mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
-
- #41
Nacheka kwa sababu hujasema kinauma nini? Inatakiwa utoombwaa nchi 1 au 2 isifike ndani, otherwise unateswa na tego, jaribu mwanaume mwingine utaona tofauti
So tatizo linaisha kabisaa
Mke wangu alikua na hali kama hiyo wakati tunaanza mahusiano, sijui alifanyaje akawa sawa, ni miaka mingi imepita.
Basi akatoe tego au amezoe caccumber masterbation hana jipya or else ni karma kwenye fitina zakeAmesema huwa anapata maumivu na dicks anazokutana nazo ni za kawaida tu
Pole kipenzi nenda Hospitali! Hio hali ni tangu muda uvoanza kunjunjana au imeanza siku Hizi??Sasa madam… haiumi kwa ndani inauma nnje yaani anapoanzaa kuingizaa na pembeni mwa nyama
Chukulia mfano huu ukiwa umeweka hivi vidoe[emoji108]halafu kipite kitu hapo kati kama kina force hivi sasa pembeni yake laZima kutanuke kuwe kunauma
Mmhhh itakua jamaa ana zigo aloooSasa madam… haiumi kwa ndani inauma nnje yaani anapoanzaa kuingizaa na pembeni mwa nyama
Chukulia mfano huu ukiwa umeweka hivi vidoe[emoji108]halafu kipite kitu hapo kati kama kina force hivi sasa pembeni yake laZima kutanuke kuwe kunauma
I like this most likely inaweza pia ikawa ni fungus, but I also suggest a test variety ya three different dicks kama sio tego atapata jibu
Akipona arudi na taarifa rasmi kwa UziLisipoisha nitakutajia dawa nyingine
Ila naamini utakuwa sawa baada ya kutumia hizo
Ukinyonywa k unapata raha au?Huyu ni wa pili nilipotoka na penyewe ilikuwa hivi hivi nikajua ni upya but na kwa huyu ni vile vile…
Inapouma ni mwanzo anapoanzaa kuingiza na kupampu inaumaa sna
Doh pole sana mamy hapo kweli hupati raha ya tendo zaidi ya maumivu tu !.Nilienda wakaniambia nipime nikaambiwa sina ugonjwa nikapewa tu dawa
Yafuatayo yanawezekana
1. Its a psychological thing-yani umesha tune akili yako kwamba unaumia, kumbuka sex inaanzia kwenye ubongo wako
2. Its a spiritual thing
Kuna Mwanaume Rijaal alisolve tatizo.Mke wangu alikua na hali kama hiyo wakati tunaanza mahusiano, sijui alifanyaje akawa sawa, ni miaka mingi imepita.
Maneno yako yanasadiki hiloNdugu zimenizunguka.
. Pole sana, kuzagamuana ni raha sana,Nadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi
Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa
Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa
Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]
Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee
Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…
Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee
Naomba kujua mwenye msaada na hili
Una miaka mingapi?
Sawa, anakuandaa vizuri. Je, unaloana? Wakati wa kuingiza, unachukua muda gani kabla ya kuwa mkavu?
Nani alikutoa bikra? Uliridhia kabisa? Ama ni kumbukumbu mbaya za maumivu?
Maumivu haswa ni ya aina gani? Kunapokuuma ni wapi?
Kama ni umepima magonjwa na huna, basi tatizo lako ni la kisaikolojia. Akili ilishajijengea dhana ya maumivu katika kufanya ngono (najua hamjaona).
Jaribu kutafuta nsaada wa kisaikolojiaYaaa inawezekana maana mpnz huwa ananiambia nina bana miguu so ni kama na yeye inamlazimu kutumia nguvu