Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Nikifanya tendo huwa naumia sana kama ndio mara yangu ya kwanza

Sasa madam… haiumi kwa ndani inauma nnje yaani anapoanzaa kuingizaa na pembeni mwa nyama

Chukulia mfano huu ukiwa umeweka hivi vidoe[emoji108]halafu kipite kitu hapo kati kama kina force hivi sasa pembeni yake laZima kutanuke kuwe kunauma
Pole Kwa hiyo Changamoto, ila nimefurahi unajua kujieleza vizuri kuliko baadhi ya maprofesa wetu hapa nchini...
 
Either una vaginismus or vulvodynia.
But more likely ni Vaginismus, yafatilie haya magonjwa niliyokutajia, na ukirudi kwa daktari wako jaribu kumuuliza kuhusu haya magonjwa.

And dear unapata maumivu ya namna gani, a burning sensation or stinging??
Nilikuwa nasubiri hili jibu šŸ‘

I had a girl with similar experiences and niliweza fanikisha mpaka akawa anaenjoloy bila maumivu
 
I am too tired to write today. Nikijisikia nitaandika essay
we nawe, mwenzako ana tatizo mpaka kafungua uzi kuomba msaada we unakuja et, i was waiting for this, then am too tired to write today, nikijisikia bla bla, wanawake kweli hampendani, yaani unamwona kabisa mwanamke mwenzako anavohitaji msaada we unadiriki kusema hvo kweli?, ama kweli, duu siamini wallah
 
we nawe, mwenzako ana tatizo mpaka kafungua uzi kuomba msaada we unakuja et, i was waiting for this, then am too tired to write today, nikijisikia bla bla, wanawake kweli hampendani, yaani unamwona kabisa mwanamke mwenzako anavohitaji msaada we unadiriki kusema hvo kweli?, ama kweli, duu siamini wallah
Nina ukuni mkubwa wa moto moto
Unazumgumza kitu gani we dogo
 
Back
Top Bottom