Niishi vipi na uyu baba wa watoto wangu

Niishi vipi na uyu baba wa watoto wangu

Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
Mambo ya ndani unayaleta huku jamii forum???
Au unafikiri Mimi siijui hii akaunti yako?
Umesahau Kuna siku ulinitajia hii akaunti yako wakati tupo katikati ya 'game'......
Au miuno yangu ilikuchanganya siku Ile hadi ukawa unaropoka?
 
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
Mmeo ni mjinga tu. Hapo anza kujitetea kwa Mungu wako akupe wepesi wa maisha mengine
 
Dada imarisha beki, usiruhusu kupigwa bao la tatu, watoto hao wawili pambaneni nao kwanza
Shauriana na mumeo na ndugu na jamaa upate shughuli ya kufanya pamoja mlisongeshe
Pia weka wezi elimu yako kama huna shughuli kwa sasa Jf ndo jamii unaweza saidiwa na wenye nafasi za kazi
Ila ukipata usiwe na kiburi, hudumia wote kwa upendo na staha maisha hayana mwenyewe na usimsaliti atakayekusaidia
 
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
Nyie wanawanake wa aina hii bado mpo? Jamaa amepata mke ila tatizo kwenye miti mingi hakuna wajenzi.
Kama utaweza, uza simu. Nunua ya batani (kikubwa mawasiliano) Anza kuchoma vitumbua, chapati, uza mkaa au maandazi
 
asante kitu ambayo nakumbuka toka tumeanza kuishi na kuzaa watoto hawa wawil ni ...toka tupo wawil mimi nayy alikuwa anatoa ivoivo ela au ananunua chakula minapika kipindi icho gharama za matumizi bado azijapabda na tunaishi wawil tumekuja kuongeza familia nayo ni vilevile tu najibana nakanae chini namuliza nini tatzo baba mbona ivi na vile unalalamika yeye ajibu kitu chochtote utaongea Ukimaliza ananiambia aya ndo anaondoka kesho ni vilevile...na nikijaribu kuripot nyumbn awaelew na sijafunga nae ndoa niseme ntaenda kwa washenga au mapadri ..ukiuliza kuhus kunywa anajibu anaondoa mawazo .na anatumia jasho lake....na baadae anasema we uridhiki na iyo ela ila kunawengine wanaitamani awaipati kwaiyo angalia jinsi yakufanya kuwa na akili timamu
Pole dada..
 
mumeo anafanya kazi gani hadi uamini ana hela
ukute naye maisha yamempiga, ila wewe unaamini ana hela na ni mbahili
Hizo akili za kuelewa hilo suala kwamba nyakati hazifanani,wanawake wengi hawana.
Kama amezoea kupewa 300k siku ukimpa 200k anawaka kama jibwa.
 
Sali muombee mumeo kaa week moja kwa amani alafu siku moja niambie haya. MUME WANGU HIVI HAYA NDIYO YALE MAISHA TULIYOPANGA KUJA KUYAISHI KAMA UMEAMUA KUNITESA MIMI BASI NAKUOMBA SANA USIWATESE WATOTO WAKO HAWANA KOSA alafu lala muache
 
Nadhani ungeanzia maisha ya uchumba, na baada ya ndoa kabla ya kupata watoto jamaa alikuwa anatoaje matumizi???
 
Huyo mumeo ameishakuona kiazi na huna akili Kwa sababu ulishaonesha sio mvumilivu , mpaka ukamkimbia na kurudi kwenu Ina maana wazazi walikusikiliza wakaona huna sababu za msingi pengine makosa yalikuwa ni Yako na ulivyoamua kurudi Kwa mumeo kumbe alishakutoa moyoni hivyo ameamua akukomoe tu ukitaka ondoka au Baki , ushauri wangu ni kwamba kama Kuna sehemu ulimkosea kaa nae chini ujishushe na umuombe msamaha na umwambie jinsi unavyoumia na hiyo Hela ndogo anayokuachia hakuna mwaname jeuri mbele ya mke mnyenyekevu
 
Babu yangu mzaa mama aliwahi nuambia kaka yake alikuwa anapigwa na mke badala aliye yeye mke ndio anapiga ngolo majirani njooni mnisaidie mume wangu ananiua!!
 
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
Uliingia kwenye ndoa bila kujua ndoa ni nini?
 
Ndio huyu mume uliyekua unamtafuta?

Handwriting katika hii ya kutafuta mchumba ni tofauti na hii ya kukosa msaada wa mumewe. Hapa sijamuelewa.

Napenda watu mnaofanya investigation.

ila nikivaa viatu vya huyu dada mimi ni mwanaume. Nilipata stress kazin baada ya kushushwancheo...

Niliteseka sana. Nilikiwa na uwez wa kununua nguo zangu na za watoto kwa kidg ninachokipata leo nakunywa tu pombe...mavaz hata yangu mwenyewe sinuous...nimebadilika...mke kuna muda analaum na anamatanio makubwa ambapo mimi sina uwezo tena japo napata mshahara bila posho. Na madeni nimengi.

Namuona jamaa analopitia mkewe hampi courage anabaki kumlaumu.

Najisikia vby sana kununua nyama na pombe wkt nyumbn watoto wanakula majani na maharage. Siku moja moja nanunua nyama kama kilo 3 au mayai na vitu bzr kwa watoto..matunda nakadhalika.

Najisikia vby sana hali ninayopitia. Sometimes namuonea huruma mwenzangu akipanga bajeti naming akili ikiwa kama haipo.


Kesi ilikuwa hivi.
Boss alinibadilikia. Gghafla barua kutoka juu ikaja ikinitaka kurudi chini na kukosa posho za maofisa. Hali yangu haijabadilika bado japo nikipata mshahara nahakikisha nalipa ada watoto wasiende shule zetu za kata..wabaki private.

Wanaume kama mimi nimejiona kabisa nikivaa viatu vya muwewe huyu dada. Lkn pia nikimuomea huruma dada huyu kama ambavyo naona namkosea mke na watoto kwa sabab za ofsn.

Nilijaribu kumrudia mungu na kujitafuta kwa.namna nyingi lkn hali hizi zisikieni tu.

Wkt mwingine nagombana na makondakta kakitunkadg hata 50/= konda akisumbua tu napata hasira.

Nimebadilika. Nimekuwa mtu wa ajabu. Nasoma sana vitabu mtandaoni hadithi story kibao. Bado ru.


Nikirejea kwa dada fanya mambo haya. Nunua katanga fungal za 100 na 200 hadi 500 uuanze..pika pika cookies na humo mtapata na vya chai kwa familia. Jamaa yeye mpe heshima yake kama mumeo. Hakuna mume mzur huko nje.

Lima bustani hata kwenye makopo panda mbogamboga.

Cheza vikoba uhifadhi hata 1000 kwenye kikoba. Mwakan mkivunja una hela ya shule na nguo za mtoto. Jamaa atarudi mwenyewe
 
Handwriting katika hii ya kutafuta mchumba ni tofauti na hii ya kukosa msaada wa mumewe. Hapa sijamuelewa.

Napenda watu mnaofanya investigation.

ila nikivaa viatu vya huyu dada mimi ni mwanaume. Nilipata stress kazin baada ya kushushwancheo...

Niliteseka sana. Nilikiwa na uwez wa kununua nguo zangu na za watoto kwa kidg ninachokipata leo nakunywa tu pombe...mavaz hata yangu mwenyewe sinuous...nimebadilika...mke kuna muda analaum na anamatanio makubwa ambapo mimi sina uwezo tena japo napata mshahara bila posho. Na madeni nimengi.

Namuona jamaa analopitia mkewe hampi courage anabaki kumlaumu.

Najisikia vby sana kununua nyama na pombe wkt nyumbn watoto wanakula majani na maharage. Siku moja moja nanunua nyama kama kilo 3 au mayai na vitu bzr kwa watoto..matunda nakadhalika.

Najisikia vby sana hali ninayopitia. Sometimes namuonea huruma mwenzangu akipanga bajeti naming akili ikiwa kama haipo.


Kesi ilikuwa hivi.
Boss alinibadilikia. Gghafla barua kutoka juu ikaja ikinitaka kurudi chini na kukosa posho za maofisa. Hali yangu haijabadilika bado japo nikipata mshahara nahakikisha nalipa ada watoto wasiende shule zetu za kata..wabaki private.

Wanaume kama mimi nimejiona kabisa nikivaa viatu vya muwewe huyu dada. Lkn pia nikimuomea huruma dada huyu kama ambavyo naona namkosea mke na watoto kwa sabab za ofsn.

Nilijaribu kumrudia mungu na kujitafuta kwa.namna nyingi lkn hali hizi zisikieni tu.

Wkt mwingine nagombana na makondakta kakitunkadg hata 50/= konda akisumbua tu napata hasira.

Nimebadilika. Nimekuwa mtu wa ajabu. Nasoma sana vitabu mtandaoni hadithi story kibao. Bado ru.


Nikirejea kwa dada fanya mambo haya. Nunua katanga fungal za 100 na 200 hadi 500 uuanze..pika pika cookies na humo mtapata na vya chai kwa familia. Jamaa yeye mpe heshima yake kama mumeo. Hakuna mume mzur huko nje.

Lima bustani hata kwenye makopo panda mbogamboga.

Cheza vikoba uhifadhi hata 1000 kwenye kikoba. Mwakan mkivunja una hela ya shule na nguo za mtoto. Jamaa atarudi mwenyewe
Pole sana kwa unayopitia, kuwa karibu na familia yako, hao ndio faraja yako.
 
Haya mambo Ukianza kusikiliza malalamiko ya mwanamke siku zote utamuona mwanaume ni katili sana ila ukipata na nafasi ya kumsikiliza mwaume huenda ukagundua mwanamke ndo shetani
 
Pole sana kwa unayopitia ila nina swali kwako je unapoachiwa hiyo elfu 5 huwa unamshukuru mumeo au ndo ukiona hiyo hela ni maneno tu?? Nini kilipelekea mkakorofishana mpaka ukaenda kwenu??
Wanaume wanapitia changamoto nyingi ila wengi hawana pa kupatia faraja ndo maana wanaangukia kwenye ulevi. Mwanamke ukipewa hata 2000 kwanza onyesha shukrani na moyo wa kuridhika then unaongea nae kwa upole namna hiyo hela inakupa changamoto kubalance budget.
Mwanaume anapotoka kwenye mihangaiko yake hata kama amerudi amelewa jambo la kwanza isiwe kumkaripia kwa ulevi wake bali mpe pole kwa mishemishe zake na onyesha kumjali hata kama kalewa
DEAR WOMEN: wanaume udhaifu wao mkubwa uko kwenye utii na heshima. Ukimtii na kumheshimu mwanaume haijalishi ana hali gani utakula mema ya nchi unless huyo mwanaume hana akili vizuri
Anapaswa kupitia hii comment yako boss,heshima kwako kwa kuona tatizo la wanawake wengi,utafutaji waridhiki umegubikwa na changamoto nyingi sana,hata kama ni kidogo kiasi gani atoe shukurani taratibu mwanaume hubadirika tu.
 
Back
Top Bottom