Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nacheka kwa sababu hujasema kinauma nini? Inatakiwa utoombwaa nchi 1 au 2 isifike ndani, otherwise unateswa na tego, jaribu mwanaume mwingine utaona tofauti

Huyu ni wa pili nilipotoka na penyewe ilikuwa hivi hivi nikajua ni upya but na kwa huyu ni vile vile…

Inapouma ni mwanzo anapoanzaa kuingiza na kupampu inaumaa sna
 
Sasa madam… haiumi kwa ndani inauma nnje yaani anapoanzaa kuingizaa na pembeni mwa nyama

Chukulia mfano huu ukiwa umeweka hivi vidoe[emoji108]halafu kipite kitu hapo kati kama kina force hivi sasa pembeni yake laZima kutanuke kuwe kunauma
Pole kipenzi nenda Hospitali! Hio hali ni tangu muda uvoanza kunjunjana au imeanza siku Hizi??
 
. Pole sana, kuzagamuana ni raha sana,

. Tatizo lako litakua ni upungufu wa hormone hasa FSH na LH.
 
Mara nyingi hii Hali inaweza sababishwa na previous experience kama kubakwa, ama ukiwa na stress kwa kipindi unafanya ama wanawake wanaonyonyeshwa na mara nyingine hormone zako haziko sawa zinadecline Hali hiyo si Jambo la kupuuza inaweza sound awkward ila ni Bora kuonanana na specialist anaweza kukupitishia kwenye series ya solutions mpaka hormonal treatment ukawa sawa
 

Nina miaka 26
Nina loa (na ndio maana na yeye anashangaaa maana mpk shuka ina loaa)

Alienitoa bikira sijui kamA niliridhiaa ila hakunibaka

Maumivu ni anapoingizAa na akipump
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…