Nikimkumbuka Ronaldinho Gaucho machozi yananitoka

Nikimkumbuka Ronaldinho Gaucho machozi yananitoka

Dhino alikuwa Fundi , fundi kweli kweli, mtaalam wa mpira ,mpira ulikuwa unamtii yaani akiuita unaitika pia alikuwa na uwezo wa kuutuma popote pale na ukamtii. Jamaa alipewa kipaji na mwenyezi Mungu.
Umenikumbusha jamaa mmoja anaitwa OMARY KALIKI a.k.a GAUCHO

Huyu Mtanzania alifanana Kila kitu na GAUCHO
SEMA tu timu zetu za nyumbani hazina scouting nzuri....
Ila Kuna vipaji vingi sana huko mikoani....
Japo hakujulikana sana kitaifa labda aliamua kuutelekeza mpira....

Turudi kwenye mada...🤓🤓

GAUCHO uwanjan yaan mabeki walipatanae sana shida maana alikua hakabiki....

Anaweza akauficha mpira mguuni na kutimua nao mbio alivyo taka yeye....

Kitendo Cha kua na GAUCHO uwanjan yaan mnapata ushindi wakat wowote....

Alikua na uwezo wa kupiga shuti Toka KATIKATI ya uwanja na likaingia goli....
 
Umenikumbusha jamaa mmoja anaitwa OMARY KALIKI a.k.a GAUCHO

Huyu Mtanzania alifanana Kila kitu na GAUCHO
SEMA tu timu zetu za nyumbani hazina scouting nzuri....
Ila Kuna vipaji vingi sana huko mikoani....
Japo hakujulikana sana kitaifa labda aliamua kuutelekeza mpira....

Turudi kwenye mada...🤓🤓

GAUCHO uwanjan yaan mabeki walipatanae sana shida maana alikua hakabiki....

Anaweza akauficha mpira mguuni na kutimua nao mbio alivyo taka yeye....

Kitendo Cha kua na GAUCHO uwanjan yaan mnapata ushindi wakat wowote....

Alikua na uwezo wa kupiga shuti Toka KATIKATI ya uwanja na likaingia goli....
Watoto watakuja na habari za Messi na Ronaldo Wana magoli mengi kumzidi, hapajawahi tokea mchezaji Kama gaucho dunia hii
 
Watoto watakuja na habari za Messi na Ronaldo Wana magoli mengi kumzidi, hapajawahi tokea mchezaji Kama gaucho dunia hii
Gaucho alikua mtu na nusu alikua na trick nyingi sana za kuwahadaa wapinzani
Aliwai kukimbia akaacha mpira nyuma mabeki wakaunga tela...

Kupiga kanzu NDIO usiseme aliwai kuubana mpira Kwa nyuma na kuurusha mbele fasta...

Kwenye penalty NDIO usiseme alikua na mbinu za hatari...

Alikua ana uwezo wa kupiga mpira Kwa miguu yote...kulia na kushoto..,

Yule ni born footballer 🦶 ⚽
 
Watoto watakuja na habari za Messi na Ronaldo Wana magoli mengi kumzidi, hapajawahi tokea mchezaji Kama gaucho dunia hii

Mnawatisha tu lakini still wana haki ya kusema ivyo.. kipindi chao wachezaji wakali walikuepo wengi tu tena sana lakini wao walikua so far better . Hii list hawa wote walikua mafundi sema wamecheza era ya messi na ronaldo

Torres, drogba, sneijder, hazard, robben ribery, benzema, tevez, Rooney, xavi , ineista, pirlo, kaka, david villa , xabi alonso , zlatan , etoo, suarez, kroos , modric, KDB, vidic, ramos , rio, mbappe na wengine kibao

Huwezi kusema hawa ni wachezaji average kwamba ndo maana cr7 na messi wameng’aa sana leta list yako tuone wamewazidi nini hawa wachezaji … Tuache kujificha kwenye uzamani [emoji23] … Tukubali tu the best era ya football ni ya hawa watu wawili .

