Soma hii itakupa maarifa na ujasiri mpyaNinaogopa zaidi kufa baada ya kusoma hii, Mshana Jr.
Kifo hakina mazoea ndio maana kwenye Bible kuna mstari unasema HARI ZA KIFO na uchungu wake kama pakangaUkimeki peace na Muumba huwezi kuwa na hofu......
Unajuaje Mungu yupo, na kwamba habari za kuwapo kwa Mungu si hadithi za uongo tu tunazohadithiana watu kwa kuwa hatuna majibu?Mungu aliweka fumbo kubwa sana kwenye kifo, Mungu atabaki kuwa Mungu hakuna tajiri wala fukara kwenye kifo.
Ni kweli kifo hakizoeleki lkn mcha mungu huwa na Amani kwakuwa amejitahidi kutekeleza amri za Muumba wake tofauti na Yule ambaye sio mcha mungu.....pili hata utokaji roho wa mcha mungu ni tofauti na asiye mcha mungu.......Kifo hakina mazoea ndio maana kwenye Bible kuna mstari unasema HARI ZA KIFO na uchungu wake kama pakanga
Kifo ni Starehe.Alafu zile Stori za eti anakuja malaika anakutoa roho huku unaona video ya maisha yako ni uwongo mtupu na kutishana kusiko sababu.unaambiwa roho inavyotoka maumivu yake Bora uminywee pu**[emoji28] au afadhali maumivu ya kujifungua Kwa wanawake yanaanzia kwenye vidole kisha yanapanda Hadi utosini wakati roho inatoka
Wakati ukiweka zako jiko la mkaa chumbani kisha ukafunga madirisha na mlango unakufa Kama umelala,kimya kimya burudaani kabsa[emoji1]..Tunatishana Sana
Mauti ni mawaidha tosha kwa yule mwenye kukumbuka kila kitu ulichokichuma mali,pesa vyote utaviacha duniani ila matendo yako mema au mabaya ayatokuacha utaenda nayo mpaka kaburini mapokeo ya uko kaburini yatategemea na vitu ivyo viwili utakavyoenda navyoPoleni sana na majukumu.
Nikiona watu wanachimba kaburi then kumfukia binadamu mwenzangu navurugwa sana kichwani. Nafikiria mambo mengi mno... Mbaya zaidi azikwe mtu ambaye namfahamu!
Nikienda makaburuni makaburuni na kutizama namna udongo unavyotumeza, inasikitisha na kufikirisha mno.
Maisha baada ya kifo ndio swali zito sana linalonijia kichwani mwangu.
Unafukiwa, unaoza na kuwa udongo... Feeling yake unapokufa pia inatafakarisha sana.
Kweli siri ya maiti iajuaye kaburi.
Tutende mema wakati wote jamani
Kama kaburini hakuna mbu mbona fresh tuHakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako ... Hiyo ni trela tuu .. Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Yote uliyoyasikia kuhusu kutolewa roho siyo story ndio mambo yalivyo pale israili anapokuja kukutoa roho mtume muhamad s.a.w anasema maumivu anayoyasikia binadamu pale anapotolewa roho ni sawa umchukue mbuzi akiwa hai then umchune ngozi yake ya mwili yote bado maumivu yake ayafikii maumivu ya rohoAlafu zile Stori za eti anakuja malaika anakutoa roho huku unaona video ya maisha yako ni uwongo mtupu na kutishana kusiko sababu.unaambiwa roho inavyotoka maumivu yake Bora uminywee pu**[emoji28] au afadhali maumivu ya kujifungua Kwa wanawake yanaanzia kwenye vidole kisha yanapanda Hadi utosini wakati roho inatoka
Wakati ukiweka zako jiko la mkaa chumbani kisha ukafunga madirisha na mlango unakufa Kama umelala,kimya kimya burudaani kabsa[emoji1]..Tunatishana Sana
Dini ni muongozo ulioletwa na mwenyezi mungu ili watu waishi kwa kufuata uwo muongozo, ukiamua kufuata sawa na ukiacha sawa..NB: Kwa sisi waislamu tunafuata muongozo atuangalii nani kafanya nini people change lakini kitabu( Qurani tukufu) aitobadilika kamwe mpaka kiyama kazi kwako wewe unafuata matendo ya watu au kile alichokileta mungu?Ni ngumu kumtawala kifikra mtu asiye na hofu. Hiyo ndiyo sababu dini nyingi za kisasa misingi yake ni kuweka masimulizi ya kuogofya ili kuwafanya watu wawe loyal.
