Nikisema Jeshi la Polisi halifanyi kazi vizuri, najibiwa...

Nikisema Jeshi la Polisi halifanyi kazi vizuri, najibiwa...

Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.

Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.

Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).

Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Walisha jiona wao ndio wana ongoza nchi. Rais alikuwa Siro, waziri mkuu Kingai. Makamu wa rais Urio. Mbwa akikuzowea sana ata kufuata hadi msikitini..
 
1647973439723.jpeg
 
Kumbe bwana ziro anaweza kum criticize rais hadharani na bado aka survive kwenye nafasi yake, acha mimi nijichokee hapa.......
 
Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.

Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.

Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).

Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632


 

Attachments

  • VID-20220322-WA0002.mp4
    986.9 KB
Walisha jiona wao ndio wana ongoza nchi. Rais alikuwa Siro, waziri mkuu Kingai. Makamu wa rais Urio/

Haya majina hayatumiki huku Pueto rico ☕️.Majina ya ajabu ajabu utafikiri chanjo ya corona.
 
Katika nchi ya Pueto rico Rais analalamika akilisema jeshi la Police halifanyi kazi vizuri anajibiwa na IGP / Mkuu wa Jeshi la Police wa Pueto rico.

Naomba kunukuu maneno ya Rais wa Pueto rico ' Wewe uamini vyombo vyako ohooo ohoooo' alisikika Rais wa Pueto rico akilalamika kitendo cha utovu wa nidhani kinachofanywa na IGP.

Yamekuwepo matukio kadhaa ambayo jeshi la police la Pueto rico limekuwa likilaumiwa hasa mauaji ya wafanyabiashara.IGP alisikika akilalama unaweza kumchukia IGP lakini si institution (Jeshi la polisi).

Ngongo kwasasa Pueto rico.
View attachment 2160632
Sema anaonewa huruma maana yuko karibuni hapa kusitaafu ndio maana anamwacha mwacha ili asitaafu kwa heshima
 
Sema anaonewa huruma maana yuko karibuni hapa kusitaafu ndio maana anamwacha mwacha ili asitaafu kwa heshima

Wakaazi wa Jiji la San Juan wanashangaa,
Kwamba huyu IGP alikuwa akipelekwa mchaka mchaka na Governer mstaafu mtu mdogo sana kiitifaki.Iweje leo amkoromee mtu mkubwa mwenye uwezo unaokaribiana na Mungu kwa mujibu wa katiba waliojitengenezea !.
 
Kaweida jeshi la polilisi linapokuwa limejikwa ni bora ikatumika hekima ya kuwaita viongozi wao na kuwapa maelekezo kuliko kuwananga mbele ya wananchi.kwa sio wote wanua watu na mazingira ya tukio huwa sisi hatuyajui.
 
Huyu Mama anaweza kupinduliwa kabla ya tarehe 2025

Wakuu wa vyombo wanaenda kwenye sherehe za uzunduzi?
Wewe unahisi jeshi la Siro linaweza kumpindua Rais? Kaa utafakari wengine hao ni mbwembwe tu. Usitishwe na neno "JESHI" la polisi hizi ni siasa tu.
 
Unaota sana ndoto mbaya mchana kweupe.

Maza Mizinguo atake yeye mwenyewe kufanywa hivyo kwa udhaifu wake.
Nani mwenye ubavu wa kufanya hivyo huko polisi?

Nimesoma humu wengine wanasema jeshi la polisi linaweza kumgomea kufanya kazi naye..., thubutuuu! Nani kwa wakati huu anaweza kudanganywa kuweka kitumbua mchanga. Si JKT wapo hapo, kila siku wanahangaika hawapati kazi?

Kinachoonekana hapa, binafsi sioni wa kumlaumu, kwani pande zote mbili ni mbovu. CCM/serikali ndio wanaosababisha jeshi la polisi lisifanye kazi ipasavyo, kwa sababu polisi ndio wanaolinda maslahi ya CCM.

Mpambano huu, kama kweli kuna mpambano kati ya pande hizi mbili, utakuwa wa manufaa sana kwa taifa letu. Acha wabomoane ili nchi ipumue.
CHADEMA wasikose kutumia nafasi hii kuwafundisha wananchi waelewe tatizo zima lilivyo.. Ni mfumo mbaya unaoendeshwa na CCM yenyewe.
Hapo ndipo mnapokosea, hivi kwanini mnahisi CHADEMA ndio watakuwa sahihi kwani isiwe TLP, CUF, TADEA, ACT nk?
 
Back
Top Bottom