Kamq unabisha leta hio era unayoona ni best tufananishe
 
Mnawatisha tu lakini still wana haki ya kusema ivyo.. kipindi chao wachezaji wakali walikuepo wengi tu tena sana lakini wao walikua so far better . Hii list hawa wote walikua mafundi sema wamecheza era ya messi na ronaldo

Torres, drogba, sneijder, hazard, robben ribery, benzema, tevez, Rooney, xavi , ineista, pirlo, kaka, david villa , xabi alonso , zlatan , etoo, suarez, kroos , modric, KDB, vidic, ramos , rio, mbappe na wengine kibao

Huwezi kusema hawa ni wachezaji average kwamba ndo maana cr7 na messi wameng’aa sana leta list yako tuone wamewazidi nini hawa wachezaji … Tuache kujificha kwenye uzamani [emoji23] … Tukubali tu the best era ya football ni ya hawa watu wawili .

Kamq unabisha leta hio era unayoona ni best tufananishe
Best era ya football ni ya Messi na Ronaldo!!?..we jamaa bana!!..era ya nicklas bendtner,mpira wa basics unasema best era!!...mpira kweli ulikuwepo 98-08,ndiyo acceleration yake ipo mpaka Leo watu kupenda mpira na mpira kuwa bidhaa ghali,hivi lukaku naye ni mchezaji!?..weghorst!?..Messi na christiano wanajua mpira,Ila hakuna footballer kumzidi gaucho,strikers Kama Ronaldo de Lima, complete striker...thiery Henry,unaambiwa huyu ni striker,unasema ndiyo huyu striker,Messi na chenga yake ya cone aliyofundishwa la marsia ndiyo hiyohiyo tangu 2006-2023 Hana chenga nyingine
 
Best era ya football ni ya Messi na Ronaldo!!?..we jamaa bana!!..era ya nicklas bendtner,mpira wa basics unasema best era!!...mpira kweli ulikuwepo 98-08,ndiyo acceleration yake ipo mpaka Leo watu kupenda mpira na mpira kuwa bidhaa ghali,hivi lukaku naye ni mchezaji!?..weghorst!?..Messi na christiano wanajua mpira,Ila hakuna footballer kumzidi gaucho,strikers Kama Ronaldo de Lima, complete striker...thiery Henry,unaambiwa huyu ni striker,unasema ndiyo huyu striker,Messi na chenga yake ya cone aliyofundishwa la marsia ndiyo hiyohiyo tangu 2006-2023 Hana chenga nyingine

Mfuatilie messi vizuriii, hata hao wakina gaucho, henry bado wanakubali messi ndo G.O.A.T. Gaucho alikuwa entertainer mzuriii sana amedumu na kiwango chake kwa muda gani ? Huwezi kusema Torres , Drogba , suarez sio striker nembu acha zako bana . Hio 2008 yenyewe Cr7 ndo kachukua ballon dor dogo janja tu akafuata messi naye dogo janja tu hawa hata wangezaliwa huko 98 sijuii 2000 still wangekuwa the best …
Unataja kina weghorst , sijuii bedtner mimi nakutajia wachezaji ambao isingekuwa messi na ronaldo wangechukua ballon dr sema ndo ivo wamezaliwa kipindi kibaya cha cr7 na messi
Torres, rooney, hazard, Drogba, sneijdner, robben,david villa, iniesta, xavi .
Wewe nitajie tu hata list ya watu wa 5 ambao hawakuchukua ballon dor kisa ronaldinho au henry walikua ndo best ??

