Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza


Nitajuaje Kama huyu size ndogo kwa kumwangalia sio mpk tuvuane…. Au ndy najaribu kila mchiii [emoji19]
 
Sawa nikitaka ushaurii wa kuacha uasherati nitaku tagg mpendwaa…

Wewe umefanya wee mpk kinakaribia kuisha saivi unatuambia wenginee tuache…. Subiri na sisi tuenjoy Kama wewe[emoji6]
me nawaingizia, ukitaka upone kabisa just pm me ur number, nitakufundisha na mengine mengi hutojuta kukutana na mm, nilikuwa nakupa ushauri mzuri naona hutaki, fanya kama nilivokueleza hapo juu ili nikuingize kwenye dunia ya uchafu maana inaelekea unaipenda sana,
 
Mara nyingi watu wenye fungus ndo wenye case hii
 
mamamzungu Tumia a water-based lube au silicone one although wenginge silicone inawapa muwasho.

Wabongo mjue lube kama KY, Pure etc etc sio kwaajili ya ufirauni tu ni kwaajili ya matumiza ya kawaida ya kila siku.
we mdanganye mwenzako, halafu babati mbaya kitu ikatelezea kule si ndo atakuwa teja kabisa wa kule na kusahau maumivu ya kwenye k?
 
Tumia gynazole ni kidonge cha kuingiza huko kinatoa uchafu fungus na kukupa unyevunyevu, Ila kama ni asili yako jitahidi uwe na kilainishi Kama mafuta ya nazi au olive au mafuta ya mchaichai utaenjoy anakupaka huko kwa dada k na anajipaka na yeye before muanze mechi
 
Pisi za aina hii zipo vyema sana ila changamoto n hapo kwenye kuumia. Cycle yao ya mapenz ni ndogo mno huwa hawana wanaume wengi kwa sababu ya tatizo lao alafu n watulivu. Kuna muda wanaona mahusiano sio muhimu kwao, inahitaji uvumilivu kuwa na mwanamke wa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…