Nikisema Tundu Lissu, Mbatia na Slaa waunganishe nguvu pale NCCR MAGEUZI tupate Chama makini na imara nitakuwa nimekosea?

Nikisema Tundu Lissu, Mbatia na Slaa waunganishe nguvu pale NCCR MAGEUZI tupate Chama makini na imara nitakuwa nimekosea?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari jf , baada ya mwaka 2022 Mbatia kusimamishwa NCCR MAGEUZI , May 2024 mahakama ilimsafisha na kuamuru Selasini amlipe milioni 80 Mbatia kwa kumchafua .

Vivyo hivyo kwa Dr slaa , mazingira ya kuondoka kwake CHADEMA yaligubikwa na sintofahamu nyingi sana .

Tundu lissu baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti imekuwa shida sana kiasi kwamba wengine wanamuona msaliti

Kwa mazingira haya ni wazi kwamba akikosa uenyekiti mazingira yake pale CDM yatakuwa sio rafiki sana

Lakini ukweli utabaki pale pale , tunahitaji mabadiliko, tunahitaji Chama imara .

Nadhani NCCR MAGEUZI ni sehemu sahihi hawa wanasiasa wanaweza ungana na kutengeneza nguvu kubwa sababu ushawishi na Nguvu wanazo .
 
Mhhh! ...njaaa

Pale Selasini ameshapokea vipande 30,hatampokea, na akimpokea Lissu itakuwa kwa lengo la kumvuruga na kum-frustrate
Screenshot_20241215-114520.jpg
 
Mbatia yuko Nccr? Kwa taarifa tu tayari alisha pinduliwa na kufutwa uanachama, siasa za upinzani za Tanzania ni za hovyo, muhimu nikufanya yako usiumize kichwa kisa siasa.
 
Umekosea sana, namba zitakukataa hao wote ni dhehebu moja labda waende kenya' sisiemu itafurahi sana kuona hilo, Tz inahitaji chama chenye Sura ya kitaifa si dhehebu moja mdogo wangu
Habari jf , baada ya mwaka 2022 Mbatia kusimamishwa NCCR MAGEUZI , May 2024 mahakama ilimsafisha na kuamuru Selasini amlipe milioni 80 Mbatia kwa kumchafua .

Vivyo hivyo kwa Dr slaa , mazingira ya kuondoka kwake CHADEMA yaligubikwa na sintofahamu nyingi sana .

Tundu lissu baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti imekuwa shida sana kiasi kwamba wengine wanamuona msaliti

Kwa mazingira haya ni wazi kwamba akikosa uenyekiti mazingira yake pale CDM yatakuwa sio rafiki sana

Lakini ukweli utabaki pale pale , tunahitaji mabadiliko, tunahitaji Chama imara .

Nadhani NCCR MAGEUZI ni sehemu sahihi hawa wanasiasa wanaweza ungana na kutengeneza nguvu kubwa sababu ushawishi na Nguvu wanazo .
 
Habari jf , baada ya mwaka 2022 Mbatia kusimamishwa NCCR MAGEUZI , May 2024 mahakama ilimsafisha na kuamuru Selasini amlipe milioni 80 Mbatia kwa kumchafua .

Vivyo hivyo kwa Dr slaa , mazingira ya kuondoka kwake CHADEMA yaligubikwa na sintofahamu nyingi sana .

Tundu lissu baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti imekuwa shida sana kiasi kwamba wengine wanamuona msaliti

Kwa mazingira haya ni wazi kwamba akikosa uenyekiti mazingira yake pale CDM yatakuwa sio rafiki sana

Lakini ukweli utabaki pale pale , tunahitaji mabadiliko, tunahitaji Chama imara .

Nadhani NCCR MAGEUZI ni sehemu sahihi hawa wanasiasa wanaweza ungana na kutengeneza nguvu kubwa sababu ushawishi na Nguvu wanazo .
Hujakosea ila NCCR tayari ni la kuvunda halihitaji ubani.
P
 
Habari jf , baada ya mwaka 2022 Mbatia kusimamishwa NCCR MAGEUZI , May 2024 mahakama ilimsafisha na kuamuru Selasini amlipe milioni 80 Mbatia kwa kumchafua .

Vivyo hivyo kwa Dr slaa , mazingira ya kuondoka kwake CHADEMA yaligubikwa na sintofahamu nyingi sana .

