LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Ila hakuna IGP hapo.. Kuna genge la wauaji.. Hivi anataka aaminiwe kwa lipi? Kuua? Kubambika kesi?? Au kusema kuna intelijensia ambayo haipo?? IGP must gooooo....Huyo IGP anavutiwa kasi ya kuondoka kwa style ya Jobo, atasutwa mpaka akome.