Nikisema Tundu Lissu, Mbatia na Slaa waunganishe nguvu pale NCCR MAGEUZI tupate Chama makini na imara nitakuwa nimekosea?

Mbatia alishatimuliwa NCCR. Kwa Sasa NCCR ipo mikononi mwa Selasini. Shida unaongea kana kwamba NCCR bado ni ile ya kina Mrema.
 
hopeless, atakisajiri nani? Akili zako............ hao wote ni waropokji, huwezi kuwa na mtu anatoa mashuka ya chumbani anawanonesha watu kuwa angalia mke wangu alivyo mchafu, mashuka hafui n jana tumefanya ngono hajayafua................halafu ukasema wewe una busara........ ndio akina Lusi, Mwabukusi na huyo mama Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…