Nikimkumbuka Ronaldinho Gaucho machozi yananitoka

Ronaldinho over Romario:

2022: Filipe Scolari alimuacha Romario mchezaji aliyekuwa anapendwa,mkongwe na moja ya bora kwa kikosi cha Brazil kwa wakati huo akamchukua Ronaldinho, kukawa na mzozo nchini mpaka rais wa chama cha soka Brazil akamwambia asipobeba kombe asirudi nchini.
Mwamba akabeba kombe halafu akakabidhi kapteni CAFU aende nalo na akaacha kazi akaja kuwa kocha wa Ureno

Ronaldinho alifanya upate mengi kwenye mpira Burudani, Ushindi, Morali, Tricks,
 
2022..?
au sijaelewa..?
 
lahXavi hapana !! Bora hata ungeniambia sneijdner , xavi alichukua word cup sawa lakini haina maana alikua bora kuliko messi. 2010 hata ndani ta spain hakuwa bora kama david villa.
Sneijdner 2010 alitakiwa apewe maana alikua bora sana ila kama navyokuambia pamoja na ubora wa sneijdner lakini bado messi ni bora na hatarii zaidiii ila kwa 2010 ulikuwa mwaka mzuri na bora kwa sneijdner zaidi
Hujaelewa point yangu
 
Sasa machozi ya nini mkuu

Au ndio afya ya akili?
 
Mbna Kocha alikua Jeuri sanaaa, vipi hakuombwa msamaha??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kocha alitisha sanaa.
 
Mbna Kocha alikua Jeuri sanaaa, vipi hakuombwa msamaha??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kocha alitisha sanaa.
Ilikuwa mwaka 2002 world cup ilifanyika South korea na japan.
 
Ilikuwa mwaka 2002 world cup ilifanyika South korea na japan.
2002 ndo ile final ya [emoji1054] vs [emoji629]??
[emoji1054] alishinda 2 kwa 0.

Ilikua hatareeeeeee.
 
Sawa
Ila naona umekubaliana nami kwa kukubali kuwa hata vichaa huzidiana werevu na ndo hivyo hivyo kwa hao niliowataja
 
lahXavi hapana !! Bora hata ungeniambia sneijdner , xavi alichukua word cup sawa lakini haina maana alikua bora kuliko messi. 2010 hata ndani ta spain hakuwa bora kama david villa.

Hujaelewa point yangu

Point yako ni Messi kubebwa kwenye hio ballon dor .
Nikakuambia sneijdner alikua ana msimu bora kabisa 2010 lakini bado uhatarii wa messi na sneijdner messi ni hatariii zaidi maana hata huo mwaka alikua ana 60 goals.
Ila sneijdner alikua na mwaka bora zaidi.
 
Hilo ni tabasamu au meno nje/ marefu mkuu?
 
Kigezo Cha balloon d or siyo magoli,vigezo vimekua vikibadilika kufuata performance ya Messi na Ronaldo,ndipo tuzo zilipokua za mchongo na kudharauliwa na watu
 
Barikiwa sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…