Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara ya kwanza kumuona uwanjani nikiwa mbele ya TV kitu cha kwanza kumkubali ni hali yake ya tabasamu muda wote akiwa uwanjani.
Skills yake ya mpira ni next level...
Kuna free kick moja aliipitisha chini ya miguu ya ngome ya wachezaji baada ya wao kuruka wakizani atapiga juu, hiyo free kick ilitingisha nyavu.
Professional za watu hizo mkuu wangu
Gaucho mpira alikuwa anaujua pamoja na kuburudisha, huyo anayesema tuna muovareti yeye anaweza hayo?Et kuna mwana humu alifungua thread akisema ronadihno gaucho is overrated.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Et anasema messi na Christian ronaldo ndo bora.Gaucho mpira alikuwa anaujua pamoja na kuburudisha, huyo anayesema tuna muovareti yeye anaweza hayo?
Et wanasema n messi na Christian ronaldo ndo bora.Gaucho ni bora kwa sasa na muda wote
Uko sahihi mkuu.Na alicheza mpira kipindi ambacho mpira una magwiji wengi aisee, hiyo era ya 1998 mpaka 2008 kulikuwa moto. Miaka miwili mbele grafu ikaanza kushuka na sasa inedumbukia kabisaaa.
Eti Mbappe, Neymar n.k kweli? Griezman, Grealish
Si ajabu wakina Ibra na Benzema bado wako kwenye form mpaka leo kwasababu walicheza enzi za mpira kweli, enzi zenye utaalamu(wenyewe wanasema specialisation) wa eneo fulani kwa mtu fulani.
Ukisema Beckham, mtu anajua ni nini unataka kusema.
Ukisema Pipo, tayari eneo lake linakaa akilini
Batistuta
Ortega
Zizou
Bergkamp
Kluivert
Jay jay
Vieri
Zambrota
Thuram
Claudio T
De Lima
Senna
Scholes
TH14
Viera
CR7
Iniesta
Kaka
Daaa, wengi mno, enlisting wote inahitaji special page.
Yes, Gaucho ni mwamba.
Tone langu Moja la chozi ni ndonya mojaKwa machozi yako naona ukifiwa na wa ubani wako unaweza kijaza visado vya kutosha😁😁😁