Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliachana aisee,,,akarudi kwao huko kondoa.Mliishia wapi mkuu je kuna matibabu ya kufanya uke uwe mkubwa??
Yes lilianza baada ya kujifungua first bornUna hilo tatizo mkuu?
Una magonjwa ya zinaa....mchanganyiko i.e.fangaeNadhani humu nitapata ushauri wa kitaalamu zaidi
Yaani mimi wakati wa sex ninaumia sana sio kidogo sanaaa imefikia hatua hadi nalia kabisa nashindwa kujizuiaa
Ni kwamba naumiaa… yaani ni kama vile ndio natolewa bikira.. yaani imekuwa kero mpk najisikia vibaya na mpnz wangu wakati mwingine hanielewi anahisi kuwa namuigiziaa, ukweli ni kuwa naumia mno.. na ikipita kama ataanza upya inaanza upya kuuma… yaani kila akitaka kuchomeka inauma sanaaaaa
Ananiandaa vizuri mpk yeye mwenyewe anasema inakuaje naumia wakati sio mkavu[emoji15]
Size yake ni kawaida sema ndiyo hivyo inabidi nijikaze sana ndy ipitee
Nimeshapima magonjwa yote sinaaa kusema labda fungus, PID vyotee sinaaa…
Imekuwa kero sio raha kiasi kwamba ikifika hatua hiyo natamani hata isitokee… ninampenda na nina hisia nae… ni mwanaume wangu wa pekee
Naomba kujua mwenye msaada na hili
Just be careful na madaktari wa bongo ,ideal doctor hata jump kwenye madawa ila atapitia historia yako then anaweza test hormones zako then treatment ila pia partner wako aweza kukupatia solution kwa kuanza sifuri mpaka ukakuta imekuwa ok ilimradi asiendeshwe na sexual drive anuie kukusaidia wewe mpaka UWE okHizo zote sijapitiaa labda nionane tu na specialist kwa matibabu zaidi
Niuliziee jmn inawezekana kuna dawaaa
Ingia google utapata maelezo mazuri sanaNdy inakuajee
Pole cute...nalo litapita tu
pengine boresha namna unavo panua
Yashawai kunikuta Cha kwanza kabisa hakikisha unatibu magonjwa yote yanayohusiana na k yako aswa aswa fangasi na mtu wako nae atumie dawa hakikisha unapona vizuri ndiyo mkutane kimwili na mkikutana toa mawazo ya nitaumiaa weka mawazo kwamba unaenda utaenjoy,pili jitahidi kula nyanya chungu na bamia kwa wingi na mtindi,tatu msikae muda bila kufanya fanyeni Mara kwa Mara kwa kawaida binadamu tumeumbwa kuzoea utazoea na utaenjoy,nne ukihisi maumivu makali wekeni mate na ufinyie kwa ndani na asiwe anaitoa nje apige ndani kwa ndani .
huyu mamamzungu anatafuta kuwa platinum member hana tatizo lolote, mtu gani anajibu kila comment
Aisee polee sana
Experience ya kutolewa bikra ilikuwaje?
Isije ikawa umepitia trauma nzito alaf unaficha?
If you're not comfortable answering these qns, feel free to PM me.
Unajuaje kuwa ni normal wakati huyo ni mwanaume wako wa pekee ?
Una fangasi ukubali ukatae.
Kwa kujiridhisha na hili, mara akichomoa uboo angalia kama una rangi ya maziwa
Hio Hali nilishawahi kutana nayo kwa demu wangu mmoja.
Ikifika stage ikawa Sasa ni kero kubwa kwangu.
Stimu na mzuka unakata duduwasha ikawa inasizi nikawa kama nisie na nguvu za kiume.
Maana analala Ile mbaya.
Kuna siku nikaona huyu ananitania nikaforcs kupiga torque/hard penetration alipiga UKINGA huo na nikapigwa bonge la bao na kusukumwa huko.
Nikawa Mtu wa mawazo sana sikufarahia tena huu uhusiano.
Akaanza kujidai Hana shida eti shida ninayo Mimi wakati nameona kabisa ana shida.
Nikaona asinitanie nitafuta mcheps nikala mzigo kutest tu zana zangu kama ziko Ok.
Hii ishu ni Moja ya sababu zilizonifanya nimpige chini na zinginezo nyingi.
Japo sikumwambia ila ikifika stage kwangu ni stress na kero mfululizo
Japo alikuwa mwanamke anaejielewa ila ilibidi Kila mtu aende njia yake.
Sometimes nikawa nahisis pengine huyu alishawahi BAKWA huko udogoni ndio kupeleka hayo maumivu.
Ni tabu tupu.
We vumilia asee, afu mbona kama mtego huu [emoji1783][emoji1783], kwahiyo inabana kabisa [emoji23][emoji23][emoji706][emoji706]
Nafikiri unaweza mwambukiza.Hivi Kama ninaZo yeye siwezi muambukizaa??
Mbona huo ni ugonjwa tu mkuu?Tangazo limekaa kitaalam sana ila ma hustlers hatuna time mikausho mikali.