na wasiwasi huyo ni mkulima Bora anafata KANUNI za Kilimo na shamba lako likiishiwa rutuba anaenda shamba lingine na hiyo ndio BUSH FALLOWING.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kusema kwamba nijitoe mapema au [emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom