Nijiandae vipi kuingia Miaka 30?

Nijiandae vipi kuingia Miaka 30?

Guys,
September naingia miaka 30 kwa hiyo nipo kwenye kumalizia my 20s [emoji4]
Nikifikiria nakua Excited and Nervous at the same time,

What does it feel like to be in 30s? will my skin change? will my brain change? will i grow wrinkles?

Natakiwa nibadilishe kipi kwenye maisha yangu ili niendane na miaka yangu (sitaweza kuacha kuangalia Cartoon and Animations tho [emoji1][emoji119]),

Wengine walisema nibadili jinsi ya kulala eti nilalie mgongo sio tumbo kuavoid wrinkles [emoji848]

Kuna hizi Facial Serum, ni sawa nikianza kuzitumia au nitazidi kuharibu ngozi yangu [emoji134],

Too Many Questions hunh!
Lol, i'm confused,

Ambao mpo kwenye 30s au zaidi mnaweza kutoa uzoefu wenu ulijipangaje kuingia kwenye 30s na ulijisikiaje ulipofika 30?

View attachment 2190434
Chukua hii

 
Chukua hii

Nimeipokea Kaka Mkubwa,
Shukrani sana.
 
MAISHA NI SASA, ISHI SASA, FURAHIA SASA,....... MAISHA HAYA TRELA, UNAVYOISHI NDIO UNAISHIA.........JIPENDE, JIHESHIMU, JITUNZE......PIGANIA NDOTO ZAKO.......
Shukrani sana Kaka Mkubwa,
Maneno mazito sana haya yaliyojaa Busara na Mafunzo mengi.
 
Nyie vimbaumbau mnaitwa wazee, mmekomaa mmezeeka, ngozi zimeanza kunyauka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseeeee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Nyie vimbaumbau mnaitwa wazee, mmekomaa mmezeeka, ngozi zimeanza kunyauka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uwiiiii!
Yote yetu hayo asalaleeeeeee [emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Guys,
September naingia miaka 30 kwa hiyo nipo kwenye kumalizia my 20s [emoji4]
Nikifikiria nakua Excited and Nervous at the same time,

What does it feel like to be in 30s? will my skin change? will my brain change? will i grow wrinkles?

Natakiwa nibadilishe kipi kwenye maisha yangu ili niendane na miaka yangu (sitaweza kuacha kuangalia Cartoon and Animations tho [emoji1][emoji119]),

Wengine walisema nibadili jinsi ya kulala eti nilalie mgongo sio tumbo kuavoid wrinkles [emoji848]

Kuna hizi Facial Serum, ni sawa nikianza kuzitumia au nitazidi kuharibu ngozi yangu [emoji134],

Too Many Questions hunh!
Lol, i'm confused,

Ambao mpo kwenye 30s au zaidi mnaweza kutoa uzoefu wenu ulijipangaje kuingia kwenye 30s na ulijisikiaje ulipofika 30?

View attachment 2190434
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom