Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Ronaldinho over Romario:
2022: Filipe Scolari alimuacha Romario mchezaji aliyekuwa anapendwa,mkongwe na moja ya bora kwa kikosi cha Brazil kwa wakati huo akamchukua Ronaldinho, kukawa na mzozo nchini mpaka rais wa chama cha soka Brazil akamwambia asipobeba kombe asirudi nchini.
Mwamba akabeba kombe halafu akakabidhi kapteni CAFU aende nalo na akaacha kazi akaja kuwa kocha wa Ureno
Ronaldinho alifanya upate mengi kwenye mpira Burudani, Ushindi, Morali, Tricks,
2022: Filipe Scolari alimuacha Romario mchezaji aliyekuwa anapendwa,mkongwe na moja ya bora kwa kikosi cha Brazil kwa wakati huo akamchukua Ronaldinho, kukawa na mzozo nchini mpaka rais wa chama cha soka Brazil akamwambia asipobeba kombe asirudi nchini.
Mwamba akabeba kombe halafu akakabidhi kapteni CAFU aende nalo na akaacha kazi akaja kuwa kocha wa Ureno
Ronaldinho alifanya upate mengi kwenye mpira Burudani, Ushindi, Morali, Tricks,