Niishi vipi na uyu baba wa watoto wangu

Zamani kabla atujazaa tulikuwa tunaishi na ananipa keshi iyo elf 5 Kwakipind kile n nying gharam za matumiz azikuwa juu my mchel adi 1200 unapata na mpo wawil na tulikuwa atuna familia lakn sasa familia ipo lakin kipato kilekile ..ata uongee ...na wifi yangu yupo na mtt mwingn lakn ni Ile Ile
 
Duuh..
Kwa hiyo inawezekana huyo mume wake siyo baba watoto wake vee vivian !
 
Nilitamani nikusaidie ila nilipoona kuwa miaka miwili iliyopita ulidai unatafuta mchumba Nina miaka 29, natafuta Mume
wakati ni mwalimu wa shule ya Private. Na ulikuwa na watoto wawili. Nikasita na kukubaliana na Intelligent businessman kuwa kuna uwezekano mtu akapigwa na kitu kizito.

Lakini mwaka 2020, miaka minne toka sasa, ulikuwa na umri wa miaka hiyo hiyo 27 na ulikuwa unatafuta kazi.


Huaminiki
 
Kwanza pole.....
Ila sasa kama umeona mumeo hana kipato (na wew unawaz kuondok sio sawa)

Fanya hiv omba mtaji kwa ndugu then piga biashara

Jipange tuu ,kutembeza mboga asubuhi, genge kuandaaa vtafunio lakn kama umekosa mtaji kaombe kaz za day time hata mihagahawani madukn na viwandan,

Lakn sikuhz watu wanashida na wafanyakaz kwann usiamue kufanya kaz za ndan na ukawa unarud kwako , ungalikuw karbu na mkewang ningekuunga nae
 
Hata ikiwa habari ya upande mmoja huwezi acha kupeleka mtoto shule au watoto wasile vizuri sababu ya upumbavu wenu. Labda kama na hao watoto sio wakwake .
 
No wazo zuri ata nawaza ila Na mtt mdogo anamiak 2 nikuenda kazn inabdi nibebe ndomana nilitaka biashar niwalipie ata ada mm nihangaike najua wao wapo shule mpk mda wakurudi nyumbani ninawapitia
 
Inawezekn natafuta mchumba uku nimechoka ndoa h hii bdae nikaja kuona n ujinga
 
Kisa cha Mpemba hukuwahi kusikia?

Jiongeze ili familia iende, umeolewa msaidiane..... sio uwe mzigo.
 
Ulimzaa lini kama si 2022 na wakati huo mwaka 2020 ulikuwa na watoto wawili! Hueleweki
Ninawatt wawil mmezama mtoto 2019 January ikawa bahat mbay 2020 Oct nikizaa mwingn na 2021 uyu
miwil anaingia mitatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…