[emoji123][emoji123][emoji123].Maisha ni kitu cha ajabu sana kuna mwenzako pia anasema ningejua bora ningesoma. Elimu ni kitu muhimu sana ndugu asikudanganye mtu. Tatizo tunaishi kwenye jamii ambayo haitufanyi kuwa wabunifu na kuacha legacy hivi isack Newton alikuwa tajiri? Shaban Robert alikuwa na pesa? Kikubwa nikuamua hapa duniani nataka niache alama gani. Huko India jamaa alianza kupanda miti kuokoa kijiji chake na ukame na mabadiliko ya hali ya hewa .Leo national geographic society wametambua mchango wake. Tumia elimu yako kuacha alama duniani.
Kwa hiyo huyu mheshimiwa naye aibe cheti swahiba?Pole sana...
Wenzako wamefanya maarifa ya ununuzi wa vyeti na wamenufaika kuwa mabosi wa mkoa mkubwa.
Wengine wakafoji vyeti wametumbuliwa...
Dunia sio mbaya, binadamu ndio wabaya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tuma email uombe kazi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Looo nuksii huyoTuma email uombe kazi.
HahahaLooo nuksii huyo
Kutangulia si kufika , wao wametangulia waache waende huku wewe ukiweka bidii kwa kile ulichonacho kichwani pambana nna uhakika baada ya muda hao wote watakusalimia kwa heshima, cha muhimu ni juhudi binafsi
AlhamdullilahMumeo anaendeleaje? Alishapona?
Kila jambo lina wakati wake ndugu. Ila usiache kuhangaika kusaka mshiko. Utafanikiwa.Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Ndio hivyo mkuuYes ulimwengu una badilika zamani ilikuwa watoto, ikaja kusoma kwa sasa ni ulimwengu wa information kujua na anataka nn au jinsi ya kubadili hitaji la jamii kuwa pesa.
Ni kweli bora kupambanaBinadamu hatulingani, kama vilivyo vidole vyako mkuu...
Usikate tamaa, pambana bado hujachelewa kabisaa
Kweli ukiangalia waliosoma hawajiaminiKusoma ni uoga wa maisha
Hapa kazi tyuKila jambo lina wakati wake ndugu. Ila usiache kuhangaika kusaka mshiko. Utafanikiwa.
1. Work
2. Work
3. Work