Lakini swali dogo tu, hao walioleta dini walikuwa wanasema ukitenda hiki utafanywa hivi, ila wao ndo walikuwa wakatili wakubwa (kuua, kutesa). Kwa nini wao hawakuhofia adhabu ya huyo Mungu waliyekuwa wanamtangaza?
Ila, kwa jinsi gunduzi za maisha na ustaarabu wa kale unavyoendelea kufanyika, naamini ipo siku jamii ya wanadamu itatambua ukweli kuhusu uwepo wao na mtazamo kuhusu uwepo wa maisha utabadilika kabisa.
Una uhakika aliyekufa anafeel vyote hivyo?Hakuna upweke mbaya na wa kuogofya sana kama upweke wa makaburini chini ya kifusi cha mchanga kilichisindiliwa vema hasa waombolezaji wanapoondoka makaburini na kukuacha peke yako ... Hiyo ni trela tuu .. Mchezo kamili ni pale kiza kinapoingia na kumbuka makaburini hakuwekwi taa labda iwe kipindi cha mbalamwezi
Siri ya kifo ni siri ya kuogofya sana maana hata my wako hawezi kulala nawe pale makaburini atabaki na walio hai wengine na hisia zake juu yako zihamie huko kwa wengine[emoji24][emoji24][emoji24]
Cha kuumiza zaidi ni kwamba haya yote unayaona kama video kwenye luninga na huna la kufanya[emoji24][emoji25]
Narudia tena Mauti ni mawaidha tosha kwa yule mwenye kukumbukaBora wewe mkuu, mimi nikiyaona makaburi nawaza tu namna tunavyohangaika na dunia kisha tunaishia kufa.
Kuna muda nawaza ningekuwa sina watoto ningekuwa nikipata pesa ya kula tu natulia kufanya ibada tu, ikikaribia kuisha natoka kwenda kutafuta.
Kifo japo ni lazima ila kinanyong'onyeza tukikiwaza
Maiti anapokuwa amekufa anaisi anaota kuwa amekufa yani yeye anaona kama ndoto ila pale anapoingizwa kaburini na kufukiwa mwenyezi mungu umrudishia roho yake na ndipo apo anazinduka na kujua kuwa kile alichokuwa anakiota siyo ndoto ni kweli kuwa amekufa upata furaha pale anapowaona wote mliokuja kumzika uhamini kuwa amtokubali kumuacha peke yake na ndipo atakapoanza kuwaita bila sauti yake inasikika na viumbe vyote kasoro binadamu na majini apo ndio atagundua kuwa hana msaada mwingine isipokuwa kwake mwenyezi mungu. niishie apo ni adithi ndefuHiyo hofu ni kwa mtenda..mtendewa hajui lolote wala chochote.
Relax.
Wewe mwenyewe tu ni ishara tosha kuwa mungu yupoUnajuaje Mungu yupo, na kwamba habari za kuwapo kwa Mungu si hadithi za uongo tu tunazohadithiana watu kwa kuwa hatuna majibu?
HahahahaKama kaburini hakuna mbu mbona fresh tu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]Nyuzi nyengine jau kweli yaani
Jamaa kapigilia msumari inatisha Sana aiseeNinaogopa zaidi kufa baada ya kusoma hii, Mshana Jr.
Hivi inachukua muda gani ukishakufa kukabudhiwa wale mabikira wako 70 na kwenda kwenye mito ya pombe?Maiti anapokuwa amekufa anaisi anaota kuwa amekufa yani yeye anaona kama ndoto ila pale anapoingizwa kaburini na kufukiwa mwenyezi mungu umrudishia roho yake na ndipo apo anazinduka na kujua kuwa kile alichokuwa anakiota siyo ndoto ni kweli kuwa amekufa upata furaha pale anapowaona wote mliokuja kumzika uhamini kuwa amtokubali kumuacha peke yake na ndipo atakapoanza kuwaita bila sauti yake inasikika na viumbe vyote kasoro binadamu na majini apo ndio atagundua kuwa hana msaada mwingine isipokuwa kwake mwenyezi mungu. niishie apo ni adithi ndefu
Sent using Jamii Forums mobile app