Tundu lissu baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti imekuwa shida sana kiasi kwamba wengine wanamuona msaliti

Kwa mazingira haya ni wazi kwamba akikosa uenyekiti mazingira yake pale CDM yatakuwa sio rafiki sana

Lakini ukweli utabaki pale pale , tunahitaji mabadiliko, tunahitaji Chama imara .

Nadhani NCCR MAGEUZI ni sehemu sahihi hawa wanasiasa wanaweza ungana na kutengeneza nguvu kubwa sababu ushawishi na Nguvu wanazo .
uchu na tamaa binfsi ya madaraka miongoni mwao itakua kikwazo cha kuwaunganisaha.

itakua ni muungano wa kinafiki ambao hautachukua muda mrefu kusambaratika :pedroP:
 
Habari jf , baada ya mwaka 2022 Mbatia kusimamishwa NCCR MAGEUZI , May 2024 mahakama ilimsafisha na kuamuru Selasini amlipe milioni 80 Mbatia kwa kumchafua .

Vivyo hivyo kwa Dr slaa , mazingira ya kuondoka kwake CHADEMA yaligubikwa na sintofahamu nyingi sana .

Tundu lissu baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti imekuwa shida sana kiasi kwamba wengine wanamuona msaliti

Kwa mazingira haya ni wazi kwamba akikosa uenyekiti mazingira yake pale CDM yatakuwa sio rafiki sana

Lakini ukweli utabaki pale pale , tunahitaji mabadiliko, tunahitaji Chama imara .

Nadhani NCCR MAGEUZI ni sehemu sahihi hawa wanasiasa wanaweza ungana na kutengeneza nguvu kubwa sababu ushawishi na Nguvu wanazo .
Daaaah Dr slaa aliwavunja watu moyo sana,haaminiki tena

Mzee atulie tu siasa zimeshamtupa
 
Habari jf , baada ya mwaka 2022 Mbatia kusimamishwa NCCR MAGEUZI , May 2024 mahakama ilimsafisha na kuamuru Selasini amlipe milioni 80 Mbatia kwa kumchafua .

Vivyo hivyo kwa Dr slaa , mazingira ya kuondoka kwake CHADEMA yaligubikwa na sintofahamu nyingi sana .

Tundu lissu baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti imekuwa shida sana kiasi kwamba wengine wanamuona msaliti

Kwa mazingira haya ni wazi kwamba akikosa uenyekiti mazingira yake pale CDM yatakuwa sio rafiki sana

Lakini ukweli utabaki pale pale , tunahitaji mabadiliko, tunahitaji Chama imara .

Nadhani NCCR MAGEUZI ni sehemu sahihi hawa wanasiasa wanaweza ungana na kutengeneza nguvu kubwa sababu ushawishi na Nguvu wanazo .
hawawezi kufika kokote watavurugana, kwani umesahau ya Zitto, Mkumbo na Mwigamba nini kimetokea mpaka leo
 
Sivyo,
Uchu na tamaa ya madaraka vipo kule wanaposema wata print fomu moja pekee
kwanza hayupo wa kuwapisha viongozi hao walafi wa uongozi mathalani pale nccr mageuzi.

lakini pili,
wale wanamapinduzi pale nccr mageuzi nao ni wabinafsi na wenye tamaa za madaraka za kiwango cha juu mno, na kwahivyo hawatakubali mpango wowote wakuwakaribisha vidomodomo, ving"ang"anizi, wasaliti na wapiga makelele nje ya mfumo wa chama husika :pedroP:
 
Habari jf , baada ya mwaka 2022 Mbatia kusimamishwa NCCR MAGEUZI , May 2024 mahakama ilimsafisha na kuamuru Selasini amlipe milioni 80 Mbatia kwa kumchafua .

Vivyo hivyo kwa Dr slaa , mazingira ya kuondoka kwake CHADEMA yaligubikwa na sintofahamu nyingi sana .

Tundu lissu baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti imekuwa shida sana kiasi kwamba wengine wanamuona msaliti

Kwa mazingira haya ni wazi kwamba akikosa uenyekiti mazingira yake pale CDM yatakuwa sio rafiki sana

Lakini ukweli utabaki pale pale , tunahitaji mabadiliko, tunahitaji Chama imara .

Nadhani NCCR MAGEUZI ni sehemu sahihi hawa wanasiasa wanaweza ungana na kutengeneza nguvu kubwa sababu ushawishi na Nguvu wanazo .
Ukiwa na akili timamu huwezi kukaa CDM
 
Back
Top Bottom