Kipindi cha cr7 na messi , best footballers ndo walikua wengi lakini ndo ivo messi na Cr7 walikua so far better leta takwimu za maana kwa kila mwaka kuanzia hio 98
 
Mfuatilie messi vizuriii, hata hao wakina gaucho, henry bado wanakubali messi ndo G.O.A.T. Gaucho alikuwa entertainer mzuriii sana amedumu na kiwango chake kwa muda gani ? Huwezi kusema Torres , Drogba , suarez sio striker nembu acha zako bana . Hio 2008 yenyewe Cr7 ndo kachukua ballon dor dogo janja tu akafuata messi naye dogo janja tu hawa hata wangezaliwa huko 98 sijuii 2000 still wangekuwa the best …
Unataja kina weghorst , sijuii bedtner mimi nakutajia wachezaji ambao isingekuwa messi na ronaldo wangechukua ballon dr sema ndo ivo wamezaliwa kipindi kibaya cha cr7 na messi
Torres, rooney, hazard, Drogba, sneijdner, robben,david villa, iniesta, xavi .
Wewe nitajie tu hata list ya watu wa 5 ambao hawakuchukua ballon dor kisa ronaldinho au henry walikua ndo best ??

Kipindi cha cr7 na messi , best footballers ndo walikua wengi lakini ndo ivo messi na Cr7 walikua so far better leta takwimu za maana kwa kila mwaka kuanzia hio 98
Balon d or za Messi na Ronaldo ni za mchongo,ni ushindani wa adidas na Nike,2010 Messi kapewaje balon d or!?..balon d or ilishajifia,kaangalie mechi ya ac Milan na barce UEFA,hii ya 2010s hapa uone yule black wa Milan alivyokuwa anavikaba hivyo vitoto vya la Marcia na kuvipa tabu,Messi anacheza na Johan djorou,senderos unamsifu!?
 
Gaucho alikua mtu na nusu alikua na trick nyingi sana za kuwahadaa wapinzani
Aliwai kukimbia akaacha mpira nyuma mabeki wakaunga tela...

Kupiga kanzu NDIO usiseme aliwai kuubana mpira Kwa nyuma na kuurusha mbele fasta...

Kwenye penalty NDIO usiseme alikua na mbinu za hatari...

Alikua ana uwezo wa kupiga mpira Kwa miguu yote...kulia na kushoto..,

Yule ni born footballer 🦶 ⚽
Gaucho na penalty tena?
 
Balon d or za Messi na Ronaldo ni za mchongo,ni ushindani wa adidas na Nike,2010 Messi kapewaje balon d or!?..balon d or ilishajifia,kaangalie mechi ya ac Milan na barce UEFA,hii ya 2010s hapa uone yule black wa Milan alivyokuwa anavikaba hivyo vitoto vya la Marcia na kuvipa tabu,Messi anacheza na Johan djorou,senderos unamsifu!?

Messi kashapiga sana matobo kina cannavaro, ramos, pepe vidic, fredinand, terry, carlos na mabeki wengine kibao wamepata shida kwa messi akiwa tu na miaka 19 hata sijuii unaongea nini .nembu nitajie beki ambae amewazidi hao kiwango niliowataja hapo ambapo messi kawapa tabu ya kutosha akiwa still 19.
 
Messi kashapiga sana matobo kina cannavaro, ramos, pepe vidic, fredinand, terry, carlos na mabeki wengine kibao wamepata shida kwa messi akiwa tu na miaka 19 hata sijuii unaongea nini .nembu nitajie beki ambae amewazidi hao kiwango niliowataja hapo ambapo messi kawapa tabu ya kutosha akiwa still 19.
Ballon di or ya Messi 2010 aliipata kwa vigezo gani!?..kwa Nini asiwe xavi aliyeshinda kombe la dunia!?
 
Ballon di or ya Messi 2010 aliipata kwa vigezo gani!?..kwa Nini asiwe xavi aliyeshinda kombe la dunia!?

Xavi hapana !! Bora hata ungeniambia sneijdner , xavi alichukua word cup sawa lakini haina maana alikua bora kuliko messi. 2010 hata ndani ta spain hakuwa bora kama david villa.

Sneijdner 2010 alitakiwa apewe maana alikua bora sana ila kama navyokuambia pamoja na ubora wa sneijdner lakini bado messi ni bora na hatarii zaidiii ila kwa 2010 ulikuwa mwaka mzuri na bora kwa sneijdner zaidi
 
Back
Top Bottom