Nikimkumbuka Ronaldinho Gaucho machozi yananitoka

Nikimkumbuka Ronaldinho Gaucho machozi yananitoka

Na alicheza mpira kipindi ambacho mpira una magwiji wengi aisee, hiyo era ya 1998 mpaka 2008 kulikuwa moto. Miaka miwili mbele grafu ikaanza kushuka na sasa inedumbukia kabisaaa.

Eti Mbappe, Neymar n.k kweli? Griezman, Grealish

Si ajabu wakina Ibra na Benzema bado wako kwenye form mpaka leo kwasababu walicheza enzi za mpira kweli, enzi zenye utaalamu(wenyewe wanasema specialisation) wa eneo fulani kwa mtu fulani.

Ukisema Beckham, mtu anajua ni nini unataka kusema.
Ukisema Pipo, tayari eneo lake linakaa akilini
Batistuta
Ortega
Zizou
Bergkamp
Kluivert
Jay jay
Vieri
Zambrota
Thuram
Claudio T
De Lima
Senna
Scholes
TH14
Viera
CR7
Iniesta
Kaka

Daaa, wengi mno, enlisting wote inahitaji special page.

Yes, Gaucho ni mwamba.
Umesahau Roberto Carlos Mkuu.
 
Aliitesa sana Madrid yangu huyu[emoji51],alimtesa sana Ramos wangu huyu[emoji3525][emoji3525][emoji3525]...lkn my all time best player ni Zidane Zizu[emoji6]
 
Dinho mjinga sana,
akimfikia beki..anatishia kama anaenda kushoto vile kumbe anaenda kulia..baadae anatiashia kama anaenda kulia vile..beki anakaba kushoto (amekalili) kumbe anapita kulia kule kule😀😀😀😀😀😀
 
Mara ya kwanza kumuona uwanjani nikiwa mbele ya TV kitu cha kwanza kumkubali ni hali yake ya tabasamu muda wote akiwa uwanjani.

Skills yake ya mpira ni next level.

Kuna free kick moja aliipitisha chini ya miguu ya ngome ya wachezaji baada ya wao kuruka wakizani atapiga juu, hiyo free kick ilitingisha nyavu.
Hesabu za yule 'fala' za kifala sana hahah
 
Back
Top Bottom