Kumbe!Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.
Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.
Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).
Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Ilboru siku hizi wanaita Pueto rico tangu lini?Huku Pueto rico kuna joto kali sana.
Yerewiiiii.... rais mdebwedoKatika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.
Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.
Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).
Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Huyo iGP naye ana madhambi yake, kama ubambikaji kesi, nk.Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.
Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.
Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).
Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Unazunguka sana, mnahofia bado kivuli cha mwendazakeKatika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.
Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.
Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).
Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Yerewiiiii.... rais mdebwedo