Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Aonyeshe makuchaNi wa kuogopwa sana huyo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aonyeshe makuchaNi wa kuogopwa sana huyo....
Inatakiwa livunjwe kabisaKatika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.
Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.
Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.
IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).
Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Kama rais hajielewi anajibiwa tu... hakuna namnaKwani katiba ya Pueto rico Rais anaweza kumfukuza kazi IGP !.Katiba za nchi nyingine za ajabu sana yaani IGP anaweza kumjibu Mkuu wa Nchi.
Vivaaaa!Que viva Puerto Rico![emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani IGP wa Pueto rico ni dini gani?Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.
Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.
Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.
IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).
Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Huko Pueto rico ni mbali sana sijui kwa undani historia ya nchi hiyo. Kwani Rais wa nchi hiyo alichaguliwa na wananchi wa nchi yake? Kama hakuchaguliwa basi IGP anayo haki ya kumjibu chochote.Kwani katiba ya Pueto rico Rais anaweza kumfukuza kazi IGP !.Katiba za nchi nyingine za ajabu sana yaani IGP anaweza kumjibu Mkuu wa Nchi.
Rais muoga hulalamika huku akitambua mamlaka aliyonayo hahaha. Katika hili lakutambua nguvu ya kiti chake tutammis mwendazake
Na Raisi wa huko ni dini gani?Roman Catholic ndio dini iliyotamalaki huku Pueto rico.
Jeshi lina askari wengi kuliko jeshi lolote Tanzania na isitoshe jeshi hilo hilo ndilo linamlinda mamaWewe unahisi jeshi la Siro linaweza kumpindua Rais? Kaa utafakari wengine hao ni mbwembwe tu. Usitishwe na neno "JESHI" la polisi hizi ni siasa tu.
Hata tamaduni za nchi nyingine ni za ajabu sana, zinadhani mwanamke ni dhaifu hivyo mwanamume yeyote anaweza kumwambia mwanamke yeyote maneno yotote na isiwe chochote. Sitaki kuamini kwamba Perto Rico ni nchi ya kusadikika. Ikitokea la kutokea mhusika asilalamike na wala mwingine asilaumiwe.Kwani katiba ya Pueto rico Rais anaweza kumfukuza kazi IGP !.Katiba za nchi nyingine za ajabu sana yaani IGP anaweza kumjibu Mkuu wa Nchi.
Nimejalibu ku download picha zake naona mara zote amevaa kibalaghashia. Hivyo dini yake na ya IGP ni tofauti. Huenda hii ndiyo chanzo cha kutoelewanaRais wa huku haijulikana saaaana,kwasababu mara kadhaa amekuwa akisalimia wananchi ‘Nawasalimu kwa jina la Pueto rico’
Thubuthu! Rais ni rais best. Mwulize Aboud Jumbe, Kambona, Job Ngugai et all. Kwa katiba hii Rais ana nguvu zoooote ndio maana pia Katiba haifai hii. Kinachotakiwa, polisi kama jeshi liongozwe na IGP mwanajeshi wa JWTZ ngazi ya Major General na huku mikoa ya mipakani iongozwe na RPCs toka JWTZ ngazi ya Kanali na Wilaya mchanganyiko wa ma Captain na Polisi. Kazi itafanyika.Hii kauli ya Samia ni nzito sana.
Isije ikawa jamaa uwa anamkoromea
Thubuthu! Rais ni rais best. Mwulize Aboud Jumbe, Kambona, Job Ngugai et all. Kwa katiba hii Rais ana nguvu zoooote ndio maana pia Katiba haifai hii. Kinachotakiwa, polisi kama jeshi liongozwe na IGP mwanajeshi wa JWTZ ngazi ya Major General na huku mikoa ya mipakani iongozwe na RPCs toka JWTZ ngazi ya Kanali na Wilaya mchanganyiko wa ma Captain na Polisi. Kazi itafanyika.
Msuto kama anaopigwa Putin na vyombo vya magharibi hadi Corona imekaa pembeni inashangaa tu [emoji38][emoji38][emoji38]Huyo IGP anavutiwa kasi ya kuondoka kwa style ya Jobo, atasutwa mpaka akome.